Agresive
JF-Expert Member
- Feb 18, 2018
- 890
- 1,236
- Thread starter
- #41
Na laana hizi, hazitaisha mkuuMkuu hiyo ni laana kama laana nyingine maana hata vitabu vya dini vimekataza hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na laana hizi, hazitaisha mkuuMkuu hiyo ni laana kama laana nyingine maana hata vitabu vya dini vimekataza hii
Yule mama aliandika ile sms kwa hisia sana kachanganikiwa mwanae wa kuzaa kawapa mimba dada zake 2 tena double na corona hii.Mungu shusha rehema zako haya mambo ni ya hovyo huwezi zaa licha tu ya kutamani kulala /kupata hisia na ndugu yako wa kike au kiume.Yaani ni laana kwenye familia na ukoo kwa ujumla.Japo tunayaona sio sawa kabisa.Nawaza na wale ndugu wa damu toka ni toke ambao hawajuani wazazi wamezaa huko hawatambulishwi inakuwaje? Dunia imekwisha aisee.Baba kulala na mwanae au mama napo janga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi hii inachangia mkuu wanakula dona kila siku unafikiri hizo nguvu watazipeleka wap.Hii hasa hasa inachangia kuwalea watoto kigeti kali sana watoto wanakosa ata faragha ati adi waoe au kiolewa, mtu unabarehe unamiaka 13 unakuja kuoa unamiaka 29 unafikiri iyo miaka yote 15 atapiga nyeto.. Tuwape watoto uhuru kwakwel. Watoto wa geti kali ndio maana uwa wazembe ata ktk ugunduzi au vipaji fulani uwa hawapo ni watoto wa uswahilin tu ndio konki wa vipaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliwahi kusikia kisa Kama hichi huko morogoro kulikua na kesi ya mfano wa hivyoHuku niliko wazee wa huku wanawagonga mabinti zao wa kuwaza kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Westernization ni tatizo Sana
Duh kazi ipo Mkuu!🙆🏽♂️Mkuu Dunia imeisha, seriously wazee wanawavunjia ndoa mabinti zao sababu ya kuwagonga, mi Niko Pwani.
Fact, kabisaWesternization ni tatizo Sana
Ways of life imeleta balaa
Kuna muda ni Mungu tu aingilie Kati Kuna case ukizisoma kwa kweli unakili kwamba akili yangu imegoma kufanya kazi hapa ni Mungu tu aingilie Kati
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani, yule mama yao kachanganikiwa kabisa.Hapa shetani anaonewa hilo ni kukosa maadili na utu, sasa watoto wanalala chumba kimoja kwanini hayo yasitokee
Sent using Jamii Forums mobile app
Genetically is called " SELFING"Hyo inaitwa Cross inbreeding