Maisha halisi nchini Marekani

Umemwambia yeye ni blue collar, anatumikishwa na kunyonywa na Wazungu. Na ndio perspective yako hiyo. Na mimi nakwambia blue na white collar wote wana umuhimu wao duniani. Dunia bila blue collar isingekuwa dunia. Nani angefanya blue collar jobs kama wote wangekuwa white collar kama mimi? Jifunze ku-appreciate functions za wengine.
Nimekupa perspective out of personal experience. Hayo mambo y dharau umeingiza wewe.
 
Mimi nimekaa Marekani mji wa Washington. Ubaya wa Marekani hakuna undugu kila mtu kivyake kiutafutaji. Maisha ya Marekani ni magumu sana kwa kiingereza tunaita hand to mouth. Kwa gharama ya $600 kwa mwezi naona mtu huyo anapata mateso makubwa. Kama alivyosema kuwa anaweka akiba ya $4500 kwa mwezi. Kwa Afrika ukiwa unajishughulisha hicho kiasi ni kidogo kwa mfanyabiashara wa Afrika. Kinachotuharibu hapa Afrika hatuna utaratibu mzuri wa maisha. Familia tegemezi za afrika huwezi linganisha na familia ya America ya mtu mmoja, mkewe na mtoto. Nawashauri hapa kwetu Afrika kuna fursa nyingi sana kuliko America ambapo hata usingizi hupati kwa kudandia kazi za kuhama hama kwa siku.
 
Wewe umewahi fanya blue collar work marekani? Kwa taarifa yako, blue collar workers with stable employment make up the bulk of the middle class in the US. Sasa wewe hata US hujakanyaga unaanza ubishi wa kijinga. Jamaa kasema amefanya kazi States tofauti, sasa hapo maana yake hana permanent employer.
 
Kwahiyo akakwambia Bongo ndio maisha rahisi?

Failure minds, ni hatari sana kukaa kijiwe na mtu kama wewe, hicho kijiww ni kuambukizana umaskini tu na kila jambo kwenu haliwezekani.
Hicho unachoenda kukitafuta marekani mimi tayari ninacho
 
Nasubiri muendelezo
 
Sawa ila sema tu huko motoni hao wabongo lazima waingie kwasababu ya utapeli wao na unafiki waliojawa nao
 

Nabishana na mtu ambae hajuwi chochote. bora ukae kimya tu kuliko kujifanya unajua sana.
 

hujawahi kuishi marekani mkuu.
 

Nyamaza mkuu, huna unachokijua.but sitak tubishane
 
Unazidi kutengeza mada yako. Anzisha uzi wako basi. Kuwa na permanent employment haikuwa dhumuni la mtoa mada. Bado unajitengenezea maswali yako kwenye mtihani na kuyajibu. Na wala mtoa mada hakutaka kuonyesha watu kuwa amefika Marekani. Mtoa mada ana-share opportunities nje ya Tanzania na kufungua macho wanajukwaa. Wee kwa akili yako mbovu unamwonyesha eti anafanya blue collar job, kwa hiyo ana-toil. That was not the point of his/her post. White or blue collar, toil or not, ever been to the US or not, stable or not, permanent or temporary - are all irrelevant to the post.

Kama una white collar job, shukuru Mungu. Usijione wee mjanja sana kwa kuwa na white collar job. Dunia inawahitaji wote - white collar na blue collar workers, temporary or permanent. I have a white collar job (siyo lazima iwe Marekani, dunia ni kubwa, Marekani ni kasehemu kadogo tu kwenye planet hii). Dunia ina zaidi ya watu bil 7, wote hawawezi kuwa US na wote hawawezi kuwa white collar. I earn much higher than the median wages in the US lakini naheshimu watu wanaofanya blue collar jobs akiwemo mtoa mada hii.
 
Ni uvivu tu, ndio maana utakuta mtu anapiga debe apewe mia mbili mia mbili siku nzima wakati kijijini kwao kuna mapori ambayo anaweza tumia nguvu hizohizo kufyeka na kuanzisha mashamba..
Nani alikwambia subsistence agriculture inalipa?

Maisha ya kilimo nayafahamu nje ndani. Nimelima na nimefanya research za kilimo.

Commercial farming ndo kilimo kinalipa Tz na Duniani. Subsistence Farming haijawahi mlipa mkulima milele.

Ukifuata njia zote za kisasa za kilimo, gharama ni kubwa kuliko mapato. Hutakaa uone faida kwenye kilimo.
 
Ndio maana nasema wanakuja kuchuma na kuondoka.

Mitaji mikubwa ipo concentrated in Dar. Nyie ndo mnakuwa mawakala wa kuwaibia wanyonge wenzenu.

Nimetembea mikoa yote kasoro Mara na Zanzibar. Hizo fursa hazipo na hazitakaa ziwepo.

Miundombinu bora ipo mijini, huduma bora za afya na elimu zipo mijini.

Mpaka leo wakazi wa Ifakara huko hawana barabara, unakaza kichwa uende ukalime mpunga kisa fursa ipo.

Utaishia kuuza mashineni tajiri atoke Dar akauze mara 2. Unadhani nani amefaidika hapo.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…