Maisha halisi nchini Marekani

Maisha halisi nchini Marekani

Mkuu,hivi nikitoka Tz na Elimu yangu ya Masters nije hapo Bondeni Kuna kazi naweza kufanya itakayo niwezesha kuishi Bondeni vizuri ?
Unatafuta stress tu, ukitaka kazi ya hiyo elimu yako ni Bongo ndio utapata.

Policy za South Africa hawatowi kazi kwa wagenia ambayo mzawa yupoa anaweza kufanya, unless upate hiyo kazi ukiwa Tanzania uombewe kibali cha kazi ndio uende.

Kipengere hiki wengi hawaambiani ukweli, elimu yako haiwezi kaukubeba kivile inatakiwa uweke vyetia pambeni uangalie fursa utakayoimudu.

Mfano watu kama Mwamvita Makamba hakwenda kuomba kazi South Africa, ameondoka Tanzania akiwa tayari ni muajiliwa, hiyo ndio style yao kwa kazi zenu nyinyi wasomi.
 
Habari JF

leo Katika mada yangu kichwa tajwa hapo juu, Ningependa nishare nanyi Uzoefu wangu wa maisha ya marekani, maana nimeona watu wengi sana wakijadili namna watu wanavyoishi nje, ajabu kati ya mia, tano tu ndo wanaelewa maisha halisi ya marekani.

Licha mimi huwa sipendi kuishi Marekani, lakini fursa zilizopo ndo zinatufanya tuelendelee kunganagia haya maisha, ndomana maisha yangu ya uwekezaji Yapo africa lakini utafutaji ni marekani kwa vile tu sijafikia malengo yangu ya maisha.

Miaka 6 ndani ya nchi ya marekani, ninaishi kwa Green card, nina ruhusiwa sasa kuomba uraia lakini mimi kwangu huwa si kipaumbele, maana nina uwezo wa kutoa na kuingia na kukaa nje ya marekani muda wa miezi sita.

Nimeishi majimbo na kufanya kazi kampuni tofauti tofauti, Mara nyingi nafanya hivyo tu ili kujifunza maisha halisi ya marekani. Mwaka jana nimefanya kampani saba na kuishi majimbo matatu. kufanya kazi marekani huwa nafanya tu kukaa bila kazi. nilichokifanya miaka minne ya marekani niliweka nguvu kuwekeza nyumbani jambo ambalo nilifanikiwa na kunipa huakika wa kuishi hapa bila kuwa na kazi.

Katika Harakati zangu za kucompare africa na marekani sehemu nzuri ya kuishi, niligundua africa kinachotufelisha ni uchumi ila ukiwa na pesa napendekeza kuishi afrca badala ya marekani. Marekani ni sehemu tu ya utafutaji ikiwa africa huna cha kupoteza(maono yangu)

MAZURI YA MAREKANI.
naipenda nchi ya marekani ni nchi ambayo inamuwesha kila mtu bila kujali nchi uliotokea kufanya lolote na ukafanikiwa, tofauti na nchi kama vile urusi, china. marekani ni nchi ya kila mtu kufanya anachoweza yaani nchi ya fursa. ukitaka kuwa doctoe, nurse nk.. hata kama umefeli elimu katika nchi yako marekani kuna njia nyingi za kukuwezesha ukarudi shule na ukatimiza ndoto zako.

Ikiwa ndo mara ya kwanza unaingia marekani, Kitu cha kwanza jifunze sana kingereza, kitu cha pili somea fani yeyote, cha tatu kuchuka Credit card. ukiwa na hayo matatu nchi ya marekani umemaliza mambo mengine yanakuja, na hayo yote inawezekana kufanyika kwa mtu yeyote anaishi marekani kihalali.

kazi na makazi, siwezi kushauri kuishi kwenye miji kama Chicago, New york, washington nk.. mara nyingi miji hii kazi zake ni professional. tena ina gharama kubwa ya rent. badala yake nenda kwenye majimbo kama dakota, kenctuky , mara nyingi ni kazi za viwanda au Entry job alafu rent iko chini.

Watu wengi kutoka nje ya marekani wanafanya ENRTY JOBS kutokana na lugha kuwa ngumu alafu pesa zinawachanganya hawataki kusoma.

Marekani kuna uraisi wa kumiliki nyumba gari na kufanya biashara unayotaka(biashara ya import chakula na kuuza kwenye maduka ya africa inalipa). hata kama huna huwezo huo. unaweza kutumia CREDIT yako na kupata nyumba, gari, au pesa baadae utalipa taratibu. kikubwa deal na Scores zako kuwa HIGH, na Credit ni kitu muhimu sana marekani.

