dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
chaputa oyeeeKataa mahusiano, Tunza afya ya akili!!! dronedrake 😂
na kibaridi hiki na score za kutosha, bando flani unlimited
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chaputa oyeeeKataa mahusiano, Tunza afya ya akili!!! dronedrake 😂
Yaani wewe unapendaa😁Na hiki kibaridi sasa
🤣🤣🤣🤸🤸🤸Yaani wewe unapendaa😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna mtu kaachwa huko na mvua hii
Jaribu kuongea na mtu yeyote mwenye miaka 40+ na hayupo kwenye mahusiano; ukimpima kwenye hoja utagundua ana akili za kitotoSio kweli. Dalili zinazoonesha mtu ana akili za kitoto ni zipi
hapana... ni maamuzi tuJaribu kuongea na mtu yeyote mwenye miaka 40+ na hayupo kwenye mahusiano; ukimpima kwenye hoja utagundua ana akili za kitoto
Kutokuwa na mahusiano, kuna athiri uwezo wa ubongo kufikiriKataa mahusiano, Tunza afya ya akili!!! dronedrake 😂
Acha uchoyo Madame, msaidie Mtoto wa Ke mwenzio asijekufa kwa ugwadu [emoji2960]Kila mutu apambane na hali yake kwakwel
mi muhanga wa mapenzi nimeachana nayo muda na maisha yanaenda swafi kuliko hata zamani 😂Kutokuwa na mahusiano, kuna athiri uwezo wa ubongo kufikiri
Akili huwa zinaamia chinihapana... ni maamuzi tu
Moyo ndio unasema ukweli kuliko mwilimi muhanga wa mapenzi nimeachana nayo muda na maisha yanaenda swafi kuliko hata zamani 😂
hamna mkuu kuna wale wanadevelop trauma wakipigwa matukio.... wanakua wanaogopa ile haliAkili huwa zinaamia chini
Itakuwa ni maumivu tosha iwapo kama hujampendaAliye umba Mapenzi hakusema yanamaumivu aliye umba mapenzi hakusema unaua wivu
Hata ucpoachwa tu, namna unavyotafutwa na mpenzi ni maumivu tosha
moyo uko swafi tu unadunda mapigo 72/dk 😂Moyo ndio unasema ukweli kuliko mwili
Sasa wale ni wagonjwa, wanakuwa wamepata ulemavuhamna mkuu kuna wale wanadevelop trauma wakipigwa matukio.... wanakua wanaogopa ile hali
Hapana hayawahi wala hayachelewi bali hujibiwa kwa wakatiWakati mwingine maombi yanachelewa kujibiwa
sio ulemavu tunajihami mkuu 😂Sasa wale ni wagonjwa, wanakuwa wamepata ulemavu
Jifungie chumbani penye utulivu, tumia nusu saa kujitafakari alafu uje na majibumoyo uko swafi tu unadunda mapigo 72/dk 😂k
Unakuwa umepata tatizo la afya ya akili; itakuhitaji utulie kwa muda ndio urudi katika hali yako ya zamanisio ulemavu tunajihami mkuu 😂