Maisha haya aisee, jana ilikuwa harusi leo imekuwa msiba

Maisha haya aisee, jana ilikuwa harusi leo imekuwa msiba

aise

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2018
Posts
5,175
Reaction score
16,488
Wakuu, hapa mtaani kwangu kuna ndugu yetu nyumbani kwake kulikuwa na harusi(mtoto wake alikuwa anaoa). Ndoa imefungwa vizuri kabisa,
watu tumekula ubwabwa mpaka basi, na wanywaji wamekula bia mpaka basi.

Cha kusikitisha leo asubuhi mzee wa watu kaenda Kibaoni kununua pumba za kuku wake, akagongwa na gari na kupoteza maisha hapo hapo.

Watu tunamalizia kuosha vyombo vya harusi, zinakuja taarifa za msiba.

So sad kwakweli.
 
Hii ndo dunia, wote tunapita. Na kifo ni chetu tunatofautiana tu siku za kuondoka. Jambo jema na sahihi ni kuishi maisha mema yampendezayo muumba. Kutoa misaada kulingana na uwezo wetu, tupunguze dhambi tunazoweza kuepuka ili tuwe na miisho mema.
 
Mkuu dunia ni maumivu tu ,kama unabisha jaribu kukaa na wazee wa miaka 70 na kuendelea then waulize kuhusu miasha hata kutafuta pesa naona utaacha..... kiufupi Maisha tunaenda tu hatujui kesho yetu tupunguze viburi ,majivuno , tupendane pia tuishe vile tunapenda.
 
Back
Top Bottom