Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

Kutokujua jambo fulani haimaanishi kwamba ndio kuna Mungu.

Ninyi mmeenda direct na mmehitimisha kusema Mungu yupo, ilihali mmeshindwa kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu.

Sasa kama umeshindwa kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu, Utasemaje directly na kuhitimisha kwamba yupo?

Kwa nini unahitimisha kitu fulani kipo, ilhali huna hata uthibitisho wa uwepo wake?
Mimi binafsi uthibitisho ninao ila ndio haueleziki na hata nikikuelezea maelezo hayatoshelezi.

Yaani najua fika hutanielewa... nilisha kutolewa mfano wa "kipofu wa kuzaliwa utaweza kumtofautishia rangi ya blue na kijani aka kuelewa?)

Ni mpaka apone macho ndio atajua, hii ina-apply na kwako pia mpaka uamini.
 
Aisee maelezo yamenyooka nimekulewa vizuri kabisa... Mfano huo haujaleta contradiction yoyote katika kuthibitisha pembe tatu.

Sasa hiyo ni kwa mazingira/muktadha /settings za duniani.
============================

Mambo mengi yanayoonekana keujichanganyi ni kwasa tunayafikilia tukiwa na taswila ya hapa duniani, hili ndio tatizo letu. Maandiko yaliyo mengi ni mafunuo/kiduniani duniani inakua kama code... Muktadha wake ulikua katika ulimwengu wa ROHO.

Kwa upande wa imani huku kuna kitu kinaitwa ulimwengu wa roho ambako binadamu wa rohoni hakutani na hizi contradictions na ndiko uwezo wa Mungu kamili unadhihilika na ndiko mtu wa rohoni aliyeko duniani kwa msaada wa hili vazi la mwili, kwa imani akiomba chochote na kuamini basi amekipata...

Na kwa mtu asie wa rohoni anayeishi duniani pasipo imani/haamini anategemea vazi la mwili kama ndio kinga yake ya misukosuko duniani basi hatakua na msaada wowote bali ni kukabiliana na changamoto.
Kuwepo kwa mjadala huu tu, kuwepo kwa ujinga, kuwepo kwa kutoelewana, kuwepo kwa sintofahamu na mgawanyiko, ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwapo, Mungu huyo, by definition, kwa sifa zake hizo, angeondoa ujinga wote, kutoelewana kote, sintofahamu yote.

Ukiona watu wanabishana kuhusu uwepo wa Mungu huyu, ujue ni kwa sababu hayupo.

Angekuwepo, mjadala wa kubishana kama Mungu yupo au hayupo usingewezekana kuwapo.
 
Mimi binafsi uthibitisho ninao ila ndio haueleziki na hata nikikuelezea maelezo hayatoshelezi.

Yaani najua fika hutanielewa... nilisha kutolewa mfano wa "kipofu wa kuzaliwa utaweza kumtofautishia rangi ya blue na kijani aka kuelewa?)

Ni mpaka apone macho ndio atajua, hii ina-apply na kwako pia mpaka uamini.
Kuamini unaweza kuamini hata uongo, Lakini ili kujua kwamba unacho kiamini ni kweli kipo lazima utoe uthibitisho ili tuhakikishe.
 
Mimi binafsi uthibitisho ninao ila ndio haueleziki na hata nikikuelezea maelezo hayatoshelezi.

Yaani najua fika hutanielewa... nilisha kutolewa mfano wa "kipofu wa kuzaliwa utaweza kumtofautishia rangi ya blue na kijani aka kuelewa?)

Ni mpaka apone macho ndio atajua, hii ina-apply na kwako pia mpaka uamini.
Kwenye ulimwengu ambao umeumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, hakuna mtu atakayekuwa na haja ya kumuelezea mwingine uwepo wa Mungu. Kwa sababu, kila mtu atajua Mungu yupo bila shaka.

Ukishaona mtu mmoja anataka kumuelezea mwingine uwepo wa Mungu huyo tu, halafu anashindwa, ujue ni kwa sababu Mungu huyo hayupo.

