Una hoja ila mimi uchunguzi wangu ulibaini kuwa moyo ule wa upendo wa bila sababu unatosha kabisaa.Hili jambo nmekuwa nikilichunguza Kwa mda sana Hadi nimefikia hitimisho ukweli kabisa watu wawili hawano jielewa na kujitambua they can't fall in love
Mapenzi HUITAJI mjinga mmoja na mwenye akili mmoja so tafuta mjinga wako au wewe kuwa mjinga ili upate mwenye akili
Ni Hilo tu nawafundisha ndugu zangu
Sasa ndoa na mtu asiye na akili inakuaje mkuu? Kwamba uchukue goigoi tu uanze kuishi nalo? Vipi kuhusu future ya wanao ? Au unajitazama wewe tu binafsi?Tatizo ndoa za wenye akili hazidumu. Dakika tatu nyingi washaachana.
Mkuu, hata hao wenye akili wakiachana, future ya watoto itaingia kwenye mtanziko mkubwa.Sasa ndoa na mtu aiye na akili inakuaje mkuu? Kwamba uchukue goigoi tu uanze kuishi nalo? Vipi kuhusu future ya wanao ? Au unajitazama wewe tu binafsi?
Mkuu mtoto pia anarithi akili kwa wazazi , kwa hiyo uoe au kuolewa na goigoi tu kwa maslahi yako binafsi bila kutazama watoto?Mkuu, hata hao wenye akili wakiachana, future ya watoto itaingia kwenye mtanziko mkubwa.
Ingia kwenye ndoa na yeyote mnayeshibana mioyoni. Maana kipimo cha akili hakipo hapa Tanzania. .Mkuu mtoto pia anarithi akili kwa wazazi , kwa hiyo uoe au kuolewa na goigoi tu kwa maslahi yako binafsi bila kutazama watoto?
Mkuu japo ushauri wa wewe kunishauri mimi nitafute siutaki, ila siungi mkono mtu ajiokoteee tu goigoi .Ingia kwenye ndoa na yeyote mnayeshibana mioyoni. Maana kipimo cha akili hakipo hapa Tanzania. .
Utajuaje huyu ana akili ama hana akili?
1. Wapo walioangalia uchakaramu ......wakaafeli.
2. Walioangalia kiwango cha elimu..... Walifeli.
3. Walioangalia mafanikio..... Walinyanyasika.
Tafuta mtu ambaye akiona hata kamasi.lako anatamani kulilamba. Akili ktk ndoa ni dhana ya kufikirika tu iliyomaanisha compatibility and incompatibility au match and mismatch amongst couples.
Mfano mlevi akimpata mlevi mwenzie utaona wanasiafiana na wanaishi mpoka kifo.
Mimi ni hip hop that's whyUchunguzi wako umeuhitimisha kikatili sana isee!
Sema nini, majibu uliyoyapata katika uchunguzi wako yapo sawa ila hujayawekea mtiririko mzuri katika recomendations za results.
Kusema moja mjinga na mwingine mwerevu hapana, wote wanakuwa na akili, isipokuwa mmoja lazima awe master na mwingine ni slave, na ni kweli upendo hautakuja kubalonce kwa wapenzi hata siku moja na hapo ndiyo penzi hunoga.
Hayo ninayokueleza hayana cha sura, elimu, ukwasi, jinsia wala madaraka.
Ndiyo maana wanaowaliza wenzao kwenye mapenzi ambao wewe ndiyo unawaita wenye akili, nao ipo sehemu hukwamishwa na kuonekana ni wapumbaf, hunyanyaswa sana na wengine hufikia kujiua wakihisi kuumizwa.