Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Nikikwambia mimi ndiye Mungu niliyeumba kila kitu na hilo suala liko nje ya uwezo wako kuelewa na kuamini, utakubali mimi ndiye Mungu?Ndio maana nikakwambia masuala ya Mungu ni next, advanced level/scope nyingine hauwezi kulinganisha na phenomena za duniani.
Ni sawa sawa na kufananisha maumivu ya kung'atwa na n'nge na maumivu ya mapenzi.
Mimi nina experience ya ninachokwambia... najaribu kufungua box utoke nje wewe unaishia kupinga.
Mimi ninafikiri uthibitisho ulio bora zaidi ni ule wa kushuhudia wewe mwenyewe na sio kuelekezwa, especially katika suala hili.
Mkuu, Don't take it for granted... IMANI ni msingi na ni gateway/portal kwa yale unayodhani hayapo au hayawezekani.
Note: Ushanielewa context ya ninachokizungumzia ila umeamua tu kusimama katika misimamo yako, that's good spirit though.
Kwa msimamo/na attitude uliyonayo nina uhakika hauwezi hata kuthubutu kujaribu imani inafanya kazi (hutakua na muda huo) labda nyakati zibadilike,
Hili nilijua kupitia ndoto hii. 👇👇👇
Mkuu mimi sina la ziada.
Note: Ushanielewa context ya ninachokizungumzia ila umeamua tu kusimama katika misimamo yako, that's good spirit though.