Maisha bila kafara hii ngoma haiendi, utaishia kusindikiza wenzako

Maisha bila kafara hii ngoma haiendi, utaishia kusindikiza wenzako

Umeongea kweli. Ila kafara zinaanziaga kwenye kuku, mbuzi, kondoo, ng'ombe kisha utaambiwa UTOE MTOTO, MKE, MAMA YAKO MZAZI N.K unakuja kushtuka too late.

KAFARA YA KWELI NI YESU KRISTO ALIYEPIGWA PALE MSALABANI.
ACHANA NA SHETANI MWISHO WAKE NI MAJUTO!

AU KUNA ILE UNAAMBIWA UMFANYE MWANAO, KAKA YAKO AU NDUGU YAKO YOYOTE ZEZETA! HIVI UNAPATA HELA ILA HAPO SEBULENI KUNA ZEZETA LINAMWAGA UDENDA UTAFURAHIA KWELI MAISHA???

DAWA NI YESU TU!
 
Tupe udhibitisho wa hao watu, unajua mkiitwa wapumbavu mtakasirika , unadhubutu kabissa kutaja mikoa na kuisingizia hio mikoa na wanaokufa kua ni kafara, leta udhibitisho hapa na sio porojo za manabii wenu na wachungaji
Ugumu wa maisha unakufanya UTUKANE hata watu usiowajua. Wewe mtoto wa endelea kusubiri ugali wa shikamoo. Sisi tunahangaika mikoa yote tunajua dunia inakwendaje.

HAYA TUKANA TENA GREAT THINKER!
 
Tupe udhibitisho wa hao watu, unajua mkiitwa wapumbavu mtakasirika , unadhubutu kabissa kutaja mikoa na kuisingizia hio mikoa na wanaokufa kua ni kafara, leta udhibitisho hapa na sio porojo za manabii wenu na wachungaji
Tembea uone mdogo wangu. Utaishia kushusha matusi na kujiona mjanja kumbe unajidhalilisha tu.
Wenye AKILI siku zote huwa hatutukani bila sababu.
 
We acha tu Bila Allahu na kwa wenzetu yesu Utoboi kabisaaaaaaa
 
Sio kila level ya maisha inahitaji kafara...kwa kadiri mtu anavyoishi nakufanya shuguri zake na kadiri anavyoongeza kipato ndio anavyoukaribia utamaduni wa kutoa kafara
 
Hivi mtu akikwambia “ wewe unahitaji kafara”


Ana maana gani?

Pia kafara maana yake nini?
 
Inaonekana pesa ni mali ya shetani, hivyo kuzipata nyingi ni lazima uombe kibali kwa shetani (ndiyo tunaita ushirikina).

Ukiona mtu anachinja sana, labda kila baada ya mwezi, huyo ana utajiri wa majini. Majini chakula chake ni damu. Asipofanya hivyo, jini linaweza kumpitia hata yeye au mwanafamilia.

Utajiri wa majini una nguvu sana, yaani jini ndo linakuwa linaendesha biashara yako!
 
Umetoa shuhuda ulizozion tu kwa mabosi zako. Vipi wewe upo upande upi, ili uzi ukamilike na kuvutia zaidi napendekeza na wewe utuambie kafara unayoitoa mkuu.
 
Tupe udhibitisho wa hao watu, unajua mkiitwa wapumbavu mtakasirika , unadhubutu kabissa kutaja mikoa na kuisingizia hio mikoa na wanaokufa kua ni kafara, leta udhibitisho hapa na sio porojo za manabii wenu na wachungaji
Sasa hilo nalo unabisha wew vp!! Au tumegusa nyanja zako????

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom