Maisha magumu ni sababu kubwa inayofanya watu waanzishe dini

Bibilia imetiwa mkono wa binadamu. Yesu hakushushiwa bibilia. Sasa kwanini wakristo wanatumia bibilia
 
Hofu ni kitu kibaya sana....

Katika safari ya kujitambua mwanadamu hufikia kumjua Mwenyezi Mungu vyema kwa kuwa yupo.....

Kumjua Mwenyezi Mungu ni kumpenda yeye tu na wala si kwa sababu ya kuugopa moto ama kuogopa kuukosa ufalme wa mbingu(levels hizi hufikia wale wenye busara tu)....

Na ndio maana akina Rabia Basra walimuabudu Mungu kwa misimamo hiyo....na hawakuwa na "MBANGO" wala kuuishi ujinga wa wapuuzi wachache walio wanadini wenzao......
 
Kanisa ni mimi na wewe kuna matukio mengi hayako sawa
Sasa unavocriticise usichanganye kati ya mfumo na matakwa ya watu. Nakumpa mfano mdogo science ni one of the best thing happen to a man after religion. Ila kupitia science hyo hyo kuna mambo yamefanyika ya kutisha moja wapo vita inayoendelea ukraine au pia corona na mambo kadha wa kadha lakini mbona hamuipondi science ila mnawaponda watu ila mtu akitumua dini kwa manufaa yake binafsi mnaponda dini that's unfair. Unatakiwa ulete kifungu kinachofirisi watu kwenye maandiko utaeleweka.
 

Source: ??? Au umejitungia tu. Utampendaje Mungu bila ya kumtii na kuachana na makatazo yake. Au unaleta double standards hapa
 
Vifungu vinakusaidia nini vifungu vinakufanya usiamshe ubongo waKo kufikiri zaidi
 
Bibilia imetiwa mkono wa binadamu. Yesu hakushushiwa bibilia. Sasa kwanini wakristo wanatumia bibilia
Mkuu kwani BIBLIA ni nini?!!!

Ni mkusanyiko wa vitabu....je vitabu gani ?!!!

Vitabu vyenyewe vimeanishwa.....

Kwani mtume Muhammad SAW alishushiwa kitabu ama maneno ?!!!!

Ni kweli kuna utofauti kiasi kati ya maneno ya vitabu hivyo viwili(Quran na Biblia)....Quran ilishushwa na aliyeshushiwa akaifundisha kama yalivyo sawia maneno aliyoshushiwa....kwa upande wa BIBLIA....yako maandishi mengi yaliandikwa miaka mingi baada ya Yesu A.S kuondoka duniani....yako yaliyoandikwa na wanafunzi wake....yako yaliyoandikwa na watu wengine na ikasemwa ni maandiko ya wanafunzi wake.....swali la kutafakari ni je kuna uhakika gani kuwa kila andiko linatoka moja kwa moja kwa mwalimu ?!!!!

Je kumepatikana historia sahihi ya kusemwa kuwa wanafunzi wake walikuwa wanaandika katika magome ama "vitambaa" kila lililonenwa na mwalimu wao Jesus?!!!

Hapa ndipo fikra chanya na upembuzi hutakikana....
 
Kwani malaika gibril nd alieandika quran mnayotumia leo mkuu?
Qur'an imeshushwa kwa njia ya mdomo. Mtume naye aliwafikishia wafuasi wake kwa njia ya mdomo. Qur'an ilianza kuhifadhiwa mioyoni mwa wafuasi mpaka hapo baadae ilipokusanywa kwa maandishi. Ndo mana mpaka leo licha ya Qur'an kuwepo kwa njia ya maandishi bado watu wanaitunza mioyoni mwao ndo mana ni ngumu sana kuibadilisha Qur'an
 
[emoji106]
 
Vifungu vinakusaidia nini vifungu vinakufanya usiamshe ubongo waKo kufikiri zaidi
Elezea ni kwa namna gani vifungu vinafanya mtu asiamshe ubongo. Maan bible inasema asiefanya kazi asile lete vinavyofanya mtu asijishughulishe. Halafu wewe unahisi watu wa dini hawajafanya mapinduzi ya technolojia sababu hujasikia wakizungumziwa katika bible maisha yao ya kawaida yalikuwaje na umekuwa brainwashed na hao wanaoandikwa maforbes lakini hujui katika safari zao wamepata maarifa kutoka kwa watu hata wa dini mbali mbali.
 
