Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Mkuu kwa Elimu na umri nilionao nimewahi kwenda Kenya tu Tena sio kuishi Bali kutembea na kurudi Tz siku hiyo hiyo, hivo basi Sina exposure kabisaShukran mkuu. Je kwa elimu yako na umri wako haujawahi kutoka hata siku moja nje ya Tz?
Ok mkuu, kwahiyo tayari una pasi ya kusafiria?Mkuu kwa Elimu na umri nilionao nimewahi kwenda Kenya tu Tena sio kuishi Bali kutembea na kurudi Tz siku hiyo hiyo, hivo basi Sina exposure kabisa
[emoji23]Hivi mbona mmoja wenu huko akifariki huko Kusafirisha Mwili tu huwa ni Shughuli Pevu.?
Bakuli La michango linatuhusu mpaka huku Kwa Mtogole.!
Halafu Mkifiwa na Mzazi Utasikia Mtoto Kashindwa Nauli Kuja Kumzika Mzazi Wake..! Hivi Diaspora Tuelezeni shida nini?
Mi mwenyewe nilitaka Kuja kuwa Diaspora ila ninachokishuhudia Kinachowatokea huko nimeghairi..!
Katika Diaspora 20 ni Wawili au Watatu ndo Wanatoboa.
Wabongo tunapaswa kufahamu kuwa, tupate exposure yakuja kuwekeza bongo ila tusijidanganye kuwa mifumo ya nchi za magharibi zinaweza kusaidia kuvimba ugenini.Nimezaliwa na kukulia Dar.
Huko kijijini naenda kuzika.
Wakenya wanaenda Njombe kuchukua parachichi wanaenda kuuza dubai. Bado unasema hawaji kuchuma?
Mbao, Mahindi wanapeleka kwao vingine wana export.
Hakuna foreigner anakuja kukuendeleza wewe.
Nyie wa vijijini mnakuwa mawakala wa kuwaibia watanzania wenzenu.
Hapana Mkuu,Niko kwenye process za kuipata ndani ya mwezi ujao nitakuwa nayoOk mkuu, kwahiyo tayari una pasi ya kusafiria?
Hivi mbona mmoja wenu huko akifariki huko Kusafirisha Mwili tu huwa ni Shughuli Pevu.?
Bakuli La michango linatuhusu mpaka huku Kwa Mtogole.!
Halafu Mkifiwa na Mzazi Utasikia Mtoto Kashindwa Nauli Kuja Kumzika Mzazi Wake..! Hivi Diaspora Tuelezeni shida nini?
Mi mwenyewe nilitaka Kuja kuwa Diaspora ila ninachokishuhudia Kinachowatokea huko nimeghairi..!
Katika Diaspora 20 ni Wawili au Watatu ndo Wanatoboa.
Nauli sio tatizo.Halafu Mkifiwa na Mzazi Utasikia Mtoto Kashindwa Nauli Kuja Kumzika Mzazi Wake..! Hivi Diaspora Tuelezeni shida nini?
Mi mwenyewe nilitaka Kuja kuwa Diaspora ila ninachokishuhudia Kinachowatokea huko nimeghairi..!
Usimchuuze mwenzio.Kapige Kazi ya ulinzi South,Dubai au USA utatoboa,uza kiwanja cha familia,miezi mitatu hela imerudi.
Mfano hai ni mimi, hunihamishi mkoaniMikoani hakuna fursa zozote acheni kujazana upumbavu kichwani.
Vijana wanaona bora wawe machinga dar kuliko huko unakoona kwenye fursa.
Mabilionea wanahamia DarMabilionea wamejanzana mijini, nyie huko chato mbona hatuoni makampuni yakishamiri?
