Uchaguzi 2020 Maisha Baada ya Uchaguzi: CCM won the Battle and lost the War

Uchaguzi 2020 Maisha Baada ya Uchaguzi: CCM won the Battle and lost the War

MALIPO YA DHULUMA NI LAANA NA KIFO

LAANA YA MUNGU IWAPATE WOTE WALIOSHINDA KWA DHULMA NA WIZI

BARAKA ZA MUNGU ZIAMBATANE NA WALIOSHINDA KIHALALI NA WALIO TAYARI KUWATUMIKIA WANANCHI
 
MALIPO YA DHULUMA NI LAANA NA KIFO

LAANA YA MUNGU IWAPATE WOTE WALIOSHINDA KWA DHULMA NA WIZI

BARAKA ZA MUNGU ZIAMBATANE NA WALIOSHINDA KIHALALI NA WALIO TAYARI KUWATUMIKIA WANANCHI
Laana unaijua wewe. ..endeleeni kujifariji
 
tutulize munkari Watanzania wenzangu, nchi hii bado ni changa sana haijafikia kuongozwa mnavyotaka, upinzani umeshauliwa rayari tusubiri miaka 50 mbele ndo tutaongea habari ya kuongozwa na upinzani.
 
Hakuna aliyetegemea uchaguzi uwe wa huru na haki. Lakini hakuna aliyetegemea wizi uwe wa wazi na wa kijinga hivi.

Chama Cha Mapinduzi, kama chama kikongwe barani Afrika, kimethihirisha hakipo tayari kuachia madaraka kwa njia ya sanduku la kura. Si Bara wala si Visiwani.

CCM si chama cha siasa tena, CCM ni mfumo uliyoishikilia nchi hii mateka. Hamna tofauti na CCP China, Putin’s Russia, Kim’s Korea, Castro’s Cuba, Lukashenko’s Belarus, n.k. Mifumo ya kisoshalisti na kikomunisti iliyoasisiwa na Mwalimu Nyerere.

CCM kwanza, Tanzania baadae. Wakuu wa vyombo vya dola pamoja na wakuu wa majeshi wapo kulinda kwanza maslahi ya Mwenyekiti wa CCM kisha CCM na mwisho Tanzania.

Kwao adui wa Mwenyekiti wa CCM ni adui wa Tanzania. Adui wa Chama ni adui wa Tanzania.

Huu uchaguzi ni kichekesho kingine kama ilivyokuwa 1995, 2000, 2005, 2010 na 2015. Mawakala wa vyama vya upinzani wanakamatwa na kutolewa kwenye vituo. Kura feki kwenye mabegi na maboksi zinaingizwa kujumuishwa kwenye mahesabu.

Haya yanasimamiwa na wakurugenzi, wakuu wa wilaya, wakuu wa Usalama wa Taifa na wakuu wa mikoa. Nani mnamdanganya?

Majeraha ya Uchaguzi huu, tofauti na miaka mingine, ni mpasuko mkubwa na kuhatarisha umoja wa nchi.

Watu wameenda kupiga kura ili roho zao ziwe na amani tu, haijalishi mtaiba kura zao au la! Hii ni chuki kubwa imepandwa.

Kibaya zaidi tofauti na watangulizi wa nyuma, Rais Magufuli hajui na hawezi kuunganisha Taifa kwa kauli na matendo yake na amezungukwa na wabinafsi wa hali ya juu.

Ni rahisi kushangilia na kusema wameshinda na kuwagaragaza wapinzani.

Ni rahisi kwa wachambuzi wa mambo ya siasa kusema "Upinzani bado sana" au "Upinzani haukujipanga". Unabaki kujiuliza, kwa mazingira haya unategemea upinzani ujipange vipi ili kuwe na haki.

Media zote zimefungwa mdomo. Hakuna uchambuzi, sharia ni kusoma kile watawala wanataka basi.

Mediocrity (Sabaya, Makonda, Mambosasa, Polepole, Kabudi et al) is the order of the day. Short-termism is the norm.

Ipi gharama ya ushindi huu kwa CCM? Kupasua umoja wa nchi? Kutumia silaha na nguvu kuhalalisha ushindi hakukupi ushindi bali kunakuongezea maadui.

Mfano leo hii Kusini kuna tishio la Ugaidi bado tena unawaibia hao watu haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka. Wakuu wa Usalama na Ulinzi wanategemea nini?

