Mkuu embu niambie nikija SA nijipangaje kuanzia usafir mpaka mda nafika hapo,, na niwe na Balance kiasi gani mpaka mambo yatakapo kaa sawa ..kiukweli na nia ya dhati kusepa hapa.Mie nipo port elizaberth.mie najishugulisha na biashara za vinyago katika malls.pia wapo watu wana maduka na bar pamoja ma workshop za magari.huyo mwandishi kaongelea "falls za wabongo na sio "Rise za wabongo Sa
Haya bana...Jazba ipi tena boss wangu?! Si umeuliza swali, na nilichofanya ni kukujibu tu.
Kuhusu huyo binti ni kuwa kanisa la Bushiri lenye kuingiza watu zaidi ya laki1 ktk ibada si kila mtu anapata VIP seat. So, tunaAssume mtu anayekaa VIP basi anakuwa na hadhi fulani hivi.
Pia tuwe wakweli mtu aliyeotea life ukimuona hata huitaji kuuliza, utajua tu kwa muonekano wa kwanza.
HahahahaKwa hiyo hujasoma au?
Ila naamini hii stori ingekuwa inaelezea talaka ya Mange usingesema ndefu.
Mama la fursa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Itabid nifanye mchakato nije nikusalimie
Huo ukuda sasa kwani umeulizwa kuhusu game???Arsenal alimchapa Man Utd 2-0. Game kipindi cha kwanza chote tulicheki hapo
Yaani mbona hilo libashite ndo zake..full wivuu tuuUnaongopea jamii ndy maana una jazba kidogo tuu.sasa matusi ya nini au jamaa kaandika nini kilichokufanya ukasirike hadi utumie maneno magumu.acha kutengeneza hadithi au kuchukua hadith ulizo hadithiwa na mtu.
Mkuu sorry kama ntakukwaza..Matsoea mimi nilimjulia kupitia mwanafunzi wake mmoja hivi ambae huwa nachati nae... Wanasema demu alikuwa maarufu na pia ni aina ya wale wajuaji. halafu jamaa alivyokuwa kauzu baada ya kumuua, ndugu zake walivyoanza kumtafuta na yeye akaanza kuwasaidia kumtafuta akijua hawezi kukamatwa.
I don't do trading mkuu, hii kitu niliwahi kujifunza mwanzoni mwa mwaka huu ila nikagundua kwamba mimi mwenyewe tu siwezi na pia Inahitaji muda sana kama mwaka hivi ya training ndio uanze kupiga hela...
Sandile kazingua sana nimeona watu wakimtetea hata kwenye huu msala, lakini nadhani hawamtetei bure wengi wa hao watetezi wake akiwemo huyu friend wangu amebadilisha maisha yao.Sandile kwakweli katusikitisha sana jamii ya traders, sasa hivi traders wote tunaonekana ni 'psychopaths na sociopaths'. Nina uhakika Sandile alikua drug addict kwa muda mrefu.
Boss, you must learn this thing. It's a holy grail. Si ngumu sana kama unavyodhani, unahitaji dedication na right mentorship. Ukiwa makini na optimistic wala hautatumia muda mrefu sana, unaanza kujichotea USD na GBP. Sisi hua tunasema "Kudownload pesa".
Boss..Sandile kwakweli katusikitisha sana jamii ya traders, sasa hivi traders wote tunaonekana ni 'psychopaths na sociopaths'. Nina uhakika Sandile alikua drug addict kwa muda mrefu.
Boss, you must learn this thing. It's a holy grail. Si ngumu sana kama unavyodhani, unahitaji dedication na right mentorship. Ukiwa makini na optimistic wala hautatumia muda mrefu sana, unaanza kujichotea USD na GBP. Sisi hua tunasema "Kudownload pesa".
Hahahahahahahaha kudadeki zako sana aiseeeeePole mkuu wangu, hile game mlikuwa mlenda kweli kweli. Huku nacheki Welbeck anawapepeta, nikigeuka huku nakutana na mbunye ina ambaa ambaa
Tatizo unataka kujua ishu za wabongo waishio south halafu unamtafuta msouth ndy akupeleke sehemu za wabongo badala ya kutafuta muhusika mmojawapo.wenye ishu za maana wapo tena wengi wanaishi na familia zao fresh.Mkuu PE nimefika, nina jamaa yangu ni professional rugby player wa team ya PE anaitwa Luzuko Vulindli ndie alinikatisha mitaa ya PE. Huko pamepoa sana boss.
Hawa waliochoka ndio nimekutana nao mkuu, na ndio asilimia kubwa ya waTZ wengi waliopo huko. Hao unaosema wanamiliki workshop za magari mimi sikubahatika kukutana nao. Labda uanzishe uzi utuambie kuhusu hilo tabaka.
Sandile kazingua sana nimeona watu wakimtetea hata kwenye huu msala, lakini nadhani hawamtetei bure wengi wa hao watetezi wake akiwemo huyu friend wangu amebadilisha maisha yao.
Mkuu, hii kitu sijaiacha actually Niko kwenye training kwa mara nyingine tena kilichonifanya nika give up hapo awali nilichukulia simple kuwa ninaweza nikajifunza hata mimi mwenyewe. Lakini baada ya kupata consultation kwa wazoefu ninaona sasa inawezekana hata isichukue mwaka.
Kuna wale madogo wanajiita "undercoverbillionaires" wanatoa trainings kupitia apps zao wenyewe hata kwa mtu ambaye yuko mbali, ila ada yao ni $300. na course nzima inachukua miezi sita kwa majibu wa Maelezo yao.
Yaaani ukisoma vizuri post unaona jamaa yupo against na wabongo waishio huku kwasababu kabase upande mmoja tuu kwani huko bongo hawapo hao mateja na wabeba box au vinyozi?inshort ingekuwa hivyi basi wasingekuwa wanamiminika huku badala ya kurudi.kuishi kwa kupigana madongo ndy kikubwa kinatukwamisha.Yaani mbona hilo libashite ndo zake..full wivuu tuu
Nahisi amepitia malezi mabovu kupita binadamu yeyote hapa chini ya jua
Usiwe na Presha Boss.Boss..
Nieleweshe hiki kitu " trading "
Nataka kutoboa asee..
Maisha yako hapahapaThe more city inavyozidi kuwa modern ndio the more social and economic evil zinaongezeka.
Wale bushmen akina Xi wana maisha mazuri saana kule kijijini kwao kuliko wanaoishi hapo downtown kwa madiba.
Thank God! Sijawahi kuwaza kwenda south, napiga hela nyeupe za bila jasho kwa wakulima wa Maharage hapa karagwe.
Easy money!