African Geek
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 817
- 1,470
Unamjua aliyeandika bibilia? Je alipata wapi hayo maandiko mpaka akaiandika bibilia. Nijibu nikupe mwangazaBible haijaandikwa kama gazeti la mwanahalisi ni mafundisho ya jinsi mwanadamu mkamilifu anatakiwa aishi. Kuna mambo Yesu aliyasema kama mwanadamu kama lengo lake la kuja duniani so inabidi uelew muktadha. Lakini kuna mambo aliyasema kama Mungu usichanganye hapo.