Uchaguzi 2020 Maisha Baada ya Uchaguzi: CCM won the Battle and lost the War


Huu ndo utakua mwelekeo wa siasa za 2020 mpaka atakapoamua kuondoka au watu watakapochoka na kumuondoa.

Kwa sasa salama yako ni kusifu.
 
Huu ndo utakua mwelekeo wa siasa za 2020 mpaka atakapoamua kuondoka au watu watakapochoka na kumuondoa.

Kwa sasa salama yako ni kusifu.
Ss basi tuanze kampeni za kuondoa ukomo. Lazima wote ccm na upinzani tupate tunachotaka. Tusikwamishane kabisa. Twende na mwelekeo wa kijani.
 
This was expected. Aliyeamini kitu tofauti alikuwa akiota mchana au alikuwa akijifariji moyoni tu ili kujipunguzia stress

Huwezi kushinda uchaguzi kwa TUME hii. Lissu, Zitto, Mbowe etc wote wanajua hili.
 

Era ya kuishi mawazo ya mtu mmoja haina manufaa kwa nchi.

Iwe wapinzani wameshinda au la, mfumo wa kuweka checks and balances ni muhimu.

Ndiyo maana nasema nakuombea maisha marefu uone matunda ya huu uchaguzi.
 
Very true
 
The gov is broke asf and have ongoing big project which need a lot of funding it does'nt have, they will squeez every penny from y'all and they wont give a damn if you are broke too.

And they will all be talking about plane, roads and flyover like its everything a citizen need
 

Bwawa la umeme la Nyerere linakisiwa kugharibu Shilingi Trilioni 9.

Haya makisio yanasemekana ni ya chini na inaweza kuwa mara mbili yake.

Mradi huu unalipwa in $. Utalii ambao ni biggest earner wa $ upo chini for the next two years.

Donors watapunguza misaada na wengine hawatatoa kabisa. Sekta ya Afya na Elimu itapata shida.

Hapa kuna watu wanashangilia. Bado miradi mingine mingi ipo haijafikia hata 50%, mfano SGR.

Bado ATCL inahitaji ruzuku.
 
Chadema ni watu wasio na staha kabisa , watu wafedhuli, wapenda matusi tuuu, inasikitisha Sana hata mode walikuwa upande wao daily kupigana ban ovyo ovyo just to defend their cowardnes, nashukru Wananchi wamewanyoosha ipasavyo. Hawa watu siwez wahurumia hata kdogo very ridiculous.
 
Hebu waambie hao,TZ itaendelea na amaani kama kawaida.Mtu kata zote umepigwa ndio ushinde
 
Komenti ya kimbwa mbwa kama1hii ndiyo tatizo la kukabithi vichaa nchi we will remember black 2015 for ever
 
Baba wa Taifa aliwahi kusema mpumbavu ni sawa na MTU mfupi ambae huwezi kumrefusha na ukilazimisha kumrefusha utamuua.Nchi imeshachanika wajinga wanaweza kuelewaelewa hv ila usitarajie wapumbavu wataelewa mambo haya sio rahisi ksbisa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…