Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
Hii sio jambo jema kabisa, ila tatizo ni pale mkuyenge unapo soma 4G hapo hua ni vigumu kuangalia sura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi mara wakumbatiane mara kiss za undungu mara aitwe dada kipenzi ndiyo mwisho wa siku inakuwa kweliHaya mambo yalikuwepo ila ilikuwa ni siri kubwa sana na wazee walijua sana kutunza siri na waliweka mazingira ya kuweka vijana wao mbali na Dada zao hivyo walilijua hili.
Mimi babu Yangu alikuwa hapendi kabisa nikae jikoni au nyumbani na wanawake alipenda nifanye Kazi au nitembee ntarudi wakati Wa kula.
Lakini siku hizi watoto wakiume na Wa kike wamewekewa ukaribu mkubwa sana hasa familia zenye kauwezo hivyo hii huwa inachagiza kuwaona Dada zao kama wanawake wengine na wanaona ni jambo la kawaida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka mawindo anaanzia nyumbani hapo hapo.Genetically is called " SELFING"
Nahisi dhambi ya kumgegeda dada itakuwa kubwa kuliko zingineInaitwa incest... Ni dhambi.
Kwa waraabu nasikia ruksa ila kibongo bongo big No.Siyo mbaya bro kafanya kama Lutu na binti zake sasa sijui walimnywesha k vant au balantine? Na hili suala la binti kuzaa na baba mdogo wake au na mjomba ni sawa au ndo kirambasi?
Ni kweli wanaume wana vichwa 2 kimoja kikifanya kazi kingine kinasimamahii sio jambo jema kabisa
ila tatizo ni pale mkuyenge unapo soma 4G hapo hua ni vigumu kuangalia sura.
Uko sahihi maana mtu akikosa msaada kwa jilani anaanza kufanya kutafuta solution hapo hapo kwa ndugu zakeMi nadhani chanzo kinaanzia kwenye malezi na lifestyle ya familia, hii dhana ya kujenga majumba yenye fence na kuwazuia watoto wasiende kuchanganyika, ina athari nyingi sana kwa socialization ya mtoto.
Kuna umri mtoto anahitaji kujua na kufaham yale yaliyo nje ya uzio wa home kwa ku practise, sio kwa socio media wala kwa TV.
Mbali ya shule, inabidi mtoto kujua kama mtaani kuna watu wanaitwa "Wajuba" , "Mabaharia" n.k.
Wazazi kuweni makini kweny ulezi, yaani hapo mawili kama sio hili mnalosema linakuja kwa kasi basi linatokea lile la ushoga na usagaji, inategemea na structure ya familia.
Alexander
hizo zipo sana kula mkubwa na mdogo kawaida.Huku niliko kunakaka amezaa na mkewe
Na mdogowake huyo kaka pia anatoka na mdogo wa mke wake ,
(ingawa hawa wakike baba mmja mama tofauti inakaaje, hii)
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni ushetani kweliJibu ni kwamba huo ni ushetani! Watoto wa familia moja hamuwezi kufanya hayo! Huwezi kukaa karibu na Dada zako nyumbani kama wewe ni mtoto wa kiume utaenda kucheza na rafiki zako! Dada zako wako home! Mawazk hayo yanakuwaje!
Huku niliko wazee wa huku wanawagonga mabinti zao wa kuwaza kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisifiae mvua ujue imemnyea..😅Hakuna mahusiano yenye nguvu kama mahusiano ya ndugu kwakuwa yana apply double relation.. Undugu na hisia
Jr[emoji769]
kwenye electromagnetism hii inaitwa 'self induction'Genetically is called " SELFING"