Maisha halisi nchini Marekani

Maisha halisi nchini Marekani

Tunashukuru kwa ushuhuda mkuu. Japo mimi katika kusafir kwangu japo cjakaa kwenye hizo nchi niliona Canada inafursa zaid ya marekan. Kuanzia elimu na kazi kama hiz unazosema. Nimefika hizo nchi mbili ila marekan nilifika hiyo miji mikubwa. Na life lake ni kama Hongkong .singapore nk. Kwa mtu aliyetoka nchi masikin kama zetu ni kweli ni vizur kuish miji midogo.
USA kuna opportunities nyingi kuliko Canada
 
Mama D naona unakuwa Irrational, Diaspora wote wana umri mmoja! Labda wa rika lako, Marekani ni kama reli ya Kati, kila leo inaingiza watu wa kila aina, type ya first class hadi third. Sample ya Diaspora ni ile ile ya watu walioko Bongo! Nawajua watu wa age yangu hawajafanya lolote,very frustrated, je my sampling inawakilisha Watanzania wote kuwa umri umekwenda na wako frustrated Argue logically Mama.

Unaelewa halafu huelewi
Nimekuelewa Lakini
 
Mkuu sijui umewaza nini. Nina jamaa yangu ni mlinzi Uarabuni. Kwa sasa ana ghorofa mbili hapa Dar. Ni jamaa yangu wa karibu sana. Sasa sijui wewe umewaza nini.
Katika maisha ya kutafuta simshauri yeyote achague kazi.
Uarabuni ni South Africa? Una akili timamu wewe?
 
Mbona unan'gan'gania sana picha aisee
Kila mtu na uelewa wake mkuu. Kuna mtu mungine huelewa na kuamini kwa maneno, na mungine huelewa na kuamini kwa maneno na picha. Mfano mtu anaweza kuleta uzi hapa unaosema leo asubuh maeneo ya nyumban kuna shule imeungua. Mtu huyo kama hakuweka angalau picha 1 ya kuonesha jinsi shule ilivyoungua, kuna watu watamuelewa na kumuamini, na kuna watu hawatomuelewa na kumuamini mpaka angalau awe ameweka picha au video inayoonesha hiyo shule ikiungua. Mpaka hapo nafikiri umeelewa.
 
Anayefanya kwenye Corporate world,sio mbeba maboksi, hana ku clock in or out,mostly yuko kwenye salary sio wage!
Jamaa yangu Makampuni kama Citi Bank, JP Morgan Chase, Wells Fargo, Ford, Toyota, kwenye Corporate offices huyo sio mbeba mabox..
 
Back
Top Bottom