Mahusiano ya upande mmoja

Mahusiano ya upande mmoja

Kama mlianza, ujue kuna mwisho. Jitahidi kuuelewesha moyo wako. Ni muhimu sana.
 
Habari ndugu zangu member wa JF ndugu yenu yamenifika.. Nina mpenzi wangu tumeanza mahusiano yetu toka mwaka jana mwezi wa 11, tulianza vizuri kama mnavyojua penzi jipya simu za kila mara kutumiana txt mpaka saa 8 za usiku.

Mwezi mmoja uliopita nilianza kuona mabadiriko anitumii txt mpaka mimi nianze, apigi mpaka nianze mimi yani mimi kama nikikausha ndio basi iyo na ata akijibu basi ujibu vile.. atakavyo kama vile PW,HAYA etc.. yaani unaweza kutuma txt inayohitaji maelezo mengi lakini majibu yake ni OKAY au SAWA..

Kwa uzoefu wangu naona kabisa hapa jahazi limeshazama yaani sihitajiki lakini moyo ndio umegoma kumuacha yaani nakuwa kama mtumwa kukubali kuendelea sehemu ambayo najua tayari sipendwi.. shida nyingine ni kuwa nikimuita anipe tunda huwa anakuja bila shida.

Msaada wenu member wenzangu kama mnavyojua moyo ukishapenda akili inaacha kufanya kazi.
Oooh pole sana , unapitia kipindi kigum kwakwel.Ushaur wangu jitahid kumwelew mpenz wako ili ujue wap Pana changamoto , ukigundua kuwa ana mpango wa kando bas huna budi kufanya maamuzi."sio Kila utakae okota nae kuni ndio utaota nae moto".MOVE ON!
 
Namimi leo nimeuchuna simtumii txt wala kumpigia simu asiponitafuta siku ya Leo mpaka kesho itabidi nianze kuzoea maisha mengine ya kuishi bila uwepo wake
 
Habari ndugu zangu member wa JF ndugu yenu yamenifika.. Nina mpenzi wangu tumeanza mahusiano yetu toka mwaka jana mwezi wa 11, tulianza vizuri kama mnavyojua penzi jipya simu za kila mara kutumiana txt mpaka saa 8 za usiku.

Mwezi mmoja uliopita nilianza kuona mabadiriko anitumii txt mpaka mimi nianze, apigi mpaka nianze mimi yani mimi kama nikikausha ndio basi iyo na ata akijibu basi ujibu vile.. atakavyo kama vile PW,HAYA etc.. yaani unaweza kutuma txt inayohitaji maelezo mengi lakini majibu yake ni OKAY au SAWA..

Kwa uzoefu wangu naona kabisa hapa jahazi limeshazama yaani sihitajiki lakini moyo ndio umegoma kumuacha yaani nakuwa kama mtumwa kukubali kuendelea sehemu ambayo najua tayari sipendwi.. shida nyingine ni kuwa nikimuita anipe tunda huwa anakuja bila shida.

Msaada wenu member wenzangu kama mnavyojua moyo ukishapenda akili inaacha kufanya kazi.
Jifunze kut ku force upendwe au umuhimu wako uonekane.
Hiyo ni dalili moja wapo kuwa muhusika hakuhitaji. Lakini kabla ya hapo muite ongea nae kujua tatizo, ila asipokuwa muwazi

Ondoka, nenda unapokubalika
 
Back
Top Bottom