Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Inaonesha kama upo curious kujua, bro kama unammezea mate sister ako acha mara moja, huyo ni dada subiri upate shemeji,Labda huwa wanaanza kama mchezo utani wakiwa room tyr na wanaume mzee akisimama hata kuku anaweza kula dozi
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ndiyo utandawazi, wenyeweNyie nao kila globalization, hayo mambo yalikuwepo enzi na enzi ndio maana vitabu vya dini viliandika kua ni makatazo.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Siwawaza mkuu huo upuuzi ila inanisikitisha sana laana hizi ndiyo na corona zinaibuka maana ni ujinga kabisa.Inaonesha kama upo curious kujua, bro kama unammezea mate sister ako acha mara moja, huyo ni dada subiri upate shemeji,
[emoji2090][emoji2090][emoji2090]
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
[emoji1756][emoji1756][emoji1756]Nijibu hiyo namba 4.Ni kosa kisheria (maharimu) ndugu wa damu kuwa na mahusiano ya kimapenzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wawafungulie ili watoto wa uswazi muwafundishe tabia mbaya?Hii hasa hasa inachangia kuwalea watoto kigeti kali sana watoto wanakosa ata faragha ati adi waoe au kiolewa, mtu unabarehe unamiaka 13 unakuja kuoa unamiaka 29 unafikiri iyo miaka yote 15 atapiga nyeto.. Tuwape watoto uhuru kwakwel. Watoto wa geti kali ndio maana uwa wazembe ata ktk ugunduzi au vipaji fulani uwa hawapo ni watoto wa uswahilin tu ndio konki wa vipaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
FactMkuu asante kwa huu uzi utatujenga sana;
Haya mambo huwa ni roho chafu inatafuna huo ukoo.... ukifuatitilia kwenye ukoo wao inawezekana kabsa huwa wanagegedana ndugu kwa ndugu so they are not the first ones in that clan.
In the Bible... kufanya hvo uzao wote unalaaniwa mpaka kizazi cha nne.
Samahan. nimechangia kiimani zaidi but the only way ni kubreak chain
Mkuu Dunia imeisha, seriously wazee wanawavunjia ndoa mabinti zao sababu ya kuwagonga, mi Niko Pwani.Duh wapi huko Mkuu?🙆🏽♂️
kwa hiyo wakishaanza kuachana ni ngumu sana???Hakuna mahusiano yenye nguvu kama mahusiano ya ndugu kwakuwa yana apply double relation.. Undugu na hisia
Jr[emoji769]