Uchaguzi 2020 Maisha baada ya uchaguzi!

Uchaguzi 2020 Maisha baada ya uchaguzi!

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
NASAHA MUHIMU SANA...

Maisha mazuri au mabaya hayaletwi na kiongozi, bali ni kwa yale yanayochuma mikono yetu, tubadilike na tuwe wema kwanza sisi!

Tusijidanganye kwa kura, tufanye subra na tumche Allah tumtii kiongozi tuliyepewa na tuwe waadilifu.

Kura haziwezi kumuondoa au kumweka kiongozi ila akitaka Allah yeyote yule atamuweka.

Utapiga kura kwa unayemtaka, ila hatakuwa kiongozi isipokuwa aliyemtaka Allah. Na hata kama akiwa yule uliyemtaka. Allah hashindwi kuwataabisha juu ya huyo huyo mliyemtaka.

Jamani ndugu watanzania, tusifanye majaribio ya kumbugudhi au kutaka kumuondoa kiongozi aliye madarakani

Hatuwezi wote kuwa viongozi, Allah humpa uongozi yeyote anayemtaka yeye, na atamuondoa akitaka yeye!

Tuzikubali na kuzitii mamlaka zozote ambazo allah ataziweka kwa ajili yetu.

Inawezekana kabisa mkafanikiwa kumuondoa kiongozi aliyopo madarakani, ila kutokana na dhambi za mikono yetu allah akatuletea kiongozi dhaalim zaidi kuliko tuliyemtoa hata kama tumemchagua wenyewe.

Wangapi wamechagua wao wenyewe machaguo yao wenyewe wanaowapenda lakini mwisho wa siku walipoingia madarakani walikuwa waovu kuliko walivyotarajia, na walijuta juu ya yule wakitamani angerudi?

Jamani ndugu watanzania, tusifanye majaribio ya kumbugudhi au kutaka kumuondoa kiongozi aliye madarakani.

Hatuwezi wote kuwa viongozi. Allah humpa uongozi yeyote anayemtaka yeye. Na atamuondoa akitaka yeye!

Tuzikubali na kuzitii mamlaka zozote ambazo Allah ataziweka kwa ajili yetu!

Tumche allah kwa kuzitii mamlaka alizotuwekea Allah.

Tubadilike kwanza sisi Watanzania wenyewe, tuache kudhulumiana wenyewe kwanza. Allah anatuletea viongozi wanaoendana na sisi jinsi tulivyo.

Tukiwa wajeuri, majabari, wakorofi basi atatupa kiongozi ambaye atakuwa zaidi yetu.

Tukiwa wezi kuibiana wenyewe kwa wenyewe Allah atatuletea mafisadi majizi makubwa zaidi yetu.

Tutendeane wema...

Tuhurumiane...

Tufanyiane uadilifu...

Tumche Allah...

#maishamema_baadayauchaguzi
 
Andiko lako limenichanganya kama nikapige kura ama hapana. Nimekosa muelekeo kama unatutaka tumuache aliyepo ama unataka tutumie njia gani.

Unataka kusema viongozi waliopo wanaendana na sisi kwamatendo yetu na hatukuwachagua bali Mungu amewaweka yeye

Tafuta pa kusimamia usituchanganye wapiga kura
 
Andiko lako limenichanganya kama nikapige kura ama hapana
Nimekosa muelekeo kama unatutaka tumuache aliyepo ama unataka tutumie njia gani
Unataka kusema viongozi waliopo wanaendana na sisi kwamatendo yetu na hatukuwachagua bali Mungu amewaweka yeye
Tafuta pakusimamia usituchanganye wapiga kura
Sijakuambia uende au usiende kupiga kura...

Nilichosema UENDE AU USIENDE KUPIGA KURA...HATOKUWA KIONGOZI ILA AMTAKAYE ALLAH...

NA ATAKAPOKUWA KIONGOZI NI WAJIBU WETU KUMTII BILA KUMBUGUDHI...
 
Sijakuambia uende au usiende kupiga kura...

Nilichosema UENDE AU USIENDE KUPIGA KURA...HATOKUWA KIONGOZI ILA AMTAKAYE ALLAH...

NA ATAKAPOKUWA KIONGOZI NI WAJIBU WETU KUMTII BILA KUMBUGUDHI...
Hata Kama akitangazwa mshindi Batili?
 
Andiko lako limenichanganya kama nikapige kura ama hapana
Nimekosa muelekeo kama unatutaka tumuache aliyepo ama unataka tutumie njia gani
Unataka kusema viongozi waliopo wanaendana na sisi kwamatendo yetu na hatukuwachagua bali Mungu amewaweka yeye
Tafuta pakusimamia usituchanganye wapiga kura
Atakuwa anajifunza kuandika
 
Si vyema kumhukumu mtu akini.....
Baada ya Sheikh Ponda kupanda jukwaani..........
BAKWATA bhanna........
Mimi sipo na BAKWATA(kwanza SIWAPENDI) Na wala sipo upande wa PONDA(wala simuungi mkono vilevile)

Na wala mimi sio CCM wala CHADEMA. Na uchaguzi huu haunihusu.

Kinachonihusu ni maisha yetu binafsi baada ya kuwapigania matumbo ya watu.