Inasikitisha haya yanafanywa na tume iliyoundwa na Majaji na Wasomi. Haya yanasimamiwa na Majenerali wa vyombo vya Ulinzi na Usalama. Hii yote ni kumfurahisha Mwenyekiti.

Imemchukua Baba wa Taifa zaidi ya miaka 20 na Watanzania wamepitia sacrifices nyingi kujenga Umoja katika nchi hii.

CCM Mpya chini ya miaka 5, inafanikiwa kuvunja hii legacy na kujisifu wao ni wazalendo.

Nchi inaingia kwenye giza kubwa na kuishi mawazo ya mtu mmoja tu ambaye si mwerevu.

Taifa linaelekea kwenye mpasuko mkubwa tokea tupate Uhuru.
Tanzania ni nchi inayotawaliwa kwa misingi ya kishetani; so sishangai kwa kilichotokea.
 
Kuna walevi fulani walisikika wakisema safari hii hatuibiwi kura hata moja tunapiga kura na kuzilinda.

Na kwa idadi hii kwenye mikutano yetu ni dalili kubwa lazima Ni Yeye achukue nchi.

Sasa hivi wanalialia sijajua malengo yao ni kuhitaji huruma kutoka kwa nani.

Mitano tena inaendelea kama kawaida.
 
Mimi ninafikiri Africa tuna laana. Sina jibu lingine. Maana yaliyofanyika Tanzania yanafanyika Zimbabwe , Uganda, Burundi, na kwingineko.
 
Hata Mtume au Yesu asingeweza kushinda kata hata moja.

Huu si uchaguzi ni uhuni. Sasa hana hata moral authority ya kukemea ufisadi.

Ni jambo moja kushabikia chama, ni jambo lingine kuipenda nchi na kukemea maovu.

Next in line ni purge ndani ya CCM. No one is safe.
Wahuni saccos mmebaki mitandaoni tu, endeleeni kubwabwaja Kama huyo mbwatukaji wenu aliyekimbilia ubalozini kukimbia kesi wakati anajiita mwanasheria masomi huku akisaidiwa na beberu lake Amsterdam.
 
Kuna walevi fulani walisikika wakisema safari hii hatuibiwi kura hata moja tunapiga kura na kuzilinda.

Na kwa idadi hii kwenye mikutano yetu ni dalili kubwa lazima Ni Yeye achukue nchi.

Sasa hivi wanalialia sijajua malengo yao ni kuhitaji huruma kutoka kwa nani.

Mitano tena inaendelea kama kawaida.
Mbwatukaji kawakimbia kazama ubalozini.
 
Asante Mkuu niseme Amen, lakini kumbuka hata Viongozi wa Upinzani Sio magenious au malaika kiasi Kwamba wakipewa Nchi itageuka Kuwa paradiso ghafla.. Nawapa pongezi watanzania kwa kuyapokea Matokeo, na pia nawaomba wakubaliane na Matokeo ya waliojiamulia leo yawe mabaya au mazuri, kupanga ni Kuchagua
Watanzania gani walioamua haya matokeo? Wa wapi? Acha unaa bhana.
 
Hakuna aliyetegemea uchaguzi uwe wa huru na haki. Lakini hakuna aliyetegemea wizi uwe wa wazi na wa kijinga hivi.

Chama Cha Mapinduzi, kama chama kikongwe barani Afrika, kimethihirisha hakipo tayari kuachia madaraka kwa njia ya sanduku la kura. Si Bara wala si Visiwani.

CCM si chama cha siasa tena, CCM ni mfumo uliyoishikilia nchi hii mateka. Hamna tofauti na CCP China, Putin’s Russia, Kim’s Korea, Castro’s Cuba, Lukashenko’s Belarus, n.k. Mifumo ya kisoshalisti na kikomunisti iliyoasisiwa na Mwalimu Nyerere.

CCM kwanza, Tanzania baadae. Wakuu wa vyombo vya dola pamoja na wakuu wa majeshi wapo kulinda kwanza maslahi ya Mwenyekiti wa CCM kisha CCM na mwisho Tanzania.

Kwao adui wa Mwenyekiti wa CCM ni adui wa Tanzania. Adui wa Chama ni adui wa Tanzania.

Huu uchaguzi ni kichekesho kingine kama ilivyokuwa 1995, 2000, 2005, 2010 na 2015. Mawakala wa vyama vya upinzani wanakamatwa na kutolewa kwenye vituo. Kura feki kwenye mabegi na maboksi zinaingizwa kujumuishwa kwenye mahesabu.