Huwa inahuzunisha zaidi pale mtu anapoishi amerika miaka 15 hadi 20 hajatoboa, halafu ikatokea amerudi bongo kuishi. Yaani huwa wanachanganyikiwa nyie acheni
Aisee..Inawezekana ukalipwa hiyo hela, lkn inaonyesha wewe ni blue collar worker. Ukiona blue collar employee analipwa pesa kama hiyo ujue it comes with a huge downside as far as health, general well-being and quality of life. Siyo kama unakaa kwenye desk lako siku nzima ukiwa kazini. Wazungu watakuwa wanahakikisha they get every dime’s worth out of your paycheck. Kama ni kweli, utakuwa unapelekeshwa sana kazini kwa mshahara huo. Na kama unabadilisha kazi mara kwa mara, and state to state, basi utakuwa private contractor. Unapewa kazi kwa temporary contracts. Contract ikimalizika unakuwa jobless, unless ume apply kazi sehemu nyingine before end of current contract.
Habari JF
leo Katika mada yangu kichwa tajwa hapo juu, Ningependa nishare nanyi Uzoefu wangu wa maisha ya marekani, maana nimeona watu wengi sana wakijadili namna watu wanavyoishi nje, ajabu kati ya mia, tano tu ndo wanaelewa maisha halisi ya marekani.
Licha mimi huwa sipendi kuishi Marekani, lakini fursa zilizopo ndo zinatufanya tuelendelee kunganagia haya maisha, ndomana maisha yangu ya uwekezaji Yapo africa lakini utafutaji ni marekani kwa vile tu sijafikia malengo yangu ya maisha.
Miaka 6 ndani ya nchi ya marekani, ninaishi kwa Green card, nina ruhusiwa sasa kuomba uraia lakini mimi kwangu huwa si kipaumbele, maana nina uwezo wa kutoa na kuingia na kukaa nje ya marekani muda wa miezi sita.
Nimeishi majimbo na kufanya kazi kampuni tofauti tofauti, Mara nyingi nafanya hivyo tu ili kujifunza maisha halisi ya marekani. Mwaka jana nimefanya kampani saba na kuishi majimbo matatu. kufanya kazi marekani huwa nafanya tu kukaa bila kazi. nilichokifanya miaka minne ya marekani niliweka nguvu kuwekeza nyumbani jambo ambalo nilifanikiwa na kunipa huakika wa kuishi hapa bila kuwa na kazi.
Katika Harakati zangu za kucompare africa na marekani sehemu nzuri ya kuishi, niligundua africa kinachotufelisha ni uchumi ila ukiwa na pesa napendekeza kuishi afrca badala ya marekani. Marekani ni sehemu tu ya utafutaji ikiwa africa huna cha kupoteza(maono yangu)
MAZURI YA MAREKANI.
naipenda nchi ya marekani ni nchi ambayo inamuwesha kila mtu bila kujali nchi uliotokea kufanya lolote na ukafanikiwa, tofauti na nchi kama vile urusi, china. marekani ni nchi ya kila mtu kufanya anachoweza yaani nchi ya fursa. ukitaka kuwa doctoe, nurse nk.. hata kama umefeli elimu katika nchi yako marekani kuna njia nyingi za kukuwezesha ukarudi shule na ukatimiza ndoto zako.
Ikiwa ndo mara ya kwanza unaingia marekani, Kitu cha kwanza jifunze sana kingereza, kitu cha pili somea fani yeyote, cha tatu kuchuka Credit card. ukiwa na hayo matatu nchi ya marekani umemaliza mambo mengine yanakuja, na hayo yote inawezekana kufanyika kwa mtu yeyote anaishi marekani kihalali.
kazi na makazi, siwezi kushauri kuishi kwenye miji kama Chicago, New york, washington nk.. mara nyingi miji hii kazi zake ni professional. tena ina gharama kubwa ya rent. badala yake nenda kwenye majimbo kama dakota, kenctuky , mara nyingi ni kazi za viwanda au Entry job alafu rent iko chini.
Watu wengi kutoka nje ya marekani wanafanya ENRTY JOBS kutokana na lugha kuwa ngumu alafu pesa zinawachanganya hawataki kusoma.
Marekani kuna uraisi wa kumiliki nyumba gari na kufanya biashara unayotaka(biashara ya import chakula na kuuza kwenye maduka ya africa inalipa). hata kama huna huwezo huo. unaweza kutumia CREDIT yako na kupata nyumba, gari, au pesa baadae utalipa taratibu. kikubwa deal na Scores zako kuwa HIGH, na Credit ni kitu muhimu sana marekani.
