Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #81
Wapo wengi pia watakaokosa ndoa, kutokana na upungufu wa real menNdoa ni mhimu full stop , utaruka ruka weeeh ila utakuja tuu kwenye line ,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wengi pia watakaokosa ndoa, kutokana na upungufu wa real menNdoa ni mhimu full stop , utaruka ruka weeeh ila utakuja tuu kwenye line ,
Mbona sina mkuu na mpango sina sijui itakuwaje?Pambania mahusiano yako
Jitahidi kwanza usiwe na njaa; angalau uwe na uhakika wa kupata 30 kwa siku, mahusiano yataanza yenyewe kukutafuta kuliko wewe kuyatafuta.Mbona sina mkuu na mpango sina sijui itakuwaje?
Ahahaha mkuu kama ni 30 kwa siku safari bado ndefu saaaaaaaaaana.Jitahidi kwanza usiwe na njaa; angalau uwe na uhakika wa kupata 30 kwa siku, mahusiano yataanza yenyewe kukutafuta kuliko wewe kuyatafuta.
Kweli mkuu, mahusiano huathiriwa sana na kipato piaAhahaha mkuu kama ni 30 kwa siku safari bado ndefu saaaaaaaaaana.
kama kukataa ndoa inakufanya uwe fake, basi i'm the fakest man alive.... mnatetea ndoa afu mna michepuko😂 nyumbani malumbano, kuuana, na sera za 50/50😂 Hapana aisee......Wapo wengi pia watakaokosa ndoa, kutokana na upungufu wa real men
Kweli kabisa mkuu., kama ulivyosema kabla kipato hakijakaa sawa ni bora kuachana na mahusiano mpaka kipato kiwe sawa.. shida ni kwamba muda nao unasonga...Kweli mkuu, mahusiano huathiriwa sana na kipato pia
Hili jibu lako hili...kwanza atafute nauli ya kuzunguka [emoji28][emoji28]Dunia bado ina watu wengi sana, zunguka wilaya kwa wilaya, mkoa kwa mkoa, nchi kwa nchi n.k utapata tu mtu sahihi.
😀😀😀 akiwa na nia atapata tu nauli; kama ameweza kuhudumia tumbo lake na hajaweza kufa kwa njaa, basi na kwenye haya mambo mengine ataweza.Hili jibu lako hili...kwanza atafute nauli ya kuzunguka [emoji28][emoji28]
Mapenzi ni muhimu kwa kweli, ila Sasa pesa hakuna ndo mana wengn wameamua tu kutulia zaoKila utakayekutana naye, utakuwa unamkasirikia; atakaye kusemesha neno dogo tu, unamjibu kwa ukali; ukiona uzi wa masham sham unakasirika: hii ni ishara ya kukosa mahusiano sahihi.
Ndio, ni kweli hapa duniani kuna changamoto nyingi, hasa za kiutafutaji ili kuweza kupata mkate wa kila siku; zipo changamoto za kutengwa, changamoto za kuugua, changamoto za maeneo ya kazi n.k Lakini kitu kinachokuja kumpa faraja mwanadamu, ni mahusiano tu.
Ukiwa na mahusiano na mtu sahihi, muda wote utakuwa unafuraha ata kama unapitia changamoto mbalimbali za kidunia.
Kwa nyakati hizi, wanaume halisi wamekuwa ni wachache sana, na hii inathibitishwa kwa idadi kubwa ya wanawake kutokuolewa, wengine wamezaa na hawajaolewa, wengine wameolewa lakini hawaridhishwi n.k
Lakini mwisho wa siku, wote wanahitaji mahusiano.
Kwa kifupi naweza kusema; pigania mahusiano yako, huwezi kupingana na asili ya uumbaji.
