Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
We acha tu yaani!! kwamba hata tufurukute tuna mwisho na ukiishi na miaka mingi ni mateso kwa nn tudharauliane? Hii dunia tuNilikuwa nafuatilia interview ya marehemu Professor. Matthew Luhanga iliyofanyika miezi michache kabla ya umauti kumfika aisee , alikuwa anaonekana amechoka sana(72 by then). Anaulizwa Hali yake akasema "Hali yangu inaendana na umri wangu, hivyo sina malalamishi makubwa.." 😥kwa tone ya kuonyesha he's no more happy, ni vile tu bado pumzi ipo
Fumbo la maisha halina ufumbuziWakuu, hapa mtaani kwangu kuna ndugu yetu nyumbani kwake kulikuwa na harusi(mtoto wake alikuwa anaoa). Ndoa imefungwa vizuri kabisa,
watu tumekula ubwabwa mpaka basi, na wanywaji wamekula bia mpaka basi.
Cha kusikitisha leo asubuhi mzee wa watu kaenda Kibaoni kununua pumba za kuku wake, akagongwa na gari na kupoteza maisha hapo hapo.
Watu tunamalizia kuosha vyombo vya harusi, zinakuja taarifa za msiba.
So sad kwakweli.
Dah,Mzee aliongea maneno yakufikirisha sana,maneno mazito sana, nimejisikia huzuni sana!Mungu ana siri nzito mno.Nilikuwa nafuatilia interview ya marehemu Professor. Matthew Luhanga iliyofanyika miezi michache kabla ya umauti kumfika aisee , alikuwa anaonekana amechoka sana(72 by then). Anaulizwa Hali yake akasema "Hali yangu inaendana na umri wangu, hivyo sina malalamishi makubwa.." [emoji26]kwa tone ya kuonyesha he's no more happy, ni vile tu bado pumzi ipo.
Hatari sana, muhimu kuishi kwa upendo... Tukipata nafasi ya kufurahi unafurahi!We acha tu yaani!! kwamba hata tufurukute tuna mwisho na ukiishi na miaka mingi ni mateso kwa nn tudharauliane? Hii dunia tu
Tuishi kwa upendo! ndio maana Mhubiri anasema yote ni ubatili.Dah,Mzee aliongea maneno yakufikirisha sana,maneno mazito sana, nimejisikia huzuni sana!Mungu ana siri nzito mno.
Mkuu poleni sanaShemeji yangu wa kike ni shabiki wa simba lia lia,humwambii kitu kuhusu hiyo timu
Tarehe 13 mwezi huu alikuwepo uwanja wa taifa kushuhudia ngao ya jamiii,mpira umekwisha yanga 2-1
Kwakuwa ni mtu wa majigambo na tambo nyingi,tukawa tunamsubiri kwa hamu arudi home tumshambulie kwa kejeli. ( sisi yanga)
Akawa harudi...tukampigia simu haipatikani,tukajua kwasabu timu yake imefungwa kaamua kuzima simu kwakuwa anakwepa utani wa jadi.
Kumbe bhana pikipiki aliyopanda iligongwa na gari maeneo ya kwa musuguri,walipoteza maisha palepale.
Kupata taarifa hata hatukuamini yani,shemeji yangu amekwenda kiutani namna hiyo,tumeumia sana.
Apumzike kwa amani
Hasa polisi wetu ambao hata mia hawapewiMaisha ya duniani ni mapito halafu unakuta mpumbavu anaua mtu utadhani nae ataishi milele
Au unakuta anaiba mapesa na kuwapa mke na wanawe madaraka utadhani wataishi milele.Maisha ya duniani ni mapito halafu unakuta mpumbavu anaua mtu utadhani nae ataishi milele
At the end wajukuu zake wanakuja kuwa masikini.Thus watawala wa kizungu wao waliona ni upumbavu kuiba madarakani ni SAwa na kujiibiia mwenyewe maana hata ukiiba zaidi labda watafaidi wanao je kizazi cha wanao je si kitaishia kuwa masikini,wao waliona jibu jepesi ni kuboresha maisha ya jamii nzima,yakiwa bora na vizazi vyao vitafaidi.Afrika mtu anaiiba pesa anaenda fadhili timu ya mpira kwa kodi zetu.Au unakuta anaiba mapesa na kuwapa mke na wanawe madaraka utadhani wataishi milele.