Ni Mungu wa hadithi za uongo za watu, za kuungaunga tu.
 
Kiduniani duniani utaona kuna shida mahali kuhusu uwepo wa Mungu.

Muda na wakati haujafika ukifika itajulikana.

Ukiwa mnyenyekevu unajua hata kabla ya muda huo kufika.
Kuamini unaweza kuamini hata uongo, Lakini ili kujua kwamba unacho kiamini ni kweli kipo lazima utoe uthibitisho ili tuhakikishe.

Kwenye ulimwengu ambao umeumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, hakuna mtu atakayekuwa na haja ya kumuelezea mwingine uwepo wa Mungu. Kwa sababu, kila mtu atajua Mungu yupo bila shaka.

Ukishaona mtu mmoja anataka kumuelezea mwingine uwepo wa Mungu huyo tu, halafu anashindwa, ujue ni kwa sababu Mungu huyo hayupo.

Ni Mungu wa hadithi za uongo za watu, za kuungaunga tu.
 
Kiduniani duniani utaona kuna shida mahali kuhusu uwepo wa Mungu.

Muda na wakati haujafika ukifika itajulikana.

Ukiwa mnyenyekevu unajua hata kabla ya muda huo kufika.
Sasa wewe kama muda haujafika, unahitimishaje kusema kuna Mungu?

Kwanza ulijuaje huyo Mungu yupo?

Ulimuona wapi huyo Mungu ukajua yupo?

Ilhali upo kwenye dunia hii hii na huwezi kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu unayedai yupo?
 
Sasa wewe kama muda haujafika, unahitimishaje kusema kuna Mungu?

Ilhali upo kwenye dunia hii hii na huwezi kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu unayedai yupo?
"Muda haujafika" ni chaka la kufichia uongo.

Hata mimi naweza kusema mimi ndiye Mungu, muda haujafika tu kwa dunia kutambua.

Nipeni sadaka.
 
Muda haujafika ni chaka la kufichia uongo.

Hata mimi naweza kusema mimi ndiye Mungu, muda haujafika tu kwa dunia kutambua.

Nipeni sadaka.
Na ndio tactic wanayotumia wachungaji kupiga hela za watu.
 
Habari wana-JF!

Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.

Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.

Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.

Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.

Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:

1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.

2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.

3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.

4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.

5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.

6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.

7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.

8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.

9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.

10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".

Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.

Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.

The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
Habari wana-JF!

Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.

Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.

Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.

Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.

Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:

1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.

2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.

3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.

4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.

5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.

6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.

7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.

8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.

9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.

10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".

Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.

Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.

The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
Sema mungu wa dini yako ndiyo hayupo
 
Kwanza kabisa unatakiwa ujue Mungu ni nini siyo unakurupuka tu na kusema hakuna Mungu
 
Sasa wewe kama muda haujafika, unahitimishaje kusema kuna Mungu?

Kwanza ulijuaje huyo Mungu yupo?

Ulimuona wapi huyo Mungu ukajua yupo?

Ilhali upo kwenye dunia hii hii na huwezi kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu unayedai yupo?

"Muda haujafika" ni chaka la kufichia uongo.

Hata mimi naweza kusema mimi ndiye Mungu, muda haujafika tu kwa dunia kutambua.

Nipeni sadaka.
Mungu yupo... Ila wewe tu ndio haujataka athibitike kwako (hiyo ni free will uliojaaliwa).

Swala hapa ni imani tu, sasa wewe umechagua kuto kuamini.

Kama ukiamini utashuhudia mwenyewe wala hakuna wakukuelea ili utoe sadaka.

Watu wengi wanakujaga kufunguka kiimani inakuaga too late... Yaani kipindi anashida serious, sasa kwa namna ambavyo shida imetatulika ndio anagundua kuna nguvu ya ziada metendeka apa si bure. W
 
Mungu yupo... Ila wewe tu ndio haujataka athibitike kwako (hiyo ni free will uliojaaliwa).

Swala hapa ni imani tu, sasa wewe umechagua kuto kuamini.

Kama ukiamini utashuhudia mwenyewe wala hakuna wakukuelea ili utoe sadaka.