Nini maana ya neno "dini"?
 
Sasa hicho ulichotaja na bible tofauti yake nini? Unadhan manabii hekima walikuwa wanatoa wapi mpaka wanawafundisha watu? Halafu unatak Yesu ashushiwe wakati anayajua yote.
 
Tafiti imefanyika na kuthibitisha kuwa toka ishushwe haijabadilishwa....kupunguzwa....wala kuongezwa aya zake...

Hii inatokana na KUHIFADHI lugha iliyoshushiwa....Kiarabu....ni tofauti na vitabu vyengine vya dini.....kuwekuwa na mabadiliko ya aya kutokana na KUTAFSIRI katika lugha zisizo "mama".....
 
Yesu alishushiwa Injili (Gospel). Walivyokuja akina John, Mathew na Luke kila mmoja wao akaja na version yake ya Injili. Bible ni mchanganyiko wa Injili ya John, Mathew, Luke na vitabu vingine na ndio maana inakasoro nyingi na umefanyika uchakachuani mwingi. Bibilia yenyewe haijawahi kuwa stable inabadilika badilika.

Qur'an imeshushwa kwa njia ya mdomo. Mtume naye aliwafikishia wafuasi wake kwa njia ya mdomo. Qur'an ilianza kuhifadhiwa mioyoni mwa wafuasi mpaka hapo baadae ilipokusanywa kwa maandishi. Ndo mana mpaka leo licha ya Qur'an kuwepo kwa njia ya maandishi bado watu wanaitunza mioyoni mwao ndo mana ni ngumu sana kuibadilisha Qur'an
 
Sasa hicho ulichotaja na bible tofauti yake nini? Unadhan manabii hekima walikuwa wanatoa wapi mpaka wanawafundisha watu? Halafu unatak Yesu ashushiwe wakati anayajua yote.
Umeusoma ukristo? Yesu alishushiwa injili na sio bibilia. Na bibilia haijahusisha injili aliyopewa Yesu bali imehusishwa injili ya John, Mathew na Luke
 
Sasa hicho ulichotaja na bible tofauti yake nini? Unadhan manabii hekima walikuwa wanatoa wapi mpaka wanawafundisha watu? Halafu unatak Yesu ashushiwe wakati anayajua yote.
Hapa uliposema Yesu anayajua yote ndipo watu hufikia kupingana[emoji1787][emoji1787]

Kwa imani yako ni kweli Yesu hwenda anayajua yote kwani ni MUNGU.....

Ila ndani ya Biblia anasema "haijui saa ya kiama"....je kutoijua saa ya kiama hakumpunguzii sifa ya kuyajua yote?!!!
 
Bible haijaandikwa kama gazeti la mwanahalisi ni mafundisho ya jinsi mwanadamu mkamilifu anatakiwa aishi. Kuna mambo Yesu aliyasema kama mwanadamu kama lengo lake la kuja duniani so inabidi uelew muktadha. Lakini kuna mambo aliyasema kama Mungu usichanganye hapo.
 
Namshukuru Mungu kwakila jambo na amenipa uwezo mzuri wa kufikiri hapa nilipo naandika kitabu cha ujasirimali ambacho kimesheni vitu vingi nipo jf kwa muda kuchangamusha akili
 
Umeusoma ukristo? Yesu alishushiwa injili na sio bibilia
Sahihi.....

Ikiwa AGANO LA KALE linawahusu Wayahudi na dini yao inakuwaje Yesu ambaye ni "mkristo" kujinasibisha na AGANO LA KALE?!!

Na kama AGANO LA KALE linamhusu ni vipi atokee mwenye kumuamini alipinge?!!!

Na kama akilipinga inakuwaje asiwe myahudi ?!!!

Je dini ya kiyahudi imekuja kufutwa na Yesu ilihali alisema" sijakuja kutangua taurati"....ina maana taurati inaishi na itaendelea kuishi....je kwenda kinyume na maneno hayo si kumpinga Yesu?!!!

Je taurati inaruhusu Yehova kuwa wa utatu ?!!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…