Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

bora uamini yupo ukimkuta na usipomkuta fresh tu...Mungu yupo ila umedata tu. tulia vzr jiulize maswali jinsi ulimwengu ulivo we unafikir ulikuja tu?
 
Wewe umekubuhu!

Upumbavu ingekua ni level ya elimu wewe una PhD

Ngoja nkuache na upumbavu wako, Humu tunajadili na watu walipaswa wawe mirembe
Acha hasira
Mwambie mungu wako yuko wapi 🤣🤣🤣
Kama hujui, kaa kwa kutulia kama sisi
Kama ni kutumia akili uliyonayo haushindi hii ligi, kuwa mpole, na siku nyingine pita kule mbali 😂😂😂
 
Back
Top Bottom