Mahusiano ya kimapenzi na tendo la ndoa

Mahusiano ya kimapenzi na tendo la ndoa

Kioski

Member
Joined
Nov 24, 2017
Posts
93
Reaction score
106
Wakuu inakuwaje pale unapoanzisha mahusiano ya kimapenzi na binti kisha kuwekeana au kumwekea msimamo wa kufanya tendo la ndoa baada ya kuwa mmeunganishwa kwa ndoa tu, yaani hakuna kujuana kimwili mpaka ndoa, kwanini inakuwa ngumu kwa binti kuvumilia hili na kusubiri tendo la ndoa mpaka ndoa?

Au hali hiyo ni ngumu kuvumiliwa na binti asiye bikra ila kwa bikra ni tofauti hilo ni rahisi kuvumiliwa linawezekanika.

Au haitegemei na mambo ya ubikra wa binti ila inategemea na maisha, malezi, maadili na mazingira ya binti husika?

Heaven Sent
Nyenyere
 
wee kuvumilia yataka moyo eti....umevumilia mmefunga ndoa kumbe jogoo hawiki utamlaumu nani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani ndoa mnafunga kienyeji ?

Mpaka mnafikia kufunga ndoa, Si kuna taratibu za kufuata pamoja na vipimo vya kiafya, kujua status zenu za afya na uwezakano kama mnaweza kuanzisha familia au la.
 
Mimi kuna binti ninaye kimahusiano kwa muda wa karibu mwaka sasa, lakini kuhusu kunitunuku alisha goma kabisa mpaka nimuoe,, anadai anaweza kunitunuku halafu mi nikaishia na kumwacha, sasa kwa binti kama huyu unakuwaje wakuu?
 
Mimi kuna binti ninaye kimahusiano kwa muda wa karibu mwaka sasa, lakini kuhusu kunitunuku alisha goma kabisa mpaka nimuoe,, anadai anaweza kunitunuku halafu mi nikaishia na kumwacha, sasa kwa binti kama huyu unakuwaje wakuu?

Ni bikra?
 
kabla ya UE/FINAL kuna TEST..
lazima UTEST uku mpaka ndoa ni UONGO MTAKATIFU.

Kuna mdada alidai BIKRA mpaka ndoa,Msela akavumilia baada ya ndoa kumbe bidada alikuwa THE MOST USED.

Kikubwa ni KUTEST masuala mpaka ndoa peleka ZENJI
 
Back
Top Bottom