Umepotea mama mchungaji.Nishampata mjinga wangu hapa namshika masikio, alisikika binti mjanja mnjanja akiropoka..
Kwahiyo yeye ndio mjinga?🤣 umefahamu vipi?Nishampata mjinga wangu hapa namshika masikio, alisikika binti mjanja mnjanja akiropoka..
Mama mchungaji umepotea sana!Nishampata mjinga wangu hapa namshika masikio, alisikika binti mjanja mnjanja akiropoka..
Nipo rafiki yangu, nilifichwaa...Mama mchungaji umepotea sana!
Nani alikuficha? Nimepiga sana goti kukuombeaNipo rafiki yangu, nilifichwaa...
Majukumu tu, ushawaza mbali😂🤸Nani alikuficha? Nimepiga sana goti kukuombea
Wala hata, nlijua labda ulikua unakuja Kwa ubatizo mwngnMajukumu tu, ushawaza mbali😂🤸
Smart kichwani in public ila deep and down in life mmoja ni mwehuMimi naona hauko sahihi, labda kama una maana nyingine ya mjinga.
Halafu epuka kutumia maneno ambayo yataonesha hujui unachokiandika.
"They can't ever"
Haya maneno yameondoa maana ya uzi wako, sababu ipo mifano mingi ya mwanaume na mwanamke ambao wote ni "Smart" kichwani.
Hii argument yako tunairahisisha na kuiboresha zaidi.Hili jambo nmekuwa nikilichunguza Kwa mda sana Hadi nimefikia hitimisho ukweli kabisa watu wawili hawano jielewa na kujitambua they can't fall in love
Mapenzi HUITAJI mjinga mmoja na mwenye akili mmoja so tafuta mjinga wako au wewe kuwa mjinga ili upate mwenye akili
Ni Hilo tu nawafundisha ndugu zangu
Emotional intelligence...Not smart, those are people with no interpersonal skills.
Uchunguzi wako umeuhitimisha kikatili sana isee!Hili jambo nmekuwa nikilichunguza Kwa mda sana Hadi nimefikia hitimisho ukweli kabisa watu wawili hawano jielewa na kujitambua they can't fall in love
Mapenzi HUITAJI mjinga mmoja na mwenye akili mmoja so tafuta mjinga wako au wewe kuwa mjinga ili upate mwenye akili
Ni Hilo tu nawafundisha ndugu zangu
Ndonikasema, mleta mada kakosa tu maneno ya kupachika ili aeleweke sawa sawa.Mimi naona hauko sahihi, labda kama una maana nyingine ya mjinga.
Halafu epuka kutumia maneno ambayo yataonesha hujui unachokiandika.
"They can't ever"
Haya maneno yameondoa maana ya uzi wako, sababu ipo mifano mingi ya mwanaume na mwanamke ambao wote ni "Smart" kichwani.
Tatizo ndoa za wenye akili hazidumu. Dakika tatu nyingi washaachana.Ndoa inahitaji wenye akili wote wala hautakaa usikie mtu kachinjwa eti kisa kafumania