Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
-
- #201
Ushangae na wewe mkuu! Humu ndani kuna watu sijui wanatumia akili zao kufanyia nini [emoji28]Kwani binti wa miaka 13 habebi mimba mkuu?
Hana shida, ameniomba tu nimpe muda aniamini zaidi.kwani mwenyewe anasemaje kuhusu ndoa,?
Naishi kwangu mkuu. Nina nyumba kubwa ambayo hata yeye ameisifia kuanzia ramani [emoji28]Nimshawishi akununulie
Kivipi tena mkuu? [emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Una mambo mengi kweli
Nitazingatia ushauri wako mkuu.Kwenye anga za uchepukaji na kupretend "wakiamua hasa kwa wanaowapenda" wametuzidi, wana mbinu sana.
Kikubwa uwe makini tu, lakini hata huo uchunguzi wako usimkere. Inaboa sana kutoaminika kwa mwenza wako
🤣🤣🤣Si umeona mwenyewe
Bas nimsalimie tuNaishi kwangu mkuu. Nina nyumba kubwa ambayo hata yeye ameisifia kuanzia ramani [emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nile mara ngapi?Punguza uoga simama kama mwanaume kula mzigo
Brilliant clarification.Inawezakana wenda alizaa akiwa na miaka 16 na kama mtoto ni wa kike anaweza kuanza shule na miaka 5
Mkuu unaniacha njia panda ujue [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Si umeona mwenyewe
Umetaka hiki ukataka kile tena🤣🤣🤭
Dah sawa bwana [emoji23][emoji23]Umetaka hiki ukataka kile tena[emoji1787][emoji1787][emoji2960]
kumchukua jumla, kuwa makini kabla ujachukia maamuziNile mara ngapi?
Nataka nimchukue jumlajumla, tatizo ni usalama wangu mkuu, lazima nijihakikishie nitakuwa salama[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Fumbafu kabisa,sina nguvu ya kucheka mimiKikubwa anpolala Kwa manzi mkono wake mmoja uwe makalioni Kwa ulinzi zaidi
Eti "toa miuno sana" [emoji28]Wala hata usijali....toa miuno sana...
Mwanamke akishakua na ela ya kukodhi mahitaji yake hayo mengine ni ziada ti....
Na sio Kila mwanamke muombaji WA ela
That is already taken care of.kumchukua jumla, kuwa makini kabla ujachukia maamuzi