Mahusiano ya upande mmoja

Mahusiano ya upande mmoja

Habari ndugu zangu member wa JF ndugu yenu yamenifika.. Nina mpenzi wangu tumeanza mahusiano yetu toka mwaka jana mwezi wa 11, tulianza vizuri kama mnavyojua penzi jipya simu za kila mara kutumiana txt mpaka saa 8 za usiku.

Mwezi mmoja uliopita nilianza kuona mabadiriko anitumii txt mpaka mimi nianze, apigi mpaka nianze mimi yani mimi kama nikikausha ndio basi iyo na ata akijibu basi ujibu vile.. atakavyo kama vile PW,HAYA etc.. yaani unaweza kutuma txt inayohitaji maelezo mengi lakini majibu yake ni OKAY au SAWA..

Kwa uzoefu wangu naona kabisa hapa jahazi limeshazama yaani sihitajiki lakini moyo ndio umegoma kumuacha yaani nakuwa kama mtumwa kukubali kuendelea sehemu ambayo najua tayari sipendwi.. shida nyingine ni kuwa nikimuita anipe tunda huwa anakuja bila shida.

Msaada wenu member wenzangu kama mnavyojua moyo ukishapenda akili inaacha kufanya kazi.
Make the most of your resources to re-establish your connection to your creator.
 
1.Huenda ana machimbo mawili so anapima upepo huku na huku hakuna excuse ya mtu kutokukumbuka kimawasiliano hususan girls wanapenda chatting kuliko hata sisi wanaume.
2.Fikiria kuanzisha mahusiano mengine huku ukiendelea nae ila unajiandaa kujitoa kdg kdg
3. Huenda umemuweka kwenye comfort zone hafeel ile excitement ya mahusiano remember kutokuwa predictable and nice guy kwenye mahusiano ( apply bad boy tricks)
 
Habari ndugu zangu member wa JF ndugu yenu yamenifika.. Nina mpenzi wangu tumeanza mahusiano yetu toka mwaka jana mwezi wa 11, tulianza vizuri kama mnavyojua penzi jipya simu za kila mara kutumiana txt mpaka saa 8 za usiku.

Mwezi mmoja uliopita nilianza kuona mabadiriko anitumii txt mpaka mimi nianze, apigi mpaka nianze mimi yani mimi kama nikikausha ndio basi iyo na ata akijibu basi ujibu vile.. atakavyo kama vile PW,HAYA etc.. yaani unaweza kutuma txt inayohitaji maelezo mengi lakini majibu yake ni OKAY au SAWA..

Kwa uzoefu wangu naona kabisa hapa jahazi limeshazama yaani sihitajiki lakini moyo ndio umegoma kumuacha yaani nakuwa kama mtumwa kukubali kuendelea sehemu ambayo najua tayari sipendwi.. shida nyingine ni kuwa nikimuita anipe tunda huwa anakuja bila shida.

Msaada wenu member wenzangu kama mnavyojua moyo ukishapenda akili inaacha kufanya kazi.
Acha ujinga.

Piga chini.
 
Habari ndugu zangu member wa JF ndugu yenu yamenifika.. Nina mpenzi wangu tumeanza mahusiano yetu toka mwaka jana mwezi wa 11, tulianza vizuri kama mnavyojua penzi jipya simu za kila mara kutumiana txt mpaka saa 8 za usiku.

Mwezi mmoja uliopita nilianza kuona mabadiriko anitumii txt mpaka mimi nianze, apigi mpaka nianze mimi yani mimi kama nikikausha ndio basi iyo na ata akijibu basi ujibu vile.. atakavyo kama vile PW,HAYA etc.. yaani unaweza kutuma txt inayohitaji maelezo mengi lakini majibu yake ni OKAY au SAWA..

Kwa uzoefu wangu naona kabisa hapa jahazi limeshazama yaani sihitajiki lakini moyo ndio umegoma kumuacha yaani nakuwa kama mtumwa kukubali kuendelea sehemu ambayo najua tayari sipendwi.. shida nyingine ni kuwa nikimuita anipe tunda huwa anakuja bila shida.

Msaada wenu member wenzangu kama mnavyojua moyo ukishapenda akili inaacha kufanya kazi.
Kubali matokeo na ujipange kwa mahusiano mengine. Vinginevyo usiruhusu hisia zikakutawala.
 
1.Huenda ana machimbo mawili so anapima upepo huku na huku hakuna excuse ya mtu kutokukumbuka kimawasiliano hususan girls wanapenda chatting kuliko hata sisi wanaume.
2.Fikiria kuanzisha mahusiano mengine huku ukiendelea nae ila unajiandaa kujitoa kdg kdg
3. Huenda umemuweka kwenye comfort zone hafeel ile excitement ya mahusiano remember kutokuwa predictable and nice guy kwenye mahusiano ( apply bad boy tricks)
Nimekuelewa sana mkuu
 
Kama penzi anakupa moyo wake unautakia nini? Au unataka kufanya transplant?
 
Kama hujazaliwa 2000 kwenda juu sizan? Mana nyie watu wa hovyo sana ila kama umezaliwa chin ya hapo mzee mwenzangu acha usenge huo muda wa kuwaza mapenz unatoa wapii? Unalitia hasara taifa kwa kutudhalalisha wazee wenzako kudadadek wewee ndio mana hatuamkiwi kitaa kisa upumbv wako oyaa nyokoo wewe unatuahibisha
 
Back
Top Bottom