Mahusiano ya kimapenzi kati ya kaka na dada wa tumbo moja

Mahusiano ya kimapenzi kati ya kaka na dada wa tumbo moja

Labda huwa wanaanza kama mchezo utani wakiwa room tyr na wanaume mzee akisimama hata kuku anaweza kula dozi

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonesha kama upo curious kujua, bro kama unammezea mate sister ako acha mara moja, huyo ni dada subiri upate shemeji,

[emoji2090][emoji2090][emoji2090]

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
 
Inaonesha kama upo curious kujua, bro kama unammezea mate sister ako acha mara moja, huyo ni dada subiri upate shemeji,

[emoji2090][emoji2090][emoji2090]

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Siwawaza mkuu huo upuuzi ila inanisikitisha sana laana hizi ndiyo na corona zinaibuka maana ni ujinga kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hiyo ni laana kama laana nyingine maana hata vitabu vya dini vimekataza hii
 
Mungu shusha rehema zako haya mambo ni ya hovyo huwezi zaa licha tu ya kutamani kulala /kupata hisia na ndugu yako wa kike au kiume.Yaani ni laana kwenye familia na ukoo kwa ujumla.Japo tunayaona sio sawa kabisa.Nawaza na wale ndugu wa damu toka ni toke ambao hawajuani wazazi wamezaa huko hawatambulishwi inakuwaje? Dunia imekwisha aisee.Baba kulala na mwanae au mama napo janga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii hasa hasa inachangia kuwalea watoto kigeti kali sana watoto wanakosa ata faragha ati adi waoe au kiolewa, mtu unabarehe unamiaka 13 unakuja kuoa unamiaka 29 unafikiri iyo miaka yote 15 atapiga nyeto.. Tuwape watoto uhuru kwakwel. Watoto wa geti kali ndio maana uwa wazembe ata ktk ugunduzi au vipaji fulani uwa hawapo ni watoto wa uswahilin tu ndio konki wa vipaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii hasa hasa inachangia kuwalea watoto kigeti kali sana watoto wanakosa ata faragha ati adi waoe au kiolewa, mtu unabarehe unamiaka 13 unakuja kuoa unamiaka 29 unafikiri iyo miaka yote 15 atapiga nyeto.. Tuwape watoto uhuru kwakwel. Watoto wa geti kali ndio maana uwa wazembe ata ktk ugunduzi au vipaji fulani uwa hawapo ni watoto wa uswahilin tu ndio konki wa vipaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wawafungulie ili watoto wa uswazi muwafundishe tabia mbaya?
 
Basi wame apply category moja ya pornhub sio mbaya san wengine waendeleze zilizobaki


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu asante kwa huu uzi utatujenga sana;

Haya mambo huwa ni roho chafu inatafuna huo ukoo.... ukifuatitilia kwenye ukoo wao inawezekana kabsa huwa wanagegedana ndugu kwa ndugu so they are not the first ones in that clan.

In the Bible... kufanya hvo uzao wote unalaaniwa mpaka kizazi cha nne.

Samahan. nimechangia kiimani zaidi but the only way ni kubreak chain
Fact

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom