Maisha haya aisee, jana ilikuwa harusi leo imekuwa msiba

Maisha haya aisee, jana ilikuwa harusi leo imekuwa msiba

Ndo maana sipendi harusi au sherehe yoyote ile ..,mara nyingi haya matukio Huwa Yana mvutano na nguvu za Giza au mikosi
Bro naona tunaogelea bahari moja , sipendi kabisa matukio ya sherehe , hata harusi yangu nilifanya kibabe tu hakukupikwa hata mpunga!!! .by default nipo hivyo.
Sasa juz kati hapa wife akafanya sherehe ya kipaimara cha mtoto , nusura sherehe iambatane na msiba.
 
Ukitafakari Sana unaweza uka gandisha ubongo, one of my friends alikua ananisisitiza ulaji mzuri,niepuke ulaji wa hivyo wa vitu vya mafuta, Chumvi, sukari every month tunapitia kawe Catholic dispensary kucheki BP [emoji24][emoji24][emoji24]but death found him in different way out of food, akagongwa na gari akisubili daladala kituoni miembe Saba kibaha, rest in peace A.S🪔🪔🪔
 
Mi naonaga bora nisingezaliwa , husstle za kutosha , halafu mara vuup dead end!!! unazikwa . All workdone equal to zero.
That is life cycle, you get to be born, suffer then die [emoji137][emoji1787][emoji1787]
 
Kifo kinaita ukute hata humu ndani pumba ilikuwepo ila ndo hivyo.
 
Mkuu dunia ni maumivu tu ,kama unabisha jaribu kukaa na wazee wa miaka 70 na kuendelea then waulize kuhusu miasha hata kutafuta pesa naona utaacha..... kiufupi Maisha tunaenda tu hatujui kesho yetu tupunguze viburi ,majivuno , tupendane pia tuishe vile tunapenda.
Nimescreenshot hii comment mkuu.
 
Ukitafakari Sana unaweza uka gandisha ubongo, one of my friends alikua ananisisitiza ulaji mzuri,niepuke ulaji wa hivyo wa vitu vya mafuta, Chumvi, sukari every month tunapitia kawe Catholic dispensary kucheki BP [emoji24][emoji24][emoji24]but death found him in different way out of food, akagongwa na gari akisubili daladala kituoni miembe Saba kibaha, rest in peace A.S🪔🪔🪔
Mwaka juzi nilipoteza moja ya rafiki yangu bora kabisa .
Alikua ni mtu wa principles haswa , hali kuku broiler , hatumii sukari kabisa na chai alikuwa anaweka asali, alikuwa anatembea na vipimo vya Hiv mkobani , akijipima mara kadhaa kwa mwezi etc etc amekuja kuindoka duniani kirahisi sana
 
Mwaka juzi nilipoteza moja ya rafiki yangu bora kabisa .
Alikua ni mtu wa principles haswa , hali kuku broiler , hatumii sukari kabisa na chai alikuwa anaweka asali, alikuwa anatembea na vipimo vya Hiv mkobani , akijipima mara kadhaa kwa mwezi etc etc amekuja kuindoka duniani kirahisi sana
We need to be humble in dust we were created into dust we shall return!
 
Da maisha haya, mi nakumbuka Kuna mwaka tumewahi kuhudhuria ibada ya ndoa ya moto na baadae ikafanyika ibada ya mazishi ya mamazazi was mtoto, Yaani mzazi alifariki katika harakati za sherehe na ilikua ngumu kughairi kwakua Kila kitu kilikua kimeshaandaliwa
NB: Ni majaaliwa kuiona kesho!
 
Back
Top Bottom