Uchaguzi 2020 Maisha Baada ya Uchaguzi: CCM won the Battle and lost the War

Uchaguzi 2020 Maisha Baada ya Uchaguzi: CCM won the Battle and lost the War

Naona kabisa Jiwe akisalia madarakani mpaka kifo kimtenganishe na madaraka.
 
Kwasababu miradi pia itakuja kutumika na watu wa nje

Hapana, haitatumika kabisa kwani mingi haitaisha.

Itakayoisha itatumika below capacity yake na kuwa hasara. Mfano ATCL.

Hizo Mega Projects ni white elephants ambazo kwa hali ya kifedha na kihuduma nchi yetu ingeweka nguvu kwenye vipaumbele vingine.
 
Wanaoshangilia ushindi wa namna hii ni wasioona mbali ni wachumia tumbo. mtoa mada ameona mbali lakini hawa wanaokejeli hawajui wanachokejeli maana gharama ya uchaguzi huu kwa jamii ya kitanzania ni kubwa. Uchaguzi huu umewaachia watanzania chuki, hasira na sononeko kubwa.
 
Hapana, haitatumika kabisa kwani mingi haitaisha.

Itakayoisha itatumika below capacity yake na kuwa hasara. Mfano ATCL.

Hizo Mega Projects ni white elephants ambazo kwa hali ya kifedha na kihuduma nchi yetu ingeweka nguvu kwenye vipaumbele vingine.
Aah kwahio barabara ya Tazara imefungwa na pale ubungo siku hizi tunazungukia kinyerezi
 
Wanaoshangilia ushindi wa namna hii ni wasioona mbali ni wachumia tumbo. mtoa mada ameona mbali lakini hawa wanaokejeli hawajui wanachokejeli maana gharama ya uchaguzi huu kwa jamii ya kitanzania ni kubwa. Uchaguzi huu umewaachia watanzania chuki, hasira na sononeko kubwa.
Hapa mtaani nawaona, wengi ni wamama ambao kutwa kucha wanatozwa pesa kila wakienda hospitali kupata huduma, vijana walevi ambao maisha yao ni kula mirungi tu, yani huoni mtu wa maana akishangilia, sijui bana
 
Wanaoshangilia ushindi wa namna hii ni wasioona mbali ni wachumia tumbo. mtoa mada ameona mbali lakini hawa wanaokejeli hawajui wanachokejeli maana gharama ya uchaguzi huu kwa jamii ya kitanzania ni kubwa. Uchaguzi huu umewaachia watanzania chuki, hasira na sononeko kubwa.

Acha tujipe muda mkuu. Watanzania wengi ni hadi waone kwa vitendo ndio wataamini?
 
Chadema ni watu wasio na staha kabisa , watu wafedhuli , wapenda matusi tuuu, inasikitisha Sana hata mode walikuwa upande wao daily kupigana ban ovyo ovyo just to defend their cowardnes , nashukru Wananchi wamewanyoosha ipasavyo ...hawa watu siwez wahurumia hata kdogo very ridiculous....
Mkuu kukaa kimya ni kuzuri kwa nyakati kana hizi. Na ubaya ni kwamba huwezi kufuta hiki ulichoandika!

Hivi unasema kabisa kwamba unashukuru kwa wananchi kuwafutilia mbali Chadema! Au ulimaanisha wananchi wa Tume ya uchaguzi, PoliCCM, JWTZ na TISSccm?
 
Kati ya nguvu kubwa inayotakiwa kuwekwa Tanzania ni elimu, umoja na uwajibikaji. Kwenye nchi ambayo siasa inaendeshwa kishabiki hoja zinakosa mashiko.

Kimsingi nawaheshimu sana wapinzani kukomaa maana watanzania bado hatujawa na hoja na misimamo ya jamii. Tunaenda na ushabiki. Kuhatarisha maisha kwenye ushabiki si rahisi hivyo.

Na CCM walichoweza ni kuwa na mfumo wa kuuma na kupuliza. Wanatudorishia maendeleo wao wakifaidika maradufu na mfumo huo. Na kutokana na kufaidika kwao wako tayari kutumia mbinu zote kubaki.

Siku tutakapong'amua kuwa tuna nafasi ya kupata vingi bora kuliko wanavyotudorishia, tutakuwa tumetoka.

Kwa uzoefu wangu wa watanzania wasomi na wasio wasomi bado hatuna utambuzi huo na mifumo yetu ya kijamii haitupi sababu za kulinda maslahi ya jamii. Sisi ni watu wakupambana binafsi.

Lakini kuna tumaini. Kuna mamilioni wamewapigia kura upinzani katika mazingira haya. Tuongeze nguvu kuelimishana kuwa tunaweza kupata maendeleo bila kutishwa, tunaweza kupata maendeleo bila kuabudu watu, tunaweza kupata maendeleo tukiwa na mifumo bora ya kazi ambayo mpaka sasa CCM wameshindwa kutupatia.
 
Wakandarasi wa hii miradi wote ni wa nje. Wafanyakazi wazawa wengi ni casual laborers tu.

Unakusanya kodi kwa asilimia kubwa kwa shilingi, miradi unalipa kwa dola kwa kampuni za kigeni.

Hapo nusu ya makusanyo ni kulipa madeni ambayo pia ni dola, euro n.k.

Kwa sababu umeongeza waimba kwaya wa kusifu na kuabudu gharama za kuendesha serikali nazo zitaongezeka.

Tutakuja hapa kutafutana mchawi wetu nani.
Its will be fun to watch Raia Wanyonge wakizidi unyonge.
Right now nothing will undo what has been done.
Lest brace ourself and take a beating like a real man,survival for the fittest.
 
Aah kwahio barabara ya Tazara imefungwa na pale ubungo siku hizi tunazungukia kinyerezi

Kuna tofauti ya Barabara ya Ubungo na Mega Projects.

Mega Projects kama ujenzi wa SGR unaohitaji consortium banks ku-finance. Sidhani kama unajua gharama ya huu mradi.

Au Nyerere Hydropower inayochukua karibu 30% ya bajeti yetu ya mwaka.
 
Mkuu kukaa kimya ni kuzuri kwa nyakati kana hizi. Na ubaya ni kwamba huwezi kufuta hiki ulichoandika!

Hivi unasema kabisa kwamba unashukuru kwa wananchi kuwafutilia mbali Chadema! Au ulimaanisha wananchi wa Tume ya uchaguzi, PoliCCM, JWTZ na TISSccm?
Basi sawa, sote tukubaliane kwamba wamefutiliwa mbali, halafu?
 
Back
Top Bottom