Maisha haya bila kuwa na mahusiano, utaona dunia ni chungu


Joannah anasemaje ?
 
Kama unamaanisha mahusiano ya kwenye ndoa rasmi nitakubaliana na wewe. Lakini kama ni mahusiano nje ya ndoa huo ni uzinzi na uasherati!! Biblia inasema hakuna amani kwa wabaya!!
Sasa hawa ambao hawajaolewa unataka nani wawafariji? Iwapo wanaume rijali wako wachache, na hawa ke wanaitaji kuwa kwenye mahusiano? Kwa uwiano tu tunaweza kukadiria 1:6 na bado hesabu inaweza isibalansi.
 
Kuna wengine wapo kwenye ndoa ila wenza wao wanawaigizia kama wanawapenda,kumbe wanadanga mpaka kwenye ndoa.

Sometimes zile style za wazee wetu wa zamani zakutafutiana wachumba,mafunzo ya jando na unyago naona walikuwa sahihi sana,ila siku hizi ni hovyo hovyo.
 
Kwa zamani ilikuwa inawezekana ila kwa mazingira ya sasa ni vigumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…