Mahusiano ya kimapenzi kati ya kaka na dada wa tumbo moja

unatamani huo muda ujirudie tena, mabeki 3 wameshikia watu upepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
inasikitisha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mimi sioni cha kushangaza kwa habari hii ,to me naweza sema ni kawaida nikilinganisha na Yale niliyoyashuhudia nikiwa mkoani Lindi miaka ya nyuma,hiki kisa huwa nakirudia kila Mara.

Ilitokea wakati baba na mama walikubaliana kwenda shambani ila mama alikuwa ameshatonywa na watu juu ya mienendo ya binti yake na baba yake.

Baada ya kufika shambani baba na mama walilima baada ya muda baba mtu akatoa uzulu kuwa anataka arudi home kuna Sehemu anapaswa kuwa.

Ikumbukwe kuwa binti alikuwa ni mwanafunzi kidato cha nne ,nami nilikuwa mwalimu wake wa darasa na siku mbili kabla ya tukio alikuwa aneomba ruhusa kuwa anaumwa,baada ya baba mtu kufika home kama kawaida akamwita binti nakuanza mambo yao. huku nyuma kwa kuwa mama mtu alishaambiwa kuwa makini na uhusiano wa binti na baba yake naye alianza kumfuata baba mtu(mme) wake kwa nyuma .

Za mwizi ni thelathini na Tisa na ya arobaini ni kukamilisha mahesabu au ushuhuda,Mama mtu alikumta mume wake katikati ya mapaja ya binti yake,Alizimia pale pale na ilimchukua siku tatu fahamu kumrudi,wazee walijaribu kusuruhisha na maswala yakakaa level

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonesha,haya,mambo yapo sana katika jamii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
As far as people are concerned any thing is possible with men. People can do ANYTHING be to kill their children, parents, relatives or even To https://jamii.app/JFUserGuide with their parents, children or relatives.
Be careful with people because at bottom level they know both good and evil.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
fact

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijasoma hayo maelezo yako ya juu,nimesoma maswali tu.We Jamaa utakua unamtani au ushamkula dadako sema unatafuta justification ya huo ubabiloni wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijasoma hayo maelezo yako ya juu,nimesoma maswali tu.We Jamaa utakua unamtani au ushamkula dadako sema unatafuta justification ya huo ubabiloni wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama hujasoma visa hukuwa na haja ya kucoment ulivyo mvivu wa kusoma naona hata kufikiri ni mvivu pia.

Soma visa vyote ndiyo ujuwe chanzo cha maswali siyo kusoma maswali tu nakucooment pumba,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Cyb
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…