Watu wengi wanakujaga kufunguka kiimani inakuaga too late... Yaani kipindi anashida serious, sasa kwa namna ambavyo shida imetatulika ndio anagundua kuna nguvu ya ziada metendeka apa si bure. W
Kwa nini uhitaji kuamini Mungu yupo badala ya kujua Mungu yupo?

Mimi sihitaji kuamini huyo Mungu yupo. Nahitaji kujua huyo Mungu yupoje kwa ushahidi na uthibitisho.
 
Mungu yupo... Ila wewe tu ndio haujataka athibitike kwako (hiyo ni free will uliojaaliwa).

Swala hapa ni imani tu, sasa wewe umechagua kuto kuamini.

Kama ukiamini utashuhudia mwenyewe wala hakuna wakukuelea ili utoe sadaka.

Watu wengi wanakujaga kufunguka kiimani inakuaga too late... Yaani kipindi anashida serious, sasa kwa namna ambavyo shida imetatulika ndio anagundua kuna nguvu ya ziada metendeka apa si bure. W
Imani hata uongo unaweza kuamini.

Sasa wewe utajuaje ukiamini Mungu yupo, yupo kweli? Utathibitishaje yupo kweli? Utathibitishaje ukiamini, hujaamini uongo tu?
 
Kama ukiamini utashuhudia mwenyewe wala hakuna wakukuelea ili utoe sadaka.

Kwa nini uhitaji kuamini Mungu yupo badala ya kujua Mungu yupo?

Mimi sihitaji kuamini huyo Mungu yupo. Nahitaji kujua huyo Mungu yupoje kwa ushahidi na uthibitisho.

Imani hata uongo unaweza kuamini.

Sasa wewe utajuaje ukiamini Mungu yupo, yupo kweli? Utathibitishaje yupo kweli? Utathibitishaje ukiamini, hujaamini uongo tu?
 
Mungu ni nini na unathibitishaje kuwa unachofikiri wewe ni Mungu, ni Mungu kweli?
Mungu ni uweza au nguvu ya uumbaji au kusababisha matokeo na nguvu hiyo imo ndani yako,na imo ndani ya kila kiumbe ila dini yako ndiyo imeidumaza hiyo nguvu madam umetoka huko utaanza kuiona
 
Mungu ni uweza au nguvu ya uumbaji au kusababisha matokeo na nguvu hiyo imo ndani yako,na imo ndani ya kila kiumbe ila dini yako ndiyo imeidumaza hiyo nguvu madam umetoka huko utaanza kuiona
Hiyo nguvu inapimwa kwa kipimo gani?

Unahakikishaje ipo kweli na hizo habari si story za kuungaunga tu?

Hiyo nguvu ina uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?
 
Kanisani ni Mtakuja.....!

Duniani hatuishi peke yetu....!
Bahati Yako ni kwamba Mungu hatuhesabii Makosa.....!!!
 
Kanisani ni Mtakuja.....!

Duniani hatuishi peke yetu....!
Bahati Yako ni kwamba Mungu hatuhesabii Makosa.....!!!
Kanisani ni Mtakuja hata Saudi Arabia?

Na kanisani kuwa Mtakuja ni uthibitisho kwamba Mungu yupo?

Mungu hatuhesabii makosa, kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha kuwa yupo.
 
Smartkahn

Ukishaona kuna watu hawamuamini Mungu fulani anayedaiwa kuwa ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wotena upendo wote, huko kutomuamini ni ushahidi kwamba huyo Mungu hayupo.

Angekuwepo, kwa sifa zake hizo za ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote, kila mtu angemjua vizuri kabisa na kumuamini kwa namna ambayo mjadala wa Mungu kuwapo au kutokuwapo usingeweza kufanyika.

Yani ukiona utata katika uelewa juu ya kuwepo kwa huyo Mungu tu,maana yake ni kwamba huyo Mungu hayupo, angekuwepo, kusingekuwa na utata popote, kwa ntu yeyote, muda wowote.

Huelewi kipi hapo?
 
Back
Top Bottom