Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

Story nzuri hii...

Asante kwa burudani acha niweke kitu cha wadhamini kidogo...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeua mzeeee baba
 
Kolwezi nakubali mkuu ni balaa ile mahali asee nakumbuka mm nilienda kupeleka generators nikiwa kama kushoto kwa watubwa malori wanaelewa kushoto ni nani
Hahahahaaa halafu kushoto wote ndoto yao ni kumiliki leseni....ukimkuta degree mzuri fasta tu

Roho mbaya kama mimi mpk nikiwa naingiza gia najificha na pazia usijue kitu😂😂
 
Rama alikua usalama huyo boya boya huwez kusogea kwa wajeda wakupe na silaha uanzea kupima shabaha muda huo watu usiku wametoka kweny mapigano ni ngumu
Nan kakwambia hata usalama wanaweza kupewa silaha?
 
Nan kakwambia hata usalama wanaweza kupewa silaha?
Wazee, anachosema mtoa Uzi ni kweli kuhusu wajeda wa Congo na hata Burundi. Hawako serious au hawana Ile nidhamu ya jeshi Kama la Tz. Kukuona silaha anakupa kabisa bila shida. Mimi nilienda Burundi Kati ya mwaka 2008, mwenyeji wetu alikuwa mjeshi wa Kule Burundi na alikuwa anaishi kambini. Tulilala kwenye chumba na Cha ajabu kulikuwa na silaha; SMG, G3, na Bastola. Zote zilikuwa na magazine zimejaa na chini risasi zilikuwa zimemwaga Kama rundo la karanga. Nilikuwa na mwenzangu mmoja tuliyeenda nae. Yule mjeda alituambia kuwa, Hali ya usalama kwao ilikuwa tete, yaani jeshi like la watusi lilikuwa haliwaamini wanajeshi waasi wa kihutu waliokuwa wamejumuishwa jeshi. Hivyo, akasema tukiona Hali isiyoeleweka tujilinde. Wote akatupatia bunduki pembeni yetu. Nilishangaa na mm hivyo mnavyoshangaa. Uzuri nilikuwa nimeshapita jkt na nilikuwa nakumbuka kutumia G3 na SMG. Wazee wale hawana nidhamu ya jeshi, amini hivyo.
 
Wazee, anachosema mtoa Uzi ni kweli kuhusu wajeda wa Congo na hata Burundi. Hawako serious au hawana Ile nidhamu ya jeshi Kama la Tz. Kukuona silaha anakupa kabisa bila shida. Mimi nilienda Burundi Kati ya mwaka 2008, mwenyeji wetu alikuwa mjeshi wa Kule Burundi na alikuwa anaishi kambini. Tulilala kwenye chumba na Cha ajabu kulikuwa na silaha; SMG, G3, na Bastola. Zote zilikuwa na magazine zimejaa na chini risasi zilikuwa zimemwaga Kama rundo la karanga. Nilikuwa na mwenzangu mmoja tuliyeenda nae. Yule mjeda alituambia kuwa, Hali ya usalama kwao ilikuwa tete, yaani jeshi like la watusi lilikuwa haliwaamini wanajeshi waasi wa kihutu waliokuwa wamejumuishwa jeshi. Hivyo, akasema tukiona Hali isiyoeleweka tujilinde. Wote akatupatia bunduki pembeni yetu. Nilishangaa na mm hivyo mnavyoshangaa. Uzuri nilikuwa nimeshapita jkt na nilikuwa nakumbuka kutumia G3 na SMG. Wazee wale hawana nidhamu ya jeshi, amini hivyo.
Mkuu mm ninakubaliana kabisa na Mleta uzi kuhusu suala la askar wa congo kutokua na nidhamu na silaha tofaut kabisa na hapa Tz
ila sikukubaliana na jamaa aliesema kuwa Rama alipewa silaha kwasababu ni usalama kwakua hata usalama kiutaratibu hawez kupewa silaha ispokua tu n hao askar jamaa wa congo huwa n wa hovyo san huwa hawajali
 
Mletq mqda umeanza kuzingua kinoma utafikiri sisi ndo tumekulazimisha wewe kuanza kuandika hii sgory yako emu endeleq chap kabla sijakumind
 
Maisha uwanja wa vita..... Na Mimi nawaza, Nina 5m hapa sijui nijilipue vipi na Mimi nipitie changamoto Kama hizi
 
Back
Top Bottom