Maisha halisi ya Watanzania waishio hapa Afrika Kusini

daaah!!
kamera hizi zina umbua watu, halaf jamaa ukimuona huwez kumdhania, [HASHTAG]#Menaretrash[/HASHTAG] ndio ilikuwa ina trend huko kwa ndugu zetu kisa uzembe wa huyu dogo

Hao wanawake waliokuwa wanatrend hiyo hashitagi wapuuzi na malofa. Nimeona wanawake wengi sana wakielezea hisia zao juu ya hili tukio huku wakifanya generalization za kipuuzi.

Lakini huyo demu nae acha akome, maana hata ndugu zake waliwahi kumshauri amuache msela sababu ya vipigo ila maskio yake yalizibwa na $$$.
 
Katudhalilisha mno Sandile. Lakini uzuri kakubali kua aliuwa na kuchoma mwili moto... hivyo anaenda mahakamani kukamilisha tu ushahidi, kisha azame nyuma ya nondo hadi kifo kimkute. So sad at his age and fame.
so sad! ila sometimes wanawake huwa wanakera!! you never know walipishana nini, ila ingekuwa tukio lilifanyika bongo alisha pona huyo, sema mambo ya kamera huko ndio yame muumbua.
 
hahahaha
walikuwa wanakera halaf they are very emotional, yaan wengine ukiwachana live hadi wanaku unfollow.
ila dogo alikuwa mzuri jaman, kuua kiumbe kama kile unastahili unyongwe
 
KATIKA HILI HAKUTUTENDEA HAKI HUYU MHESHIMIWA, ALIYO YA ZUNGUMZA MENGI NI SAHIHI ILA SI KWAMBA WOTE TULIO HAPA TUPO HIVYO INAWEZA LIKAWA NI KOSA LA MWENYEJI WAKO AU NI MAKUSUDI TU! 0733318248 TUWASILIANE UJE NYUMBANI TAFADHALI.

Next month nitakuwa Jetpark town DsV . If possible nitakucheki, nina safari ya kwenda Cape kwa kina Subie wa FDD.
 
Pia ufike cape town. Na ukifika Johannesburg fanya mawasiliano tukukutanishe na watanzania wenye maisha yao. Mana kuwajumlisha wote kisa umeona maisha ya mateja. ... da!

Upo cape, kuna jamaa zangu hapo fire dynamic n disaster FDD , kina subie, jacque, monageng , nhlapo, Ramathbela na wengneo kibao
 

Asante sana mkuu.

Kiukweli mimi nimekuwa mwoga wa biashara za ujanja ujanja (hope unanielewa). Ambazo mara nyingi zina-take advantage na maisha ya watu hapa kwetu Tanzania. Na kwa sababu unakuta mtu kapata hela ya ghafla au uelewa mdogo hachukui hata mda kujifunza/kuielewa hiyo biashara husika.

Trading nimeifuatilia lakini I need additional knowledge. Bado najiona napwaya sana. Kuna kipindi nilinunua hisa CRDB, TOL na usisahau NICO lakini kila siku ni afadhali ya jana. With exception ya TBL!

By the way ni vizuri tukiwa tuna-share info kama hizi. Even if you come across some nice books on this nk. Just recommend.

Angalizo: Ukiona biashara mtu anakwambia utangulize pesa/umtumie hela kujiunga au kwa sababu yoyote ile. Be careful!
 
Asee niunganishe please...naona midolari hiyoo mbele ya macho yangu[emoji23] [emoji23] [emoji23]

In all seriousness ...mkuu unarudi lini bongo?
 

Mkuu kiukweli hizi biashara za mtandaoni hizi ni kuwa nazo makini sana hasa kwa nchi yetu hii ambayo % hatuna knowledge ya kutosha na mambo ya I.T. kuna watu wakipata account namba ya bank tu hata bila password yako wana kumaliza. Hivyo kama itabidi uwe umeshajiridhisha sana kabla ya kuingia.

Lakini pia tusisahau maisha siku zote huwa ni risky, na mafanikio yako yana depend na risky unayochukua. "if you risk big, you get big"-Billget.

Kwa hiyo mkuu lazima tufanye risk hili kupata success, na hii FRX ndio high risky hatari lakini pia ndio most lucrative business in financial market worldwide.

Ukitaka vitabu vipo sana Mkuu mpaka vya psychology ya hii mambo, siku ukiwa tayari kuingia rasmi nijulishe tu.

mimi ni mzito sana kutoa hela kabla sijapata ninachokihitaji.
 
Daah ...it pain kwakweli...

Nashukuru mkuu , ngoja nichimbue kiundani
 
Ndo tunachokitaka hicho mkuu...

Ontario atupe updates tujipange ili akitua bongo tuwe tumeshajikamilisha in term of financ time & energy..

Personal, I need to create a privately financed project..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…