Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,576
- 3,094
Naishi BIla mahusiano na naishi Kwa raha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujalala tu, nikutakie usiku mwemaMhhh
Hilo somo litakuwa na wanafunzi wengi ila watakaofanya mtihani na kufaulu watakuwa wachacheTatizo kubwa ni wengi kukosa elimu ya mahusiaano.
Somo la mahusiaano lifundishwe mashuleni
Na kipato kikishakaa sawa mnawa-ashraf Hakimi wanawake zenu, mnahis kila mdada anaewashobokea anamendea pesa zenu tu Mynd177Kweli kabisa mkuu., kama ulivyosema kabla kipato hakijakaa sawa ni bora kuachana na mahusiano mpaka kipato kiwe sawa.. shida ni kwamba muda nao unasonga...
Mpe poleKuna mtu kaachwa huko na mvua hii
Haukosei wewe kumbuka nothing in this universe exactly 0% or 100%. Everything is around 0.000000000000000001% to 99.999999999999999999% in life ie life is probability nothing sure.Ukikosea kupata mtu sahihi, lazima uvurugike kwenye mahusiano na kujikita kwenye utafutaji zaidi.
😊😊😊HaiyaaaaHujalala tu, nikutakie usiku mwema
So event inapokuja upande wako sio kuwa Ni kwa akili zako ama uwezo wako ndio umefanya iyo outcome ije according to your expectations Bali ilikuwa itokee ivyo.Haukosei wewe kumbuka nothing in this universe exactly 0% or 100%. Everything is around 0.000000000000000001% to 99.999999999999999999% in life ie life is probability nothing sure.
Maisha tunabeti baada ya kuwa tumefanya analysis tumejiridhisha kuwa kila kitu kipo POA kabisa.
Unafungua biashara huendi kichwa kichwa, unaenda kazi mpya ofisi fulani,unataka kulima lazima ucheki weather na soko, unaenda nchi fulani ngeni lazima ujue ikoje watu wake,unataka kuoa unachunguza odds zikoje zitazo favor your side.
So smt odds ziko kwako 99.999% Ila event or outcome inatokea tail instead of the head uliyobeti.
Sometime odds ziko unfavorable to your side like 0.000000000000001% Ila still event or outcome inatokea according to your expectations even though probability of it happening was very low according to your analysis.
Huyu mchezaji wa morroco Mali akaandika mamaye amecheza na probability,Kuna eboue nadhAni odds zilipnyesha kuwa Ni sure thing Ila still outcome akatolewa Mali zote.
So event inapokuja upande wako sio kuwa Ni kwa akili zako ama uwezo wako ndio umefanya iyo outcome ije according to your expectations Bali ilikuwa itokee ivyo.
Utampatia wapi miaka hii alie sahihi?.You are right mkuu,sijui tufanyeje Ili tuwe na mahusia na mtu sahihi
30K kwa siku ila mitandaoni bana, 30K kwasiku nadhani ni 90% ya watu wote hawatokuwa na mahusianoJitahidi kwanza usiwe na njaa; angalau uwe na uhakika wa kupata 30 kwa siku, mahusiano yataanza yenyewe kukutafuta kuliko wewe kuyatafuta.
Huu ni ukweli lakini jua hakuna siyependa kutokuwa na kipato kwa research ndogo most of people huku mtaani wanazseka na kipato chao hakifiki 30K kwa sikuKweli mkuu, mahusiano huathiriwa sana na kipato pia
Yes,wapo wajanja mno wanajua Mambo mengi mno,wanasoma mno,wanafanya kazi mno wanajinyima Ila hata kiwanja hawana,wapo wanaohonga,wanafanya Mambo kimzahazaha Ila wanatoboa.So event inapokuja upande wako sio kuwa Ni kwa akili zako ama uwezo wako ndio umefanya iyo outcome ije according to your expectations Bali ilikuwa itokee ivyo.
Kweli mkuu umelezea kitu kikubwa yan ukichek maisha yetu ulipanga ili linakuja ili..
Sasa ndugu yangu dunia ya sasa unaweza tu kumkokota mtu akuoe au uoe bila kujenga mahusiano nae kwanza na kuchunguzana kiasi cha kujiridhisha...ebu tuache theory jamani,dunia ya wenzetu wa kale sio ya sasaKama unamaanisha mahusiano ya kwenye ndoa rasmi nitakubaliana na wewe. Lakini kama ni mahusiano nje ya ndoa huo ni uzinzi na uasherati!! Biblia inasema hakuna amani kwa wabaya!!
Huwa unamaliza miaka mingapi bila kulana kimapenziNaishi BIla mahusiano na naishi Kwa raha sana
Huwezi atafeki muda huo hata Kuna michepuko inawekwa pembeni.wana fake mie nashauri oa mtu unayejua Koo yake yote,hapo probability kwako Ni kubwa ku win ingawa still anything can happen.kuchunguzana kiasi cha kujiridhisha.