Maisha magumu ni sababu kubwa inayofanya watu waanzishe dini

Hii mm nakubali kuwa Mwanzo wa uislam ni Ukatolik umesema vema.. Na lengo ni ilo kuitawala dunia..
 
suleiman alikua dini gani
 
Hii mm nakubali kuwa Mwanzo wa uislam ni Ukatolik umesema vema.. Na lengo ni ilo kuitawala dunia..
Ushahidi huo wa uislamu kutoka ukatoliki uko wapi ?!!!

Dini inayoamini Yesu ni Mungu inakuwaje inayoamini Yesu ni nabii ?!!! Hili pekee halifanyi kuwa hoja yako ikose mashiko ?!!![emoji1787][emoji1787]
 
 


Your browser is not able to display this video.
 
Dini inayomuamini kuwa Mungu ni mmoja tu....iite vyovyote iwavyo!
zipo dini kama 10,000 zinazoamini mungu wao ni mmoja tu.tena kwenye vitabu vyao hasemi tumeumba anasema nimeumba.jibu swali alikua dini gani?
 
Ni kama ukweli fulani. Dini zinakuja kutatua matatizo. Ni upatanisho baina ya binadamu na Mungu wao. Usahihi upo kimsingi maana dini zipo Kwa namna hiyo.
 

Chizi mmoja wapo huyu hapa,akili ipo braiwashed to the max,hata akiambiwa atinduliwe ili aende kwa ala hawezi kataa yani ni kama zezeta.
 

Bila mafuta waarabu wangekua wanatawadhia michanga ya jangwani,
 
Ww ulishwahi kumuona nabii suleiman au ni story tu umekariri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…