Maisha halisi nchini Marekani

Mr sule daqhaa mbona hueleeki. Sasa kuna kifauti gani ya kuishi Marekani na Imboru? Kwani ukilima angano mbulumbulu hutoboi?
 
[emoji23]
 
Wabongo tunapaswa kufahamu kuwa, tupate exposure yakuja kuwekeza bongo ila tusijidanganye kuwa mifumo ya nchi za magharibi zinaweza kusaidia kuvimba ugenini.
 

Huwa inahuzunisha zaidi pale mtu anapoishi amerika miaka 15 hadi 20 hajatoboa, halafu ikatokea amerudi bongo kuishi. Yaani huwa wanachanganyikiwa nyie acheni
 
Halafu Mkifiwa na Mzazi Utasikia Mtoto Kashindwa Nauli Kuja Kumzika Mzazi Wake..! Hivi Diaspora Tuelezeni shida nini?
Mi mwenyewe nilitaka Kuja kuwa Diaspora ila ninachokishuhudia Kinachowatokea huko nimeghairi..!
Nauli sio tatizo.

Ukweli ni kwamba watu hawana Makaratasi, wanaogopa wakitoka hawatoweza kurudi/kuingia tena
 
Mikoani hakuna fursa zozote acheni kujazana upumbavu kichwani.

Vijana wanaona bora wawe machinga dar kuliko huko unakoona kwenye fursa.
Mfano hai ni mimi, hunihamishi mkoani

Tena kimkoa changu cha juzi tu 2012
 
Huwa inahuzunisha zaidi pale mtu anapoishi amerika miaka 15 hadi 20 hajatoboa, halafu ikatokea amerudi bongo kuishi. Yaani huwa wanachanganyikiwa nyie acheni

Mtu ambae anaishi Marekani ni watu wawili tofauti.
mfano: Teknology, Education, Laguage, life system. connection.

Inawezekana mtu anaishi hana bitambulisho, huyo siwez kumjadili.
 
Aisee..
Wewe unaishi Marekani au uliwahi kuishi........umetisha mkuu
Anawapanga na Mr sule na kuwajibu na Matola
Sijaona hawa wawili wakipishana........
 
Mzee nimekusoma vizuri.Naomba unishauri mimi ni kijana ambaye nina degree ya usimamizi rasmali watu,nifanyeje ili niweze kuja kuhustle maisha huko US kwa kutumia hii taaluma yangu ili nitoboe fasta
 
Aisee..
Wewe unaishi Marekani au uliwahi kuishi........umetisha mkuu
Anawapanga na Mr sule na kuwajibu na Matola
Sijaona hawa wawili wakipishana........

Huyo anaongea kitu ambacho haelewi, na haipendezi kubishana na mtu, hope nimeongea sababu za mimi kubadili kazi, nimeongea kwanini naama sana makazi, na nimemuonyesha check yangu ikionyesha tax na take home,istoshe nimemwambia nimefanya kazi amazon, fedx na GE. nenda google alafu angalia namna wanavyoajiri na sheria zao za kazi,

Sijaoenda kubishana nae. haina maana
 

Nimefanya kazi amazon, nimefanya kazi fedex, na nimefanya kazi GE, hizi ni kampuni kubwa na kazi yake huwa ni permanent.nenda google uangalie hili.

Alafu nimeandika sababu ya mimi kwanini nataka kuhama kazi na kuishi states tofauti.

Jamaa anaandika asichi kijua
 
Ukimaliza kuandika yote nitag.
Masuala ya kusoma nusu nusu sipendi
 
Mimi nina uzoefu wa marekani tu, so sijuwi unaowazungumzia wewe ni wa wapi?
Alichoongelea ni kweli, sijui kama uko karibu na jumuiya yoyote ya WaTz unavyoishi sehemu mbalimbali. Ajue tofauti na wewe, kuna wengi tu ambao hawaishi Marekani kihalali, hivyo hawawezi kutoka, au niseme wakitoka, hawataweza kurudi tena, hivyo misiba huko nyumbani kwao inawapita.
Na kusafirisha miili ni gharama vile vile, lazima watu wachangishane.
 
Kusafirisha maiti maana yake unasafirisha mzigo human remaining body, sasa milioni 40 mlikuwa mnasafirisha mzigo gani? Au kuna wajanja walipiga hizo ela?
Maiti huhifadhiwa Kwa kufanyia embalming, hasa sinazobidi kusafirisha umbali mrefu, ili zisiharibike. Hapo na pia usafiri wenyewe, ndio gharama inapokuja. Na ndio, katika ndege, jeneza linachukuliwa kama mzigo, ni gharama kubwa kusafirisha mzigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…