Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
HapanaKwahiyo ni bora tutest kwanza sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HapanaKwahiyo ni bora tutest kwanza sio?
Kweli kabisaNi kweli mchumba au rafiki hasomeshwi ,hahudumiwi coz ana wazazi wake.sasa ktk kizazi hiki hao wasichana wako wapi.hao unasema Wana hofu ya mungu Ni kwa kujiita wameokoka lkn ukiwachunguza hawako jinsi wanavyotaka jamii iwaone kuwa Wana maadili.
Nashauri km unataka kuoa oa aliye tayari kuolewa,kwa sababu unaemsubiri nae anasubiriwa mahali pengine.
Haya dada.Hapana
Ndo upuuzi huoMkuu zenji kwenyewe si kila mtu bikra wengi wana bikra za mbele za nyuma zishafokolewa long time
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndio ivyo mkuu watu si wanataka kitu kibichi lazima viwe vina kasoroNdo upuuzi huo
Kitu kishaharibiwa ndo kinakuja kwako
Ahahahaha punguza hasiraMoja ya ndoto takataka kwa vijana ni kuwaza siku ya ndoa!!!ETI !ET!! CHETI!SHEREHE !!ET MTU NA AKILI ZAKO UNAWEKA UPUUZI KAMA HUO KICHWANI HALAFU UNAUISHI!!!!!!Hiyo ni jela ya kifikra kwa wengi!!