Kazi ni nyingi na unaruhususiwa kufanya kazi masaa yote unayotaka hata kuwa na zaidi zaidi ya kumi, Mfano mimi nina ENTRY JOBS ndo always huwa nafanya kazi za aina hii, Kazi yangu ya Sasa Ni HMI CLASS tunatengenza class, nafanya kazi masaa 8 kila siku nalipwa $21 kwa saa na overtime $27, awali ilikuwa GE Appliance nilikuwa nalipwa $19, Before GE ilikuwa Fedex nilikuwa nalipwa $19.50, kabla ya Fedex ilikuwa Amazon $20.

Now kazi yangu ya sasa nafanya masaa ninayotaka nikisema kwamba nataka nipate $5000 mwezi huu inapatikana na gharama zangu za maisha ya marekani hazifiki hata $600(bills). So hapo nina kitu cha kufanya tayari africa. Imagine miez 12 ya kazi nikiruid africa huwez kusema tunarudi tumechoka.

Fursa nyingine ambayo kwangu huwa naona ni muhumu sana hapa marekani ni technology, Iphone ilipo marekani sio iliopo africa, chrome inavyofanya kazi marekani ni tofauti kabisa na africa, System za simu na Feature baadhi za Social Media ziko tofauti. kuna software kama vile Stripe huwezi kujiunga ikiwa unaishi africa, so mambo kama hayo ni muhimu sana na ni fursa kubwa.
Hat banl system ni tofauti kabisa zinavyotumika africa.

So kuishi marekani kuna fursa ya kuelimika pia, saivi ukimwabia banker maswala ya wallet pay, wireless pay, finger pay haya ni mambo mageni kwake au anasikiaga tu, ila wewe unaelimika kutoka na fursa ya mazingira unayoishi

ITAENDELEA.......
NO PM
Fafanua aina ya kazi unazozifanya maana sisi tuko Afrika.
Hizo class sijui na nini hatukuelewi

Kama ni kibarua cha kubeba maboksi au kusafisha simu au kusambaza vyakula kwa wateja....

Be open ili watu wafaidike na maelekezo yako Pls.
 
Unatafuta stress tu, ukitaka kazi ya hiyo elimu yako ni Bongo ndio utapata.

Policy za South Africa hawatowi kazi kwa wagenia ambayo mzawa yupoa anaweza kufanya, unless upate hiyo kazi ukiwa Tanzania uombewe kibali cha kazi ndio uende.

Kipengere hiki wengi hawaambiani ukweli, elimu yako haiwezi kaukubeba kivile inatakiwa uweke vyetia pambeni uangalie fursa utakayoimudu.

Mfano watu kama Mwamvita Makamba hakwenda kuomba kazi South Africa, ameondoka Tanzania akiwa tayari ni muajiliwa, hiyo ndio style yao kwa kazi zenu nyinyi wasomi.
Ahsante Mkuu hapo nimekuelewa vizuri,Maisha ya Bondeni Kuna muda nayatamani
 
Sheria za hapa ni ngumu kidogo kwa mgeni kuja na vyeti vyake hapa akapata kazi na ukizingatia hawa jamaa ni wabaguzi sana. At least uwe umesoma shule zao na kupata vyeti vyao hapa. But kwa upande wa private sector unaweza kubahatika kuangukia kwenye kampuni ya mzungu akakuajiri kutokana na taaluma yako ukapiga pesa ndefu.
Ahsante kwa majibu Mkuu, natamani sana kuishi huko ama nchi yoyote Duniani nje na hapa kwetu
 
Ahsante Mkuu hapo nimekuelewa vizuri,Maisha ya Bondeni Kuna muda nayatamani
Unajuwa hizi masters zenu ni kwa nini haziwasaidii? Ni kwa sababu mmesoma lakini hamna Cv siyo kama kazi huwezi kuomba online lakini vigezo vinakutupa nje.

Wasomi wenye kazi nzuri ndio haohao wenye nafasi nzuri zaidi ya kuomba kazi nyingine Cv zinawabeba.

Mashirika ya UN kila siku wanatowa post lakini utashangaa wanakuja Waethiopia Wabongo Cv utata.
 
Unajuwa hizi masters zenu ni kwa nini haziwasaidii? Ni kwa sababu mmesoma lakini hamna Cv siyo kama kazi huwezi kuomba online lakini vigezo vinakutupa nje.

Wasomi wenye kazi nzuri ndio haohao wenye nafasi nzuri zaidi ya kuomba kazi nyingine Cv zinawabeba.

Mashirika ya UN kila siku wanatowa post lakini utashangaa wanakuja Waethiopia Wabongo Cv utata.
Hapo umesema ukweli Mkuu, nimeona sana haya ma NGO makubwa wanasema wanataka mtu mwenye experience ya NGO hivo basi kuzipata hizo kazi mpaka kuwa na msingi mzuri
 
Hivi mbona mmoja wenu huko akifariki huko Kusafirisha Mwili tu huwa ni Shughuli Pevu.?
Bakuli La michango linatuhusu mpaka huku Kwa Mtogole.!
Halafu Mkifiwa na Mzazi Utasikia Mtoto Kashindwa Nauli Kuja Kumzika Mzazi Wake..! Hivi Diaspora Tuelezeni shida nini?
Mi mwenyewe nilitaka Kuja kuwa Diaspora ila ninachokishuhudia Kinachowatokea huko nimeghairi..!