Hapana. Ndugu yangu kwenye hii Dunia jitahid kuishi maisha ya kumpendeza Mungu. Maisha ni mafupi sana Tena yamejaa taabu na shidaYeah!
Duniani tupo ili tuvunje sheria, duniani tupo ili tufanye dhambi.
Hao wezi ndio hawakutaka kuona kiongozi anayehakikisha kila mtu ananufaika na miradi ya maendeleo.At the end wajukuu zake wanakuja kuwa masikini.Thus watawala wa kizungu wao waliona ni upumbavu kuiba madarakani ni SAwa na kujiibiia mwenyewe maana hata ukiiba zaidi labda watafaidi wanao je kizazi cha wanao je si kitaishia kuwa masikini,wao waliona jibu jepesi ni kuboresha maisha ya jamii nzima,yakiwa bora na vizazi vyao vitafaidi.Afrika mtu anaiiba pesa anaenda fadhili timu ya mpira kwa kodi zetu.
Mtu anapewa tenda ya kusambaza maji vijijini anazipiga kwa kushirikiana na watendaji kisha anaenda zifanyia biashara ya mabus huku Jamii ikiteseka na maji
Pesa za wizi huwa hazitoshi,kadri upatavyo na ndivyo idadi ya vimada inaongezekaHao wezi ndio hawakutaka kuona kiongozi anayehakikisha kila mtu ananufaika na miradi ya maendeleo.
Kwa ubinafsi wao wanaona ni sahihi kabisa na haki kwao kujilimbikizia mapesa ya wananchi wao na familia zao.
Ni jambo la kishetani mno kuwa na watu wa aina hii wenye tamaa iliyopitiliza ya pesa na mali.
Mhubiri 8:8Yaani haya maisha kama uwezo wa kula bata unao, wewe kula bata tu.
Asante sana mkuuMkuu poleni sana
Sayansi hapa inasema ulichagua kuishi, ktk sperm kuna mamilioni ya sijui chromosome/gene hushindana mbio kuingia kwenye yai la mwanamke, so mbio zako zilikuponza, make uliwazidi wale wengine milioni kadhaa.Had it been clearly posted kabla haujazaliwa na tukawa na option za kuchagua tuzaliwe ama la , ningeamua kutozaliwa.
Huwa napita makaburini na kushangaa kwa masikitiko , hayaonyeshi tofauti ya nani alikuwa hodari au maarufu, kaburi la profesa aliyestruggle na elimu akajifunza kusoma hadi kuaandika thesis , linalingana sawa tu na la marehemu babu yangu ambaye hata kusoma hakujua!
Why woud someone create a wolrd so unfair like this ? Soma unavyojua kusoma pata pesa unavyojua kupata ukifa ndo kila kitu kimeishia hapo. And I, sincerely hate this idea
Mwanao anaongea mantiki na wewe unaongea siasa , ati ecosystem balance! , aliyeeumba huo ulimwengu hakujua kwamba tutazaliana ? Alikuwa na kila kitu at disposal kwa nini aumbe kifo ?, shetani alikuwa na ulazima gani kuumbwa?: Kwan hata angeumba bao moja tu ndo litoe mtoto baada ya hapo yanayofuata ni kwa ajili ya burudani , mbona tungezaliana kwa wastani tu .Kuna mwanangu wa 9 years huwa ananiambia "la vie n'a pas de sens "Yaani maisha hayana maana,kama tulikuwa ni wa kufa kwa nini sasa tulizaliwa?Si Bora hata tusingekuwepo kabisa likajulikana moja. Huwa ninamjibu maisha yana maana. Tunakufa ili tubalance écosystème. Dunia hii ni ndogo sana watu wasingekufa isingekalika.Maisha yana kupanda na kushuka,kuna kuzeeka. Hivyo kufa ni sehemu ya maisha.