Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

Stori nzuri sana mkuu, asante tunasubiria muendelezo hapa....
 
Chai imeanza sasa.

Mwakibolwa alipambana na M23 na wala sio ADF.

We hadithia tu khs Safari yako hayo mengine utaanza kutunywesha chai ya motoooo.
 
Stori very interesting ila Sasa kwanini usiiweke juuu mwanzo wa uzi ? Sisi watu wa tecno tunapata taabu Sana alafu namsomea mke wangu anapenda Sana

Kama upo maeneo ya huku kwetu nitakupa zawadi ya sikukuu
Unamsomea mkeo yeye hajui kusoma?
 
Yes sure,ADF waliifanyia ambush Jw kipindi hicho Gen. Mwaki akiwa ameshastaafu utumishi.
Kwahiyo una uhakika Mwaki hajapambana nao alipokuwepo?? Wao walifanya ambush tu?
Kwa taarifa tu ni kwamba M23 walikua ni almost jeshi Kamili na walipigana conventional warfare kabisa lakini ADF ndo wana mtindo wa kuingiza RAIA katikati na wanafanya ambush mtaani mpk Mwaki akabadilisha mbinu wakawa wanavaa mashuka ya kimasai na visu tu kupambana nao na sio gwanda za kitenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…