Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Ukimpata mtu sahihi, wakati wa uchumba ukaona mnaelewana sana basi mvumiliane tu, huyo ndiyo mtu sahihi, ila pia sex kwa wanaume sisi haiepukikiNatamani ningepata.mtu...tukapendana na kuvumilia mpakaNdoa...UZINZI na ZINAAA nimetokea kuzichukia Sana Sana Sana.
MOLa nipe nguvu