Hakuna anayeingia kwenye uongozi kwa maslahi ya mtu hata siku moja.
 
NASAHA MUHIMU SANA...

Maisha mazuri au mabaya hayaletwi na kiongozi, bali ni kwa yale yanayochuma mikono yetu, tubadilike na tuwe wema kwanza sisi!

Tusijidanganye kwa kura, tufanye subra na tumche Allah tumtii kiongozi tuliyepewa na tuwe waadilifu...

Kura haziwezi kumuondoa au kumweka kiongozi ila akitaka Allah yeyote yule atamuweka...

UTAPIGA KURA KWA UNAYEMTAKA, ILA HATAKUWA KIONGOZI ISIPOKUWA ALIYEMTAKA ALLAH...NA HATA KAMA AKIWA YULE ULIYEMTAKA...ALLAH HASHINDWI KUWATAABISHA JUU YA HUYO HUYO MLIYEMTAKA...

Jamani ndugu Watanzania, tusifanye majaribio ya kumbugudhi au kutaka kumuondoa Kiongozi aliye madarakani...
Hatuwezi wote kuwa viongozi, ALLAH HUMPA UONGOZI YEYOTE ANAYEMTAKA YEYE...NA ATAMUONDOA AKITAKA YEYE!
TUZIKUBALI NA KUZITII MAMLAKA ZOZOTE AMBAZO ALLAH ATAZIWEKA KWA AJILI YETU...

Inawezekana kabisa mkafanikiwa kumuondoa kiongozi aliyopo madarakani, ila kutokana na dhambi za mikono yetu ALLAH akatuletea kiongozi DHAALIM ZAIDI kuliko tuliyemtoa hata kama tumemchagua wenyewe...

Wangapi wamechagua wao wenyewe machaguo yao wenyewe wanaowapenda lakini mwisho wa siku walipoingia madarakani walikuwa waovu kuliko walivyotarajia, na walijuta juu ya yule wakitamani angerudi...?

Jamani ndugu Watanzania, tusifanye majaribio ya kumbugudhi au kutaka kumuondoa Kiongozi aliye madarakani...
Hatuwezi wote kuwa viongozi, ALLAH HUMPA UONGOZI YEYOTE ANAYEMTAKA YEYE...NA ATAMUONDOA AKITAKA YEYE!
TUZIKUBALI NA KUZITII MAMLAKA ZOZOTE AMBAZO ALLAH ATAZIWEKA KWA AJILI YETU!

Tumche allah kwa kuzitii Mamlaka alizotuwekea Allah...

TUBADILIKE KWANZA SISI WATANZANIA WENYEWE, TUACHE KUDHULUMIANA WENYEWE KWANZA, ALLAH ANATULETEA VIONGOZI WANAOENDANA NA SISI JINSI TULIVYO...

TUKIWA WAJEURI, MAJABARI, WAKOROFI BASI ATATUPA KIONGOZI AMBAYE ATAKUWA ZAIDI YETU...

TUKIWA WEZI KUIBIANA WENYEWE KWA WENYEWE ALLAH ATATULETEA MAFISADI MAJIZI MAKUBWA ZAIDI YETU...

TUTENDEANE WEMA...

TUHURUMIANE...

TUFANYIANE UADILIFU...

TUMCHE ALLAH...

#MaishaMema_BaadaYaUchaguzi
We baki na Allah wako,acha siye tufanye Mageuzi
 
VIONGOZI MNAOWAONA NI WA DINI. NI CHUI KWENYE NGOZI YA KONDOO.

Alhadi na NABII TITO au GWAJIMA hamna tofauti.
 
Hueleweki nahisi kama unapiga promo kwa magu abaki madarakani ko tulia 28/10 soon itaamua so utoporo wako huo
 
Kwanza naipinga hii hoja yako
[emoji116][emoji116][emoji116]

"Maisha mazuri au mabaya hayaletwi na kiongozi, bali ni kwa yale yanayochuma mikono yetu, tubadilike na tuwe wema kwanza sisi!"

Uzuri au ugumu wa maisha husababishwa na viongozi wa siasa tuliowachagua. Siasa huathiri maisha yetu wananchi. Mfano awamu hii ya magufuri amefocus sana kwenye vitu na kusahau vipaumbele muhimu kwa maendeleo ya watu ndio maana watu wanajituma kufanya kazi lakini hakuna uafadhari. Mzunguko wa pesa umepungua na kuathiri sector za biashara.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Wewe nenda Kaongee na waislamu wanafiki
Usitake kuleta fatwa za wanafiki wa NAJD ambao Sasa wametelekeza kabisa masjid Aqsa
ALLAH ANASEMA...MKIPATWA NA MAJANGA NI KWA SABABU YA YALIYOCHUMA MIKONO YENU
 
ALLAH ANASEMA...MKIPATWA NA MAJANGA NI KWA SABABU YA YALIYOCHUMA MIKONO YENU
Wewe nenda msikitini kafanya adhkaar
Sisi tuache tupambane na mtu dhalim
Eti hata akiiba Ndio kachaguliwa....
Sasa je yakitokea machafuko halafu rais fake (feki) akapinduliwa akaja Rais mwingine tumtii yule wa kwanza au wa pili?
 
Back
Top Bottom