Katika Diaspora 20 ni Wawili au Watatu ndo Wanatoboa.
Mh! Mkuu we sema tu mambo hayajakukalia sawa yaani umeghairi kwenda USA kwa sababu ya changamoto ya kusafilisha maiti....😃
 
Mh! Mkuu we sema tu mambo hayajakukalia sawa yaani umeghairi kwenda USA kwa sababu ya changamoto ya kusafilisha maiti....😃
Usisahau kuna wale wenye walitoswa viza, viza refusal, huwa mara nyingi hasira zao wanamalizia kwa waliotusuwa.

American dreamers wengi ndoto zao zilizimwa pale US Embassy unakutana na consular anakula kichwa mwingine anarudia hata mara tatu analiwa kichwa.

Kwahiyo ukisoma Comments hapa uwe na jicho la tatu, ni kichaa peke yake ndio anaweza kukwambia eti Marekani na Bongo bora Bongo, haya ni matumizi mabovu ya akili.
 
View attachment 2206227
hiyo hapo ni malipo yangu ya kazi kwa muda wa wiki pili, fikiria kila baada ya wiki mbili nipe napata hiyo pesa muda wa mwaka mmoja nitashindwa kuwekeza marekani.

Bima za afya hata kazini kwako.

Alafu ukienda hospital huna bima, kuna mashirika mengi yanaweza kukulipia ila hii ni kwa watu wenye kipato kidogo. kama kipato chako kinalipa kwanini usichukue bima hata $50
Inawezekana ukalipwa hiyo hela, lkn inaonyesha wewe ni blue collar worker. Ukiona blue collar employee analipwa pesa kama hiyo ujue it comes with a huge downside as far as health, general well-being and quality of life. Siyo kama unakaa kwenye desk lako siku nzima ukiwa kazini. Wazungu watakuwa wanahakikisha they get every dime’s worth out of your paycheck. Kama ni kweli, utakuwa unapelekeshwa sana kazini kwa mshahara huo. Na kama unabadilisha kazi mara kwa mara, and state to state, basi utakuwa private contractor. Unapewa kazi kwa temporary contracts. Contract ikimalizika unakuwa jobless, unless ume apply kazi sehemu nyingine before end of current contract.
 
Ninachoweza kukugurentee ni kwamba Bongo watu wapo smart kichwani lakini maisha yanawachapa, hili haliwezi kukuta Marekani.

Huwezi kuwa Marekani eti unaamka huna mia uende ukamboom mtu.

Ninaamini kwa dhati kabisa huko mbinguni Wabongo hawaendi motoni, moto wameshaupata hapahapa duniani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]bongo tuko motoni kweli
 
Usidharau kazi ya mtu. Dunia ingekuwaje kama watu wote wangekuwa white collar?
Inawezekana ukalipwa hiyo hela, lkn inaonyesha wewe ni blue collar worker. Ukiona blue collar employee analipwa pesa kama hiyo ujue it comes with a huge downside as far as health, general well-being and quality of life. Siyo kama unakaa kwenye desk lako siku nzima ukiwa kazini. Wazungu watakuwa wanahakikisha they get every dime’s worth out of your paycheck. Kama ni kweli, utakuwa unapelekeshwa sana kazini kwa mshahara huo.
 
Inawezekana ukalipwa hiyo hela, lkn inaonyesha wewe ni blue collar worker. Ukiona blue collar employee analipwa pesa kama hiyo ujue it comes with a huge downside as far as health, general well-being and quality of life. Siyo kama unakaa kwenye desk lako siku nzima ukiwa kazini. Wazungu watakuwa wanahakikisha they get every dime’s worth out of your paycheck. Kama ni kweli, utakuwa unapelekeshwa sana kazini kwa mshahara huo.
Hapa bongo unabeba tofali na zege siku nzima unaondoka na >elfu 15!
 Hio pelekesha ya mtoni inazidi hii ya hapa kwetu?
 
Usidharau kazi ya mtu. Dunia ingekuwaje kama watu wote wangekuwa white collar?
Hana stable employment kama ni private contractor. It’s a high risk undertaking, therefore the relatively high wages. Unaishi hotel-motel while out-of-state and on contract.
 
Inasikitisha sana
Ninachoweza kukugurentee ni kwamba Bongo watu wapo smart kichwani lakini maisha yanawachapa, hili haliwezi kukuta Marekani.

Huwezi kuwa Marekani eti unaamka huna mia uende ukamboom mtu.

Ninaamini kwa dhati kabisa huko mbinguni Wabongo hawaendi motoni, moto wameshaupata hapahapa duniani.
 
Back
Top Bottom