Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Hujampenda?????Itakuwa ni maumivu tosha iwapo kama hujampenda
Nimefall
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujampenda?????Itakuwa ni maumivu tosha iwapo kama hujampenda
umekunywa nini leo wewe?? 😂Jifungie chumbani penye utulivu, tumia nusu saa kujitafakari alafu uje na majibu
Kama umempenda, kila dakika utatamani awe karibu na wewe.Hujampenda?????
Nimefall
Lubisiumekunywa nini leo wewe?? 😂
😁 Hilo haliwezekani anakutafuta usiku, na nisije mpenda sasa muda wote mpk keroKama umempenda, kila dakika utatamani awe karibu na wewe.
Umeongea point lakini....labda siku nikipata binti namfeel sana ntajaribu kuingia kwenye mahusiano.... saivi ni hit and run 😂Lubisi
Wapo wengi sana, utapata muda ukifikaUmeongea point lakini....labda siku nikipata binti namfeel sana ntajaribu kuingia kwenye mahusiano.... saivi ni hit and run 😂
📦📦📦📦📦📦📦🔨🔨🔨🔨🔨🔨
Mmmh mmmmh jombi umeacha ULOZI???!Maombi
[emoji2][emoji2][emoji2]Wakati tunaomba kazi huwa tunafanyiwa usaili; nawe unaweza kutumia njia hiyo hiyo kwa kuwafanyia usaili, wale unaopenda kuwa nao kwenye mahusiano.
Hii ni kweliHakuna single mwenye furaha, wengi wanaigiza tu, ila katika mioyo yao wanaumia
Ni kweli kabisa mkuuNi bora kutokuwa na mahusiano kuliko kuwa na mtu asiye sahihi
Mahusiano mengine ni vichomi haswaa. Ni Bora kuwa single tu japo ni mateso ila ni heri zidi kuliko kuwa na mahusiano na mtu asiye sahihiNi bora kutokuwa na mahusiano kuliko kuwa na mtu asiye sahihi
Ndoa ni mhimu full stop , utaruka ruka weeeh ila utakuja tuu kwenye line ,Kila utakayekutana naye, utakuwa unamkasirikia; atakaye kusemesha neno dogo tu, unamjibu kwa ukali; ukiona uzi wa masham sham unakasirika: hii ni ishara ya kukosa mahusiano sahihi.
Ndio, ni kweli hapa duniani kuna changamoto nyingi, hasa za kiutafutaji ili kuweza kupata mkate wa kila siku; zipo changamoto za kutengwa, changamoto za kuugua, changamoto za maeneo ya kazi n.k Lakini kitu kinachokuja kumpa faraja mwanadamu, ni mahusiano tu.
Ukiwa na mahusiano na mtu sahihi, muda wote utakuwa unafuraha ata kama unapitia changamoto mbalimbali za kidunia.
Kwa nyakati hizi, wanaume halisi wamekuwa ni wachache sana, na hii inathibitishwa kwa idadi kubwa ya wanawake kutokuolewa, wengine wamezaa na hawajaolewa, wengine wameolewa lakini hawaridhishwi n.k
Lakini mwisho wa siku, wote wanahitaji mahusiano.
Kwa kifupi naweza kusema; pigania mahusiano yako, huwezi kupingana na asili ya uumbaji.
mwanamke u🔨🔨🔨🔨🔨🔨
mwanamke unyanduliwe huko na wanaume mia kidogo unategemea nani atakuridhisha. Wengine wamewanywea madawa ya kuongeza nguvu Jitunzeni tangia mkiwa wadogo uone km ndoa itakushinda. Tunza bikira yako acha kufukuliwa sana subiri ndoa.Kila utakayekutana naye, utakuwa unamkasirikia; atakaye kusemesha neno dogo tu, unamjibu kwa ukali; ukiona uzi wa masham sham unakasirika: hii ni ishara ya kukosa mahusiano sahihi.
Ndio, ni kweli hapa duniani kuna changamoto nyingi, hasa za kiutafutaji ili kuweza kupata mkate wa kila siku; zipo changamoto za kutengwa, changamoto za kuugua, changamoto za maeneo ya kazi n.k Lakini kitu kinachokuja kumpa faraja mwanadamu, ni mahusiano tu.
Ukiwa na mahusiano na mtu sahihi, muda wote utakuwa unafuraha ata kama unapitia changamoto mbalimbali za kidunia.
Kwa nyakati hizi, wanaume halisi wamekuwa ni wachache sana, na hii inathibitishwa kwa idadi kubwa ya wanawake kutokuolewa, wengine wamezaa na hawajaolewa, wengine wameolewa lakini hawaridhishwi n.k
Lakini mwisho wa siku, wote wanahitaji mahusiano.
Kwa kifupi naweza kusema; pigania mahusiano yako, huwezi kupingana na asili ya uumbaji.
Sema kweli[emoji848][emoji848]Kutokuwa na mahusiano kabisa, ni hatari kwa afya ya mwili; hupunguza uwezo wa kufikiri, na inapelekea mtu mzima kuwa na akili za kitoto
Andaa mtaalaTatizo kubwa ni wengi kukosa elimu ya mahusiaano.
Somo la mahusiaano lifundishwe mashuleni
Sawa sawa kazi kwenundio
Anza kwa kujielewa wewe mwenyewe, wewe ni nani, unataka nini, kwa sababu gani, kitu gani ni muhimu kwako, kitu gani kinaonekana muhimu kwa jamii lakini si muhimu kwako?You are right mkuu,sijui tufanyeje Ili tuwe na mahusia na mtu sahihi