Maisha magumu ni sababu kubwa inayofanya watu waanzishe dini

Yesu hakuhubiri sinagogi moja alitembea Israel yote kuhubiri habari njema za ufalme. So shauri hilo lilitoka kwa makuhani wakuu waliokuwa viongozi wa juu kabisa katika uyahudi ni kama ilivo labda papa hivi. Hatuwalaumu wayahudi wote sababu Yesu na wanafunzi wake asilimia kubwa walikuwa wayahudi ila wakaongoka kupitia Yesu kristo na hata leo wapo wayahudi ni wakristo wa imani kweli kweli.
 
Well....

Kupika pakua(chakula) ni lazima kuhusishe kukutana kimwili ?!![emoji1787]

Hebu nitosheleze....una rejea kabisa inayosema alianza kuishi naye "kimwili" kabla ya kuvunja ungo?!!!
Imeandikwa kuwa huyo mke alipendelea kuchezea midori na watoto wenzie pia na hata nyumbani kwa Muhammad. Lakini pia hapo walipokuwa wanaoga ni nyumbani kwa muhammad hivo alikuwa tayari mke na mme.
 
Ooo sawa....

Kwa hiyo tunakubaliana kuwa si uongozi wa mwisho wa wayahudi uliamua kwenda kumsemea kwa Pilato....hapa ninamanisha kuwa UYAHUDI ni DINI ya dola....kama kungekuwa na kitisho dhidi ya imani yao....ni lazima kungekuwa na maamuzi ya KIAKIDI dhidi ya "uasi wa kiimani"....naendelea kuchunguza je KUHANI MKUU(high priest of the Jews) alihusika?!!!

Kumbuka kulikuwa na SINAGOGI kubwa kabisa(hapo ndipo Makazi ya kuhani mkuu)....
 
Imeandikwa kuwa huyo mke alipendelea kuchezea midori na watoto wenzie pia na hata nyumbani kwa Muhammad. Lakini pia hapo walipokuwa wanaoga ni nyumbani kwa muhammad hivo alikuwa tayari mke na mme.
Sijakataa kuwa hawakuwa mke na mume...kwani mkataba wa ndoa ulishapita.....[emoji1787]

Kukaa ndani ya nyumba si hoja ya kukutana kimwili....si hoja kwani wanaweza kuwa walikuwa vyumba tofauti wakati wa kulala....ili iwe hoja hebu kwanza tupate UTHIBITISHO kuwa alikutana naye kimwili kabla ya kuvunja ungo....
 
Dini ni Mungu kutawala walio wengi wakati siasa ni kikundi cha wachache kutawala walio wengi

Mungu ana wafuasi wengi loyal kwake kuliko wanasiasa au wanasayansi au wanafalsafa
Wanafalsafa kama mleta mada miaka nenda Rudi wanehangaika kupata wafuasi wengi wa falsafa zao wameishia kuambulia mapadri wa katoliki na watu wachache sana waliosoma falsafa seminary au vyuo vya kawaida au walioasi dini au baadhi ya wakatoliki washika ukatoloki sana ambao kidogo wana uhueni wa maisha


Pili mtu kutoamini dini yeyote pia ni ugonjwa wa akili hakuna mtu.ambaye haamini dini yeyote.au haamini uwepo wa Mungu.mwenye akili iliyotulia na peace of mind wengi wao akili ni kama hazimo ni nusu vi kuanzia walioanzisha ukomunisti wanafalsafa wasema hakuna Mungu,au dini ni.opium of the People walioasi dini na kuacha wengi akili zao nusu kaputi
Peace of mind iko.zero

Na huwa na dalili zote za ukichaa
 
Hata kuamini katika dini tena za kikoloni zinazokudhalilisha wewe na mila zako na kuwajengea chuki dhidi ya wengine ni wendawazimu mbali na kuwa ugaidi.
 
Ahahahahaaaaa uko sahihi kwa 60%. , dini zimejaa utapeli sana, ukichunguza wa kweli hawawezi kuzidi 20%
 
Ila mambo ya dini bhna.
Haya kwa mujibu wako...

61. Ametukuka aliye zijaalia nyota mbinguni, na akajaalia humo taa na mwezi unao ng'ara.

Kwenye nukuu yako hapa, embu cheza sasa tukuelewe kuwa mwezi unaakisi mwanga. Kulingana na Aya hiyo
 
Na hyo nukuu ya genesisi wala si kama ulivyoileta hapa.

