- Thread starter
- #41
FafanuaKizazi cha nyoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FafanuaKizazi cha nyoka
Hata sijuiFafanua
Na nyie vile hamshiki mimba tatzo nin? Abortion kibao au kunani?weeee hujawahi sikia mtu kaolewa na hajawahi kuguswa na mumewe wanakaa kama kaka na dada yaani hata honeymoon haikua na maajabu
watafichaje aibu sasa😂😂Unaanzaje KUTAMANI AU kuoa wakati hapandi mtungi, huoni unakuwa unajidhalilisha? Mi nashangaa sana
kwa kweli ni kuomba Mungu na kuwa na utulivu wa hali ya juuNdio maana katika kutafuta mwenza wa maisha inatakiwa umuombe Mungu, kwa akili zetu hatuwezi
kutokushika mimba kunakuwa na sababu nyingi yawezekana anaetakiwa kurutubisha hana virutubisho hiyo mimba itapatikania wapi?Na nyie vile hamshiki mimba tatzo nin? Abortion kibao au kunani?
Ww unashika mamy tujaribu?[emoji41]kutokushika mimba kunakuwa na sababu nyingi yawezekana anaetakiwa kurutubisha hana virutubisho hiyo mimba itapatikania wapi?
sema kwa kuwa mmekariri mwanamke asiposhika mimba basi tatizo ni lake
bahati mbaya sina kizazi cha majaribioWw unashika mamy tujaribu?[emoji41]
Comment ya kibabe... Sawa mkuubahati mbaya sina kizazi cha majaribio
Kwel mkuu kweny hii dp yake ana chura matata sana kwel la Taifa unaeza muomba ata umpakate kwa nusu dakika akukalie tuHuyo mkuu kabarikiwa chura ya Taifa!
Nipo hapa.Natamani ningepata.mtu...tukapendana na kuvumilia mpakaNdoa...UZINZI na ZINAAA nimetokea kuzichukia Sana Sana Sana.
MOLa nipe nguvu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mostly used ,watu wanajipigia tuu Tena bila hurumakabla ya UE/FINAL kuna TEST..
lazima UTEST uku mpaka ndoa ni UONGO MTAKATIFU.
Kuna mdada alidai BIKRA mpaka ndoa,Msela akavumilia baada ya ndoa kumbe bidada alikuwa THE MOST USED.
Kikubwa ni KUTEST masuala mpaka ndoa peleka ZENJI
Njoo pm [emoji4][emoji4]Natamani ningepata.mtu...tukapendana na kuvumilia mpakaNdoa...UZINZI na ZINAAA nimetokea kuzichukia Sana Sana Sana.
MOLa nipe nguvu
Ww unaweza kuvumilia? Je ukikuta ana kiba[emoji817]?Bora kuvumilia muoane siku ya honey moon ndio mnakutana inakuwa Raha Sasa mumeshaziniana wengine vibamia, mabwawa Kuna umuhimu gani. Mtu anayekupenda serious atakuvumilia mpaka ndoa
Kwamba mwamba kaingia honeymoon kinyoonge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anapiga kimoja chali ....demu mizuka kibao ipo ...jamaa anasema aah tunamalizia kesho bhana .... Wakuu SEX IS POWER ..katika mahusiano .., wakati wa kujiandaa ktk maswala ya ndoa n pamoja na kujali afya yako kwa ujumla (kiakili,nafsi na mwili) sio kukomaa tuu kujiandaa kiuchumiweeee hujawahi sikia mtu kaolewa na hajawahi kuguswa na mumewe wanakaa kama kaka na dada yaani hata honeymoon haikua na maajabu
hata iko kimoja hakikuwepo 😂😂😂😂Kwamba mwamba kaingia honeymoon kinyoonge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anapiga kimoja chali ....demu mizuka kibao ipo ...jamaa anasema aah tunamalizia kesho bhana .... Wakuu SEX IS POWER ..katika mahusiano .., wakati wa kujiandaa ktk maswala ya ndoa n pamoja na kujali afya yako kwa ujumla (kiakili,nafsi na mwili) sio kukomaa tuu kujiandaa kiuchumi
One love
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa katili sanaUnamuacha tuu bila ata kummega ili ajua anaweza akaachika vilevile kabla hajamegwa. Na Ikiwezekana kula rafki yake wa karibu na alijue ilo
Navumilia tu vizuri tu, kibamia ndio kizuri sasaWw unaweza kuvumilia? Je ukikuta ana kiba[emoji817]?
cariha unachoongea n kweli tatizo tupo kwenye dunia ambayo Imani imepungua kabisa na watu hawana matumaini Tena ,Yan mtu anaweza akakupenda kweli lakini moyoni akawa na hofu pengine akikuvumilia na ww utakua tayari kumvumilia ??Bora kuvumilia muoane siku ya honey moon ndio mnakutana inakuwa Raha Sasa mumeshaziniana wengine vibamia, mabwawa Kuna umuhimu gani. Mtu anayekupenda serious atakuvumilia mpaka ndoa