Maisha haya bila kuwa na mahusiano, utaona dunia ni chungu

Maisha haya bila kuwa na mahusiano, utaona dunia ni chungu

Kila utakayekutana naye, utakuwa unamkasirikia; atakaye kusemesha neno dogo tu, unamjibu kwa ukali; ukiona uzi wa masham sham unakasirika: hii ni ishara ya kukosa mahusiano sahihi.

Ndio, ni kweli hapa duniani kuna changamoto nyingi, hasa za kiutafutaji ili kuweza kupata mkate wa kila siku; zipo changamoto za kutengwa, changamoto za kuugua, changamoto za maeneo ya kazi n.k Lakini kitu kinachokuja kumpa faraja mwanadamu, ni mahusiano tu.

Ukiwa na mahusiano na mtu sahihi, muda wote utakuwa unafuraha ata kama unapitia changamoto mbalimbali za kidunia.

Kwa nyakati hizi, wanaume halisi wamekuwa ni wachache sana, na hii inathibitishwa kwa idadi kubwa ya wanawake kutokuolewa, wengine wamezaa na hawajaolewa, wengine wameolewa lakini hawaridhishwi n.k

Lakini mwisho wa siku, wote wanahitaji mahusiano.

Kwa kifupi naweza kusema; pigania mahusiano yako, huwezi kupingana na asili ya uumbaji.​
Ndoa ni mhimu full stop , utaruka ruka weeeh ila utakuja tuu kwenye line ,
 
🔨🔨🔨🔨🔨🔨
mwanamke u
Kila utakayekutana naye, utakuwa unamkasirikia; atakaye kusemesha neno dogo tu, unamjibu kwa ukali; ukiona uzi wa masham sham unakasirika: hii ni ishara ya kukosa mahusiano sahihi.

Ndio, ni kweli hapa duniani kuna changamoto nyingi, hasa za kiutafutaji ili kuweza kupata mkate wa kila siku; zipo changamoto za kutengwa, changamoto za kuugua, changamoto za maeneo ya kazi n.k Lakini kitu kinachokuja kumpa faraja mwanadamu, ni mahusiano tu.

Ukiwa na mahusiano na mtu sahihi, muda wote utakuwa unafuraha ata kama unapitia changamoto mbalimbali za kidunia.

Kwa nyakati hizi, wanaume halisi wamekuwa ni wachache sana, na hii inathibitishwa kwa idadi kubwa ya wanawake kutokuolewa, wengine wamezaa na hawajaolewa, wengine wameolewa lakini hawaridhishwi n.k

Lakini mwisho wa siku, wote wanahitaji mahusiano.

Kwa kifupi naweza kusema; pigania mahusiano yako, huwezi kupingana na asili ya uumbaji.​
mwanamke unyanduliwe huko na wanaume mia kidogo unategemea nani atakuridhisha. Wengine wamewanywea madawa ya kuongeza nguvu Jitunzeni tangia mkiwa wadogo uone km ndoa itakushinda. Tunza bikira yako acha kufukuliwa sana subiri ndoa.
 
You are right mkuu,sijui tufanyeje Ili tuwe na mahusia na mtu sahihi
Anza kwa kujielewa wewe mwenyewe, wewe ni nani, unataka nini, kwa sababu gani, kitu gani ni muhimu kwako, kitu gani kinaonekana muhimu kwa jamii lakini si muhimu kwako?

Matatizo mengi ya mahusiano yanatokana na watu kuingia katika mahusiano bila kujielewa wao wenyewe, kwa kufuata mkumbo, kwa kufuata jamii.

Ukiingia katika mahusiano hivyo, unacheza kamari ya pata potea.
 
Back
Top Bottom