Nakubaliana na hoja yako ya bila pesa, mahusiano yanakuwa na changamoto nyingiMapenzi ni muhimu kwa kweli, ila Sasa pesa hakuna ndo mana wengn wameamua tu kutulia zao
Ukikosea kupata mtu sahihi, lazima uvurugike kwenye mahusiano na kujikita kwenye utafutaji zaidi.Ina depend your desire or your passion iko wapi. Kuna watu wameoana wameamua wasizae. Wanasayansi wakubwa wa dunia hii hawakuoa.
Kuna muda mwenza wako anaweza akakurudisha nyuma , mahusiano yanachukua energy ambayo ukiweka kwenye Innovation unafaulu kabisa.
Mahusiano mfano kwa wazungu divorce Ni ishu ya kawaida na ndio Mana wako mbele kimaendeleo. Unakutana na ke anakuambia Nina divorce tano na bado anataka kuolewa.
Mahusiano Ni very strong emotions mkuu na Tena Ile ukapenda kabisa.
Furaha yako hakikisha haiwi kwa mahusiano utaumia.
Wanaume halisi ke hawaitishi kivile.
Sema Sasa ukiwa average man ndio utabakia kulilia mahusiano Mana Ni ngumu watu wawili kufanana mawazo yaani haipo kwanza.
Watu wanakaa maabara wanaumizwa vichwa about chanjo ya ukimwi na malaria ili waafrika wapenda ngono wasizaliane ama wauziwe unadhani atapata muda wa wapi kuwaza mahusiano.
Yapo Ila sio ya kuyapa kipaumbele. Kuna jamaa mmoja alimuacha auntie yangu bana akapata mke hakimu halafu mhaya aliyekuwa na kiwanja kapri point anamshawishi wakajenga so ilivyoisha jamaa akaachwa.
Nasema wanaume wanaondeshwa na tamaa za ngono hawapendi mbali kwenye maisha.
Yaani huwezi kuwa hata na jina kwenye wilaya yako ama Kijijini kwenu tu.
Tafuta uone wanaume wenzako waliofanikiwa mahusiano yao yakoje like matajiri hata wa hapa hapa bongo weusi Kama wewe uulizia utaambiwa.
They don't care about marriage yaani masikini ndiye analilia mahusiano Mana Hana faraja nyingine. Mengi ilikuwaje kwa mke wake mkubwa si waliachana
Ngoja niusikilizeEquation x naomba nisindikize Uzi na kibao Cha "Dancing all alone" by Clinton Kane.
PamojaNgoja niusikilize
Umeongea fact tupu....mkuuIna depend your desire or your passion iko wapi. Kuna watu wameoana wameamua wasizae. Wanasayansi wakubwa wa dunia hii hawakuoa.
Kuna muda mwenza wako anaweza akakurudisha nyuma , mahusiano yanachukua energy ambayo ukiweka kwenye Innovation unafaulu kabisa.
Mahusiano mfano kwa wazungu divorce Ni ishu ya kawaida na ndio Mana wako mbele kimaendeleo. Unakutana na ke anakuambia Nina divorce tano na bado anataka kuolewa.
Mahusiano Ni very strong emotions mkuu na Tena Ile ukapenda kabisa.
Furaha yako hakikisha haiwi kwa mahusiano utaumia.
Wanaume halisi ke hawaitishi kivile.
Sema Sasa ukiwa average man ndio utabakia kulilia mahusiano Mana Ni ngumu watu wawili kufanana mawazo yaani haipo kwanza.
Watu wanakaa maabara wanaumizwa vichwa about chanjo ya ukimwi na malaria ili waafrika wapenda ngono wasizaliane ama wauziwe unadhani atapata muda wa wapi kuwaza mahusiano.
Yapo Ila sio ya kuyapa kipaumbele. Kuna jamaa mmoja alimuacha auntie yangu bana akapata mke hakimu halafu mhaya aliyekuwa na kiwanja kapri point anamshawishi wakajenga so ilivyoisha jamaa akaachwa.