Kazi ni nyingi na unaruhususiwa kufanya kazi masaa yote unayotaka hata kuwa na zaidi zaidi ya kumi, Mfano mimi nina ENTRY JOBS ndo always huwa nafanya kazi za aina hii, Kazi yangu ya Sasa Ni HMI CLASS tunatengenza class, nafanya kazi masaa 8 kila siku nalipwa $21 kwa saa na overtime $27, awali ilikuwa GE Appliance nilikuwa nalipwa $19, Before GE ilikuwa Fedex nilikuwa nalipwa $19.50, kabla ya Fedex ilikuwa Amazon $20.
Now kazi yangu ya sasa nafanya masaa ninayotaka nikisema kwamba nataka nipate $5000 mwezi huu inapatikana na gharama zangu za maisha ya marekani hazifiki hata $600(bills). So hapo nina kitu cha kufanya tayari africa. Imagine miez 12 ya kazi nikiruid africa huwez kusema tunarudi tumechoka.
Fursa nyingine ambayo kwangu huwa naona ni muhumu sana hapa marekani ni technology, Iphone ilipo marekani sio iliopo africa, chrome inavyofanya kazi marekani ni tofauti kabisa na africa, System za simu na Feature baadhi za Social Media ziko tofauti. kuna software kama vile Stripe huwezi kujiunga ikiwa unaishi africa, so mambo kama hayo ni muhimu sana na ni fursa kubwa.
Hat banl system ni tofauti kabisa zinavyotumika africa.
So kuishi marekani kuna fursa ya kuelimika pia, saivi ukimwabia banker maswala ya wallet pay, wireless pay, finger pay haya ni mambo mageni kwake au anasikiaga tu, ila wewe unaelimika kutoka na fursa ya mazingira unayoishi
ITAENDELEA.......
NO PM
Unazidi kutengeza mada yako. Anzisha uzi wako basi. Kuwa na permanent employment haikuwa dhumuni la mtoa mada. Bado unajitengenezea maswali yako kwenye mtihani na kuyajibu. Na wala mtoa mada hakutaka kuonyesha watu kuwa amefika Marekani. Mtoa mada ana-share opportunities nje ya Tanzania na kufungua macho wanajukwaa. Wee kwa akili yako mbovu unamwonyesha eti anafanya blue collar job, kwa hiyo ana-toil. That was not the point of his/her post. White or blue collar, toil or not, ever been to the US or not, stable or not, permanent or temporary - are all irrelevant to the post.
Kama una white collar job, shukuru Mungu. Usijione wee mjanja sana kwa kuwa na white collar job. Dunia inawahitaji wote - white collar na blue collar workers, temporary or permanent. I have a white collar job (siyo lazima iwe Marekani, dunia ni kubwa, Marekani ni kasehemu kadogo tu kwenye planet hii). Dunia ina zaidi ya watu bil 7, wote hawawezi kuwa US na wote hawawezi kuwa white collar. I earn much higher than the median wages in the US lakini naheshimu watu wanaofanya blue collar jobs akiwemo mtoa mada hii.
Mawazo yakoUsimchuuze mwenzio.
Hakuna Maisha rahisi
Alichoongelea ni kweli, sijui kama uko karibu na jumuiya yoyote ya WaTz unavyoishi sehemu mbalimbali. Ajue tofauti na wewe, kuna wengi tu ambao hawaishi Marekani kihalali, hivyo hawawezi kutoka, au niseme wakitoka, hawataweza kurudi tena, hivyo misiba huko nyumbani kwao inawapita.Mimi nina uzoefu wa marekani tu, so sijuwi unaowazungumzia wewe ni wa wapi?
Maiti huhifadhiwa Kwa kufanyia embalming, hasa sinazobidi kusafirisha umbali mrefu, ili zisiharibike. Hapo na pia usafiri wenyewe, ndio gharama inapokuja. Na ndio, katika ndege, jeneza linachukuliwa kama mzigo, ni gharama kubwa kusafirisha mzigo.Kusafirisha maiti maana yake unasafirisha mzigo human remaining body, sasa milioni 40 mlikuwa mnasafirisha mzigo gani? Au kuna wajanja walipiga hizo ela?