cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Unajua kuonjana onja hovyo Kuna fanya mahusiano hayadumu kabisa, zamani watu waliooana na kujuana ndoani sikuhizi watu ni Malaya papuchi zimeharibiwa na wanaume funua funua hovyo, Sasa hapo ukioa unafikiri utatulia.cariha unachoongea n kweli tatizo tupo kwenye dunia ambayo Imani imepungua kabisa na watu hawana matumaini Tena ,Yan mtu anaweza akakupenda kweli lakini moyoni akawa na hofu pengine akikuvumilia na ww utakua tayari kumvumilia ??
One love
Mtu mliyepanga kuoana na mumedhamiria Bora muvumiliane Hadi ndoa bila hvo ndoa zitakufa.