Ona kenge hii uyo tajir ninae kwambia ana petro station Tanzania nzima na wilaya zake na kata zake mahali popote pale wew diamond ni bwana yako unajua mambo yake au uyo billgate ulishawahi kumuona au kuishi nae wew vp?Acha ujinga,Bill gate,Dangote wanatoa kafara gani?
Diamond,Alikiba,Vunja bei,wanatoa kafara gani?Donald Trump ametoa kafara gani?
Chapa kazi wewe,acha janja janja
Mbwa koko km wew unanisaidia nin? Muuza nyanya wew iv watu wengine vp?Wewe mpuuzi ndo unataka kuja Qatar na akili zako za kishamba hivi..!! Umenifata PM nimekugomea umeishia kunitukana ..siwezi kusaidia vichwa vibovu Kama vya kwako. ..
Aahuku kwetu tunakemeaa "shindwa kwa jina la Yesu" "damu azizi/takatifu ya Yesu takasa biashara yanguu" kisha unamwaga maji ya baraka
Usishangae mkuu, wewe angalia wabunge na mawaziri wetu walivyo washirikina.....HAKUNA mbunge wala waziri asiye mshirikina hapa Tanzania.Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri
Wakuu nimeunganisha doti za sehemu tofauti tofauti ambazo either nimefanya kazi au biashara nimegundua karibu wote wenye mafanikio wanatoa kafara kwa shetani.
Mfano 1: Kuna Wachina niliwahi fanya nao kazi miaka kumi iliyopita ya barabara jamaa walikua kila hatua ya utengenezaji wanachinja mbuzi au kondooo.
2. Tukiachana na Wachina nikaja Dar kuna waturuki walikua maeneo ya Mwenge pale wanafanya decoration na finishing kwenye majumba niliwahi fanya kazi pale nao ilikua ikifika mwisho wa mwezi wanachinja mbuzi mlangoni pa kuingilia ofisini kisha wanapika nyama watu wanakula.
3. Mbali na hao Waturuki kuna kampuni moja kubwa sana ya mafuta mi nilijua maboss awana muda na izi mambo wana petrol station kibao za blue wao kila mwisho wa mwezi wanaboost na Ng'ombe kisha nyama wanapika wanapewa wafanyakazi.
Mwisho nikagundua kama wewe sio mshirikina sali sana unless or otherwise mafanikio utaishia kuyasikia tu kwa wenzako .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Taahira katika ubora wako[emoji867][emoji867]Mbwa koko km wew unanisaidia nin? Muuza nyanya wew iv watu wengine vp?
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
mzee unapatikana wapi? hizo picha nani mchoraji?Naunga mkono hoja,..m mwenyew naon Bora nianze kutoa kafara..labda mafanikio ntayaona..huu Ni mwaka wa Saba..naimba na pia nachora ila sion matunda ya vipaji vyangu..aisee View attachment 1827106
Mtu mweusi bwana akishindwa kukifafanua kitu,atakiita uchawi,Hahaha endelea kujidanganya dogo..
Unadhani Gates amekaa kihasarahasara, hayo ma ebola ma ukimwi, ma kansa na ma saratani na chanjo zao watu wanapewa wanakufa unadhani ni kwa bahati mbaya,
.
Endelea pia kuwaamini motivation speakers akina vunjabei wakiongea kwenye ma tv mnakua na muwashawasha kudhani mtakua kama wao kwa kudhani mtaanza na jeans moja then kiwanda cha jeans
Wapi wanatoa kafara ili kupata utajiri.?
Maana tunakufa bila faida yoyote. Ni bora afe mmoja wengi tupone
Kutoa Kafara/sadaka sio ushirikina.Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri
Wakuu nimeunganisha doti za sehemu tofauti tofauti ambazo either nimefanya kazi au biashara nimegundua karibu wote wenye mafanikio wanatoa kafara kwa shetani.
Mfano 1: Kuna Wachina niliwahi fanya nao kazi miaka kumi iliyopita ya barabara jamaa walikua kila hatua ya utengenezaji wanachinja mbuzi au kondooo.
2. Tukiachana na Wachina nikaja Dar kuna waturuki walikua maeneo ya Mwenge pale wanafanya decoration na finishing kwenye majumba niliwahi fanya kazi pale nao ilikua ikifika mwisho wa mwezi wanachinja mbuzi mlangoni pa kuingilia ofisini kisha wanapika nyama watu wanakula.
3. Mbali na hao Waturuki kuna kampuni moja kubwa sana ya mafuta mi nilijua maboss awana muda na izi mambo wana petrol station kibao za blue wao kila mwisho wa mwezi wanaboost na Ng'ombe kisha nyama wanapika wanapewa wafanyakazi.
Mwisho nikagundua kama wewe sio mshirikina sali sana unless or otherwise mafanikio utaishia kuyasikia tu kwa wenzako .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Pumbaf kabisa yesu mzungu haji ng'oo'oo'o! utasubiri sana!! halafu itakuwa vice versa!!! walio toa wataenda amabo hamkutoa! mototni!!! Mark my words!!huku kwetu tunakemeaa "shindwa kwa jina la Yesu" "damu azizi/takatifu ya Yesu takasa biashara yanguu" kisha unamwaga maji ya baraka
Huu ndio ukweli ambao wengi hawaujui, Kama umeandikiwa "NO" utamaliza makafara yoteWengi wanao jihusisha na ushirikina ni masikini, Mwenyezi Mungu humpa amtakae bila hesabu(Haangalii km wewe ni mwema au muovu)
Poa tu kama nakufa kwaajili ya kuwafanya ndugu zangu waishi vizuri.Vipi ikiwa ufe wewe?
Alikuwa na BUS zimeandikwa M sleeping, zilifia wapi sijuinenda mbeya kuna kituo kinaitwa mwanahapa, halafu ulizia story za huyo mwanahapa mwenyewe