Mahusiano ya hivi kitaalamu yanaitwaje?

Tegemea kuwa msukule karibuni. Unaliwa timing tu.
 
Miaka 28 mt
Mmh miaka 28 ana mtoto yupo form one,.
Chazo Cha huo uchumi wake ni nin urithi au mgawo kutoka Kwa mmewake coz Kwa umri huo kuwa na gari, supermarket, office ya huduma za kifedha mmh kibongobongo kweli mPambanaji.
oto form one mhhh aya
 
Mkipata wadada mambo safi mnalalamika, mkipata akina sisi hatuna kitu bado mnalalamika [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Cha kujiuliza ni huo usuper woman kwanza. Hapo ndo penye majibu yote.

Ni kawaida wanawake kutokuficha simu zao kama sisi. Sisi mbinu zetu ni chakavu sana mbele yao.
Kua makini aisee, sema ukakasi mwingine ni huyo dogo wa form 1 na yeye ako na 28, means alimzaa akiwa under 18.
 
Huyo mwanamke mshike mkuu jisshushe sana kwake ni lulu na ni wachache kuwapata
 
Mkuu, ume-digest maelezo yako vizuri sana. Acha niyafanyie kazi lakini kwa uangalifu mkubwa.

Pengine huyu mwanamke ni mwema tu, ila mashaka yangu ndio yanaweza kufanya nimpoteze.

Asante kwa ushauri mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe tu na moyo mwema kibinadamu. Sio umemkuta mtu katulia,unaingia kwenye maisha yake unamvuruga,unamvurugia then unakula kona. Kumbuka hilo.
 
Mkuu, kwa umri huo na mtoto aliyenae, ni dhahili kazaa bado mdogo sana. Iwe baba mtoto au mtu mwingine,kuachana nae ni kufikia tu.
Kwanza mnunulie supu na chapati huyo dogo wa boda boda then uje hapa.

Sasa basi, ngono za mapema huwaathiri wanawake kisaikologia. Ukute yeye kama yeye,tena si demu wa kubembelezana.
Si umesema we hupigwi mizinga!?
Haya,umelala nae umegegeda. Dogo alikwambia kuna mdada anafaa kuwa mke. Je,umeshamaliza shida ilokupeleka,au umeogopa tu kusema!?
Ndoa za siku hizi ni kujitosa tu. Huku unagonga,na yeye pengine kule anagonga.
Ila sasa:
-Ukiwa kwake, anachukuliaje(anakuheshimu kama mme,au unaenda tu unalala unadinya na kusepa)
-Maongezi yenu yanaashilia nini.
-Uliwahi mtania kuhusu kuishi nae? Alijibuje!

Si kwamba kila mwanamke mwenye uwezo ana bwana;wengine wamepambana kivyao. Either kwa kujiuza, kupiga mizinga,kutapeli,kuiba, kama ilivyo tu kwa wanaume wengine.
Haimaanishi kwamba kuwa na mtalo kule chini,hata akilini ni hivo hivo kwa wote.

Wewe tu epuke pesa za bule(ukikopa rudisha).

Jaribu kutoka nae nje ya mazingira ya kazi(pasiwe mbali),enjoy, lala huko,then geuza.
Siku ukisikia anaongelea miradi yake na anakushirikisha, na pengine angependa mkasaidizane,na wewe piga hatua moja mbele.
Kwani kuachika nini? Huko unagonga, hajui. Nae pengine anagongwa,hujui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…