Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
Kuna maneno umeyatumia kama "Ukweli na uhalisia" ni maneno tata ambayo yanahitaji utupe uthibitisho wa kuanzia mbinu ulizozitumia kujua kuwa hakuna muumba kama unavyosemaMadai yangu yapi?
Huo ukweli na uhalisia umeupataje ?