Haya yanasimamiwa na wakurugenzi, wakuu wa wilaya, wakuu wa Usalama wa Taifa na wakuu wa mikoa. Nani mnamdanganya?

Majeraha ya Uchaguzi huu, tofauti na miaka mingine, ni mpasuko mkubwa na kuhatarisha umoja wa nchi.

Watu wameenda kupiga kura ili roho zao ziwe na amani tu, haijalishi mtaiba kura zao au la! Hii ni chuki kubwa imepandwa.

Kibaya zaidi tofauti na watangulizi wa nyuma, Rais Magufuli hajui na hawezi kuunganisha Taifa kwa kauli na matendo yake na amezungukwa na wabinafsi wa hali ya juu.

Ni rahisi kushangilia na kusema wameshinda na kuwagaragaza wapinzani.

Ni rahisi kwa wachambuzi wa mambo ya siasa kusema "Upinzani bado sana" au "Upinzani haukujipanga". Unabaki kujiuliza, kwa mazingira haya unategemea upinzani ujipange vipi ili kuwe na haki.

Media zote zimefungwa mdomo. Hakuna uchambuzi, sharia ni kusoma kile watawala wanataka basi.

Mediocrity (Sabaya, Makonda, Mambosasa, Polepole, Kabudi et al) is the order of the day. Short-termism is the norm.

Ipi gharama ya ushindi huu kwa CCM? Kupasua umoja wa nchi? Kutumia silaha na nguvu kuhalalisha ushindi hakukupi ushindi bali kunakuongezea maadui.

Mfano leo hii Kusini kuna tishio la Ugaidi bado tena unawaibia hao watu haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka. Wakuu wa Usalama na Ulinzi wanategemea nini?

Inasikitisha haya yanafanywa na tume iliyoundwa na Majaji na Wasomi. Haya yanasimamiwa na Majenerali wa vyombo vya Ulinzi na Usalama. Hii yote ni kumfurahisha Mwenyekiti.

Imemchukua Baba wa Taifa zaidi ya miaka 20 na Watanzania wamepitia sacrifices nyingi kujenga Umoja katika nchi hii.

CCM Mpya chini ya miaka 5, inafanikiwa kuvunja hii legacy na kujisifu wao ni wazalendo.

Nchi inaingia kwenye giza kubwa na kuishi mawazo ya mtu mmoja tu ambaye si mwerevu.

Taifa linaelekea kwenye mpasuko mkubwa tokea tupate Uhuru.
Uchaguzi umeisha tujenge nchi,,mambo ya wizi wa kura nenda mahakamani kama una ushahidi
 
Hapana, haitatumika kabisa kwani mingi haitaisha.

Itakayoisha itatumika below capacity yake na kuwa hasara. Mfano ATCL.

Hizo Mega Projects ni white elephants ambazo kwa hali ya kifedha na kihuduma nchi yetu ingeweka nguvu kwenye vipaumbele vingine.

Hili nimelisema sana, Magufuli hana uwezo wa kupata 10t+ ndani ya hii miaka mitano kumalizia hiyo miradi miwili ya SGR & SG respectively. Ataumiza wananchi kwa kodi kandamizi, na atalazimisha kubaki madarakani kwa kisingizio cha kutaka kumalizia miradi yake, na wala hataweza. Wakati akifanya hayo atatengeneza maadui wengi wa ndani na nje, na ataona madarakani ni sehemu pekee ya kufia. Sioni akiachia madarakani kwa amani.
 
Uchaguzi umeisha tujenge nchi,,mambo ya wizi wa kura nenda mahakamani kama una ushahidi

Mahakama zenyewe ni sehemu ya huu wizi unaondelea, na matokeo ya urais hawapelekwi mahakamani.
 
Wahuni saccos mmebaki mitandaoni tu, endeleeni kubwabwaja Kama huyo mbwatukaji wenu aliyekimbilia ubalozini kukimbia kesi wakati anajiita mwanasheria masomi huku akisaidiwa na beberu lake Amsterdam.

Hana kesi yoyote zaidi ya maagizo ya dictator kumsumbua.
 
Mediocrity (Sabaya, Makonda, Mambosasa, Polepole, Kabudi et al) is the order of the day. Short-termism is the norm.
You nailed it. Said it all. You forgot naming Ndugai, Tulia and CAG Kicheere.
 
Nchi inaingia kwenye giza kubwa na kuishi mawazo ya mtu mmoja tu ambaye si mwerevu.
...this must be everyone's concern. Shall we survive living under the leadership of someone's personal feelings rather than wisdom?
 
Back
Top Bottom