Nasema wanaume wanaondeshwa na tamaa za ngono hawapendi mbali kwenye maisha.
Yaani huwezi kuwa hata na jina kwenye wilaya yako ama Kijijini kwenu tu.
Tafuta uone wanaume wenzako waliofanikiwa mahusiano yao yakoje like matajiri hata wa hapa hapa bongo weusi Kama wewe uulizia utaambiwa.
They don't care about marriage yaani masikini ndiye analilia mahusiano Mana Hana faraja nyingine. Mengi ilikuwaje kwa mke wake mkubwa si waliachana
Yaani Jf picha zote hazifunguki halafu hii ndo imefunguka
Duuh mkuuuu ujengewe sanamu aseee pale posta 💯💯💯💯Ina depend your desire or your passion iko wapi. Kuna watu wameoana wameamua wasizae. Wanasayansi wakubwa wa dunia hii hawakuoa.
Kuna muda mwenza wako anaweza akakurudisha nyuma , mahusiano yanachukua energy ambayo ukiweka kwenye Innovation unafaulu kabisa.
Mahusiano mfano kwa wazungu divorce Ni ishu ya kawaida na ndio Mana wako mbele kimaendeleo. Unakutana na ke anakuambia Nina divorce tano na bado anataka kuolewa.
Mahusiano Ni very strong emotions mkuu na Tena Ile ukapenda kabisa.
Furaha yako hakikisha haiwi kwa mahusiano utaumia.
Wanaume halisi ke hawaitishi kivile.
Sema Sasa ukiwa average man ndio utabakia kulilia mahusiano Mana Ni ngumu watu wawili kufanana mawazo yaani haipo kwanza.
Watu wanakaa maabara wanaumizwa vichwa about chanjo ya ukimwi na malaria ili waafrika wapenda ngono wasizaliane ama wauziwe unadhani atapata muda wa wapi kuwaza mahusiano.
Yapo Ila sio ya kuyapa kipaumbele. Kuna jamaa mmoja alimuacha auntie yangu bana akapata mke hakimu halafu mhaya aliyekuwa na kiwanja kapri point anamshawishi wakajenga so ilivyoisha jamaa akaachwa.
Nasema wanaume wanaondeshwa na tamaa za ngono hawapendi mbali kwenye maisha.
Yaani huwezi kuwa hata na jina kwenye wilaya yako ama Kijijini kwenu tu.
Tafuta uone wanaume wenzako waliofanikiwa mahusiano yao yakoje like matajiri hata wa hapa hapa bongo weusi Kama wewe uulizia utaambiwa.
They don't care about marriage yaani masikini ndiye analilia mahusiano Mana Hana faraja nyingine. Mengi ilikuwaje kwa mke wake mkubwa si waliachana
MhhhKila utakayekutana naye, utakuwa unamkasirikia; atakaye kusemesha neno dogo tu, unamjibu kwa ukali; ukiona uzi wa masham sham unakasirika: hii ni ishara ya kukosa mahusiano sahihi.
Ndio, ni kweli hapa duniani kuna changamoto nyingi, hasa za kiutafutaji ili kuweza kupata mkate wa kila siku; zipo changamoto za kutengwa, changamoto za kuugua, changamoto za maeneo ya kazi n.k Lakini kitu kinachokuja kumpa faraja mwanadamu, ni mahusiano tu.
Ukiwa na mahusiano na mtu sahihi, muda wote utakuwa unafuraha ata kama unapitia changamoto mbalimbali za kidunia.
Kwa nyakati hizi, wanaume halisi wamekuwa ni wachache sana, na hii inathibitishwa kwa idadi kubwa ya wanawake kutokuolewa, wengine wamezaa na hawajaolewa, wengine wameolewa lakini hawaridhishwi n.k
Lakini mwisho wa siku, wote wanahitaji mahusiano.
Kwa kifupi naweza kusema; pigania mahusiano yako, huwezi kupingana na asili ya uumbaji.