Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

Naona Isha vamiwa nilijuwa tu Kuna watu watakukosoa vikali sana kuhus hii story hvyo sioni dalili wew kuendelea
 
Achana nao mkuu ...endelea nasi wachache tunaokuamini
 
Mkuu ulisema saa nane unashusha episode naona kimya mpk sasa
 
Tumekubaliana usijibu mtu, kiapo kiendelee.
 
Achana na habari za M23 tu,ninajua vzr kuanzia Congo 1st war up to now,Na hakuna conventional war ilipiganwa na M23 bali ilipiganwa Guerrilla warfare so weka facts zako sahihi

Narudia Mwaki hakupigana na hao ADF.
Zingatia kanuni kama Yanga Afrika.

Uliahidi hutojibu post yoyote ni mwendo wa kushusha stori.

Sasa nakupa adhabu ya kushusha episode 3 mfululizo ndio upumzike😅😅😅
 
Wee konda msafi wewe tulia basi kijana
 
Mara moja moja unapunguza shobo kweny Uzi wa wenzio kumbe hadi Congo ulienda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…