Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ili jina linasadifu akili zako, sasa mtu kama ana mtaji Marekani anakwenda kutafuta nini?maisha yapo africa na kama tanzania achana na dar es salaam jikiteni mikoani kama una mtaji ambao uwezi kushindana na mji wa dar.
Kazi ni nyingi na unaruhususiwa kufanya kazi masaa yote unayotaka hata kuwa na zaidi zaidi ya kumi, Mfano mimi nina ENTRY JOBS ndo always huwa nafanya kazi za aina hii, Kazi yangu ya Sasa Ni HMI CLASS tunatengenza class, nafanya kazi masaa 8 kila siku nalipwa $21 kwa saa na overtime $27, awali ilikuwa GE Appliance nilikuwa nalipwa $19, Before GE ilikuwa Fedex nilikuwa nalipwa $19.50, kabla ya Fedex ilikuwa Amazon $20.
Ya kweli mkuu, lakini kwa mtu anaejua picha ni rahisi sana kufahamu picha za kupigwa na zile za kudownload. We chunguza vizuri utanambia.
Ili jina linasadifu akili zako, sasa mtu kama ana mtaji Marekani anakwenda kutafuta nini?
Chizi kabisa.
Hakika mkuu, ila wengi huwa hawajui.Yap zipo tofauti kabisa
Picha za google zinajulikana na za kupiga na simu zinajulikanaHakika mkuu, ila wengi huwa hawajui.
Mikoani hakuna fursa zozote acheni kujazana upumbavu kichwani.maisha yapo africa na kama tanzania achana na dar es salaam jikiteni mikoani kama una mtaji ambao uwezi kushindana na mji wa dar.
Kweli kbs mkuu, shukran kwa kulielewa hilo.Picha za google zinajulikana na za kupiga na simu zinajulikana
Gharama zote kuanzia hospital treatment na transport handling, mke na mtoto toka USA hadi MwanzaKusafirisha maiti maana yake unasafirisha mzigo human remaining body, sasa milioni 40 mlikuwa mnasafirisha mzigo gani? Au kuna wajanja walipiga hizo ela?
Hadi uwe na macho fursa zimejaa teleMikoani hakuna fursa zozote acheni kujazana upumbavu kichwani.
Vijana wanaona bora wawe machinga dar kuliko huko unakoona kwenye fursa.
Mikoani hakuna fursa zozote acheni kujazana upumbavu kichwani.
Vijana wanaona bora wawe machinga dar kuliko huko unakoona kwenye fursa.
Naona mleta mada kautelekeza uzi wake mwenyewe, baada ya waona mbali kumuomba atuwekee hata kapicha ka1 kaku prove kile alichoandika 😂😂🤣🤣🤣Hadi uwe na macho fursa zimejaa tele
Sio lazima mwenye mafanikio kiuchumi afutuke mwili.Wengi wao wanaonekana wako hoi!
Hili suala la kupigana risasi mara kwa mara linachangiwa na nini? Nilifikiri ni shida za kiuchumi pia.
Hapo kwenye credit card ndipo panapowamaliza. Munakopa kupita kiasi halafu kila siku ni kulipa tu, ndiyo maana munashindwa hata kufanya savings zo zote.Ikiwa ndo mara ya kwanza unaingia marekani, Kitu cha kwanza jifunze sana kingereza, kitu cha pili somea fani yeyote, cha tatu kuchuka Credit card. ukiwa na hayo matatu nchi ya marekani umemaliza mambo mengine yanakuja, na hayo yote inawezekana kufanyika kwa mtu yeyote anaishi marekani kihalali.
Mikoani hakuna fursa zozote acheni kujazana upumbavu kichwani.
Vijana wanaona bora wawe machinga dar kuliko huko unakoona kwenye fursa.
kama hakuna sasa sisi tuliopo na nimezaliwa dar nimekulia dar na nyumba katikati ya mji ukitaka kutembea kwa mguu posta unaenda,ukitaka kwenda sinza,ubungo kila kona kwa mguu na fika alafu uje kusema ushamba na nipo na maisha mazuri na magari ya kutembelea
Na kule hakuna kukwepa kodi hata shilingi moja. Ukikwepa tu au kufanya udanganyifu mkono mrefu wa serikali utakukamata.Asante ila haujatwambia kodi ya serikali ni kiasi gani ili tujue kichobaki.