Udini mbaya. Tusome na elimu zingine tujifunze, mtabishana hadi lini?

Mawazo ya watu kutoka zama za giza huko hayawezi kutusaidia tena leo.

Ona sasa yanawatesa kuyatetea ili yaendane na elimu sayansi.
 
Wewe ni Muongo

Quran 79:30
30. Na juu ya hivyo ameitandaza ardhi.

Kama unapingamizi ilete hapa ili unifundishe.
Huyo mtume wako asingeweza kupata mawazo kama haya.
Haya mawazo ni Katika zama za Sayansi bro, its after Renaissance.

Hyo sura haiko hivo, hiyo ni yako tu ili uendelee kutetea delusion yako.

Kila mtu hudai dini yake ni ya kweli.
Ila conclusion hapo ni kuwa haipo dini ya kweli.
Ni kujifunza hallucination za watu wa kale.
Mungu aliumbwa na watu wa mapangoni kuelezea radi.
Wewe unawaona wenzio mabwege au wamekosea kisa wako tofauti na imani yako. Anyway endeleeni kuamini
 
Achana na mambo ya historia kama tunajadili dini hapa. Natak unambie kwanini Muhammad alioa mtoto mdogo wa miaka 6 wakati Yesu aliagiza waachezi watoto wadogo waje kwangu kwa maan ufalme wa mbingu ni wao.
Mpe reference huyo, nmemstukia.
Akikupa aya kaifungue uone ujiridhishe.

Pia kuhusu sayansi ya jua na idea za dunia flat na jua kuzama matopeni

Quran 18:86
Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema

Quran 18:90

Hata alipo fika matokeo (mawio) ya jua aliliona linawachomozea watu tusio wawekea pazia la kuwakinga nalo

Hapa Sayansi ya mtume ilikaaje hapa, idea zake za Sayansi ya kale kuwa dunia ni flat na jua kuzunguka dunia.

Hivi vitu vinaleta utata katika kuamini hayo kuwa ni maelekezo ya Muumbaji.
Huyo Mungu muweza wa yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hakujua hata uumbaji wake ulivyo?? 🤔

Those are man made... Neither bible nor quran...

Kuna muda watu huwa tunaona mistake tu lakini inabaki kama ushabiki,
Ni sawa na music wa kigeni, hata usipouelewa unacheza na beat.
 
Watu kama wewe hawanamsaada kabsa kwenye ulimwengu huu,

1. Uliwasoma wanafalsafa ukawaelewa..?
Kama ndyo ni Kitabu kipi umekisoma vizuri na ukaproof ni vichaa.

Au ni vichaa kwasababu tu wamepishana mtazamo nawewe.

2. Na kwanini unahisi ni vichaa?
Wao wakikuita kichaa utajickiaje..?
Unaweza kuwajibu hoja zao kuliko kuwatukana?

Tengeneza hoja si kuwakashfu, kwan hata wao wanakuona kama uwaonavyo wewe
 
Hizo habari sijui za Nabii Selemani and the like, we si umezisoma tu kwenye mavitabu yaliyoletwa kwenye majahazi! Kwani lazima kila mtu akubaliane na hayo mavitabu?
 
Weweee Manabii wanapiga hela kishenzi hasa kwa waumini wenye ma frustration
 
Tafiti imefanyika na kuthibitisha kuwa toka ishushwe haijabadilishwa....kupunguzwa....wala kuongezwa aya zake...
Koran Kuna mwamba alichoma ma elfu ya surah , na yeye hakuwa mtume , Aisha Kuna verse kasema hazipo kwenye Koran na zilikuwepo mfano kunyonyesha mtu mzima
 

Nami huwa naamini sana ivo
 
Ila kuanzisha dini ni jambo moja na kuhamia msitu wa Shakahola ni hatua inayofuata🚶🚶
 
Nadhani hata kuku wanajua hii ndiyo maana wanajua ni wakati gani wa kutaga na wakati gani wa kuangua. Hivyo, hakuna jipya hapa. Kwani nani hajui kuwa mwezi unajua kuwa hautoi mwanga bali huakisi mwanga. Kwani, hao waliovumbua hilo nao ni Mungu?
 
Mkuu umevaa ngozi ya kondoo. Lakini maneno yako siyo ya mwanakondoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…