mweusi asili
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 2,035
- 3,358
Na Mimi nikisema wewe unampotosha nitakua nimekosea, inawezekana mapungufu aliyoyaona mwanaume wa kwanza kwa huyu jamaa anawezakuyamuduUsimpotoshe mwenzako,we hujiulizi kwa nn baba wa mtoto kamshindwa?
Wewe ni single maza?pambana na hali yako hatuoi mliozaaNa Mimi nikisema wewe unampotosha nitakua nimekosea, inawezekana mapungufu aliyoyaona mwanaume wa kwanza kwa huyu jamaa anawezakuyamudu
Mbona umepaniki ka umekalia dole lenye pilipili. Tuliza kundu shoga mchafuWewe ni single maza?pambana na hali yako hatuoi mliozaa
Amini kweli kabisaKuna mambo yanaumiza sana moyo, unakutana na mdada unajisemea huyu ndiye niliyekuwa namuota siku zote, sifa zote unazopenda anazo pengine unamueleza hisia zako naye anakuelewa. Lakini kinachotokea unakuta kashazalishwa na mbaya zaidi baba mtoto bado yupo haiππ
Kuna muda mpaka unatamani ubebe kimya kimya tu, ila ukitafakari zaidi unaona ni heri nusu shari kuliko shari kamili.
Hata ukipata majibu keep this in ur mind "Vikojoleo havinuniani hata kama wao waliachana kwa mtiti mzito" hata ipite miaka mingi kiasi gani midamu wote wako hai watakuja kukumbushia tu tena wanaweza fufua penzi upyaaaa, wewe labda ndio umeoa kumbe baba mtoto anakuja kua mchepuko wake wa nje ya ndoa..Ila kweli Mkuu umenena vizuri, ukijiuliza haya maswali unaweza kufanya vizuri
Wewe ni mtoto naona, subiri ukue utayaonaSifa zote kama zipi? Wenye akili kubwa wamechezea wakaona hafai/mgawaji a.k.a chama la wana.Wajinga wanaona mmeokota dodo!
Kijana ninatoa ushauri nikiwa na mke na watoto.Ninaelewa ninachokiongeaWewe ni mtoto naona, subiri ukue utayaona
Kuwa na mke na watoto sio kigezo cha kukua na kujua mengi bwashee, nasisitiza kuwa subiri ukue uyaone.Kijana ninatoa ushauri nikiwa na mke na watoto.Ninaelewa ninachokiongea
Kubishana na mtu anayejiita kambi ya fisi ni kujidhalilisha! Wewe endelea kuwa mlezi mzuri wa watoto wa wenzio maana uwezo wa kupata wa kwako huna! Wanawake wanaojitunza na kujithamini wapo wengiKuwa na mke na watoto sio kigezo cha kukua na kujua mengi bwashee, nasisitiza kuwa subiri ukue uyaone.
Naona umishiwa hoja bwashee hadi umehamia kwenye jina, hii ni kawaida kwa watu wengi wenye akili za kitoto, nakutakia ukuaji mwema sana.Kubishana na mtu anayejiita kambi ya fisi ni kujidhalilisha! Wewe endelea kuwa mlezi mzuri wa watoto wa wenzio maana uwezo wa kupata wa kwako huna! Wanawake wanaojitunza na kujithamini wapo wengi
Sikuambii huyo ni mke mwema ama mbaya mchunguze tabia yeye kama yeye.Kuna mambo yanaumiza sana moyo, unakutana na mdada unajisemea huyu ndiye niliyekuwa namuota siku zote, sifa zote unazopenda anazo pengine unamueleza hisia zako naye anakuelewa. Lakini kinachotokea unakuta kashazalishwa na mbaya zaidi baba mtoto bado yupo haiππ
Kuna muda mpaka unatamani ubebe kimya kimya tu, ila ukitafakari zaidi unaona ni heri nusu shari kuliko shari kamili.
Usimpotoshe mwenzako,we hujiulizi kwa nn baba wa mtoto kamshindwa?
hahahaha nimecheka kinomaSolution hapo ni kwenda kumuua huyo mzazi mwenzake