Mahusiano ya kimapenzi na tendo la ndoa

Mahusiano ya kimapenzi na tendo la ndoa

Na nyie vile hamshiki mimba tatzo nin? Abortion kibao au kunani?
kutokushika mimba kunakuwa na sababu nyingi yawezekana anaetakiwa kurutubisha hana virutubisho hiyo mimba itapatikania wapi?
sema kwa kuwa mmekariri mwanamke asiposhika mimba basi tatizo ni lake
 
Bora kuvumilia muoane siku ya honey moon ndio mnakutana inakuwa Raha Sasa mumeshaziniana wengine vibamia, mabwawa Kuna umuhimu gani. Mtu anayekupenda serious atakuvumilia mpaka ndoa
 
kabla ya UE/FINAL kuna TEST..
lazima UTEST uku mpaka ndoa ni UONGO MTAKATIFU.

Kuna mdada alidai BIKRA mpaka ndoa,Msela akavumilia baada ya ndoa kumbe bidada alikuwa THE MOST USED.

Kikubwa ni KUTEST masuala mpaka ndoa peleka ZENJI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mostly used ,watu wanajipigia tuu Tena bila huruma

One love
 
Bora kuvumilia muoane siku ya honey moon ndio mnakutana inakuwa Raha Sasa mumeshaziniana wengine vibamia, mabwawa Kuna umuhimu gani. Mtu anayekupenda serious atakuvumilia mpaka ndoa
Ww unaweza kuvumilia? Je ukikuta ana kiba[emoji817]?
 
weeee hujawahi sikia mtu kaolewa na hajawahi kuguswa na mumewe wanakaa kama kaka na dada yaani hata honeymoon haikua na maajabu
Kwamba mwamba kaingia honeymoon kinyoonge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anapiga kimoja chali ....demu mizuka kibao ipo ...jamaa anasema aah tunamalizia kesho bhana .... Wakuu SEX IS POWER ..katika mahusiano .., wakati wa kujiandaa ktk maswala ya ndoa n pamoja na kujali afya yako kwa ujumla (kiakili,nafsi na mwili) sio kukomaa tuu kujiandaa kiuchumi

One love
 
Kwamba mwamba kaingia honeymoon kinyoonge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anapiga kimoja chali ....demu mizuka kibao ipo ...jamaa anasema aah tunamalizia kesho bhana .... Wakuu SEX IS POWER ..katika mahusiano .., wakati wa kujiandaa ktk maswala ya ndoa n pamoja na kujali afya yako kwa ujumla (kiakili,nafsi na mwili) sio kukomaa tuu kujiandaa kiuchumi

One love
hata iko kimoja hakikuwepo 😂😂😂😂
 
Bora kuvumilia muoane siku ya honey moon ndio mnakutana inakuwa Raha Sasa mumeshaziniana wengine vibamia, mabwawa Kuna umuhimu gani. Mtu anayekupenda serious atakuvumilia mpaka ndoa
cariha unachoongea n kweli tatizo tupo kwenye dunia ambayo Imani imepungua kabisa na watu hawana matumaini Tena ,Yan mtu anaweza akakupenda kweli lakini moyoni akawa na hofu pengine akikuvumilia na ww utakua tayari kumvumilia ??

One love
 
Back
Top Bottom